Tajiri Mapesa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 707
- 742
Habarini za leo wakuu,
Naombeni tuorodheshe sifa za super woman wakuu ili dada zetu wapate kuzitambua maana kumezuka wimbi la baadhi ya wadada wapanga mistari barabarani wanawake tegemezi hadi muda mwingine ukiamka bila kumwachia pesa ya mboga mezani anavimbisha mdomo nao wanajiita super woman.
Hiyo sio halali kabisa yaani kuna watu ukiwaona jinsi wanavyo fight unasema Yes this is super woman.
Naombeni tuorodheshe sifa za super woman wakuu ili dada zetu wapate kuzitambua maana kumezuka wimbi la baadhi ya wadada wapanga mistari barabarani wanawake tegemezi hadi muda mwingine ukiamka bila kumwachia pesa ya mboga mezani anavimbisha mdomo nao wanajiita super woman.
Hiyo sio halali kabisa yaani kuna watu ukiwaona jinsi wanavyo fight unasema Yes this is super woman.



