johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,088
Makamu mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lisu huyasoma kwanza Mazingira kabla hajayaendea na Hii hufanya mikutano yake iwe na uhalisia tofauti na mikutano ya ACT wazalendo au CUF.
Swaga za Lisu huwafanya Watu wawe na hamu ya kutaka kujua "Leo ataongea nini"
Tofauti na mtu kama Zitto au Prof. Lipumba Hotuba Zao ni zile zile miaka yote
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
Swaga za Lisu huwafanya Watu wawe na hamu ya kutaka kujua "Leo ataongea nini"
Tofauti na mtu kama Zitto au Prof. Lipumba Hotuba Zao ni zile zile miaka yote
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀