Zifahamu aina 7 za limbwata

Sawa mkuu, ni kweli
 
Ni kama kugeuza dish la azam
 
Bila shaka mzee wangu yule mama wa kilangi kumfanyia haya eti asinijari mimi bali awajari watoto aliozaa naye, inauma sana
 
Mie limbwata langu Mahaba tuu...

Mtu fudenge analegezewa macho...
Sauti inalegezwa na kutoka kwa vituo...
Huku anadekezwa kwa Mahaba Matata.....

Aahahahahhahaaaa akijastuka amaliza wiki nzima kwangu
.

K’ Platinum.
bibi bhana lol
 
numecheka hadi mbavu sina lol
 
Kuna mtu nataka nimroge tena huyu namchanganyia quote ya kaburi la mtoto mchanga naenda kuifanyia kigoma, ya kisomo naenda kilwa na nyingine nitnafanyia tanga yaani nachanganya mizim na majini mshenzi yule aonje maumivu maana anajifanya hasikii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…