ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,200
- 88,157
Acha kuzingua basi,last tegime wananchi walikuwa wanalalamikia zaidi taasisi za haki na huduma kwamba pesa iko mbele lakini sio kwamba pesa haipatikani hapana this why mtu mmoja mmja walikuwa wana maendeleo kuliko saizi ambapo pesa ya kula tu ndio watu wanahangaika nayo,kumbuka wakibanwa wenye pesa maskini anazidi kuwa hoi ndio maana kilio ni kikubwa kuliko kipindi kilichopitaNimesema hivi: Wananchi wa kawaida hali ni ile ile. Kwa wakubwa waliokuwa wanafaidi kuna baadhi hali zao ni mbaya. Ila hilo siyo tatizo la wananchi wa kawaida. Ni tatizo lao na familia zao.
Mama muuza mboga na samaki mwenye kimeza tu aliniambia walikuwa wanaweza kuuza hadi 150,000 kwa siku lakini saizi ukipata 20,000 unaona ngekewa
Sasa mlishindwa nini kurekebisha yale mapungufu badala ya kuvuruga? Mafisadi na mahakama yao wako wapi ili kujustify hiyo ya kusema kulikuwa na wizi mkubwa? Haiingii akilini kila ngumbaru wa ccm saizi ndio mchumi