Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,687
- 8,601
Lazima wakuuweLazima ajifiche, lakini pia inasemekana ukirudi kinyumenyume unamuona laivu na shughuli nzima utakuwa umeharibu.
Lazima wakuuweLazima ajifiche, lakini pia inasemekana ukirudi kinyumenyume unamuona laivu na shughuli nzima utakuwa umeharibu.
Je huyo mtu kafa au hajafa? Kama kafa msiba lazima uwepo sasa kama umeshtukia ni kifo cha kimsukule maana yake maiti ni gogo na aliyekufa yupo hapo hapo msibani cha kufanya ni kuwaumbua hao wachawi hapo msibani.Hivi siku mtu akichukuliwa msukule hakuna hata mtu mmoja anaekuja kwenye msiba hashtukii mchezo uliofanyia,au wachawi,waganga na wenye makarama huwa wanashirikiana ?
Bila kuimba kwaya wataonekana vipi kwenye teuzi, kumbuka mwenye chama ndie mwenye maamuzi Nani agombee Nani asigombeeMisukule ya tatu ni mabunge ya ccm yanayopanga kuvunja katiba ili yamlazimishe jiwe afie ikulu mbaya zaidi yanaongozwa na jtu fupi shotii andunje ndugali
Tatizo huwa hawaumbui mtuJe huyo mtu kafa au hajafa? Kama kafa msiba lazima uwepo sasa kama umeshtukia ni kifo cha kimsukule maana yake maiti ni gogo na aliyekufa yupo hapo hapo msibani cha kufanya ni kuwaumbua hao wachawi hapo msibani.
Sidhani, lakini inahitaji ujasiri wa hali ya juu!Lazima wakuuwe
Bila shaka umeelewa sasa!somo lako linatufundisha nini?
Kwanza wenye uwezo wa kuona ni makonki, sio una uchawi wako wa buku jero huwezi gundua kitu. Na ukiwaumbua lazima ufe si kwa siku ile labda na wewe uwe konki utaponaJe huyo mtu kafa au hajafa? Kama kafa msiba lazima uwepo sasa kama umeshtukia ni kifo cha kimsukule maana yake maiti ni gogo na aliyekufa yupo hapo hapo msibani cha kufanya ni kuwaumbua hao wachawi hapo msibani.
Upo sahihi mkuu maana majini yao ni makali balaa kwaiyo inabidi uwe mpambano wa kufa au kupona!Kwanza wenye uwezo wa kuona ni makonki, sio una uchawi wako wa buku jero huwezi gundua kitu. Na ukiwaumbua lazima ufe si kwa siku ile labda na wewe uwe konki utapona
Jiwe hili la gizani limekupata sawiasomo lako linatufundisha nini?
Mkuu, hilo jina lako umenikumbusha mbali sana, Mtabila Kigoma 2015Hivi huwa mnajuaje haya jamani???
AmenAlaaniwe anaechukua wenzake msukule, afutike katika uso wa dunia