Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,223
- 7,993
Tumia akili nyepesi kidogo, hilo neno limekosewa naamini alikuwa na maana ya neno Bunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
!
!
Asante Mwanasheria Msaidizi
Tumia akili nyepesi kidogo, hilo neno limekosewa naamini alikuwa na maana ya neno Bunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu arudi nyumbani wamuue ndo ujanja
vp kutekana, kumiminiana risasi ndio ujanja.
Kumpiga risasi kwa kueleza mawazo yake ndiyo kuendelea,na vyojua mimi ni mshamba na anaedhalilisha noble profession yake ni yule anayeona sheria mbovu ziki pita na sheria zikivunjwa na kuitetea ivunjwe,na siyo yule anayepaza sauti anapoona sheria haifuatwi na yeye anatetea ifuatwe,halafu unasema Lisu ni mshamba?hilo siwezi kukujibu ila jitazame kwenye kioo ukiwa umevaa suti inayouzwa kariakoo.Hakuna tija ya mtu mwenye akili timamu kuwasimulia ubaya wa nchi yako kwa watu wa nje ambao kwa namna yoyote ile hawana mchango wowote kwa nchi yako. Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha mtu kutokuwa na uzalendo wa nchi yako. Sasa Tundu Lisu anawasimulia hao mambo mabaya ya TZ ili iweje? Anataka nini? Watamsaidia nini?Ni ushamba mtupu.
Nashanga kwa nini Bungu halijachukua hatua ya kumfukuza ubunge kwa mujibu wa sheria/kanuni za bunge. Hoja ya ugongwa haipo tena. Kitanda cha mgonjwa amekiacha ubeligiji. Yeye yuko Ujerumani,USA nk. Huyo siyo mgonjwa tena. Afukuzwe ubunge! Mimi ni mwanasheria kama yeye, lakini ktk hili ameidhalilisha noble profession ya sheria. Anachofanya ni kuuza,kubomoa heshima ya nchi kwa masilahi mafupi yake binfsi. Shame on him!
Wewe ndiyo mashamba na inaonekana huna exposure yoyote zaidi ya kuwa kadaHakuna tija ya mtu mwenye akili timamu kuwasimulia ubaya wa nchi yako kwa watu wa nje ambao kwa namna yoyote ile hawana mchango wowote kwa nchi yako. Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha mtu kutokuwa na uzalendo wa nchi yako. Sasa Tundu Lisu anawasimulia hao mambo mabaya ya TZ ili iweje? Anataka nini? Watamsaidia nini?Ni ushamba mtupu.
Nashanga kwa nini Bungu halijachukua hatua ya kumfukuza ubunge kwa mujibu wa sheria/kanuni za bunge. Hoja ya ugongwa haipo tena. Kitanda cha mgonjwa amekiacha ubeligiji. Yeye yuko Ujerumani,USA nk. Huyo siyo mgonjwa tena. Afukuzwe ubunge! Mimi ni mwanasheria kama yeye, lakini ktk hili ameidhalilisha noble profession ya sheria. Anachofanya ni kuuza,kubomoa heshima ya nchi kwa masilahi mafupi yake binfsi. Shame on him!
Mm nawaogopa saana wanasiasa wanaowapiga risasi wakosoaji!Nikiangalia kinachoendelea ile nchi yenye akiba kubwa ya mafuta duniani (Venezuela) Jinsi Juan Guaido anavyo ungwa mkono na USA kiasi Marekani anafikia kutaka kuipora kila mali inayomilikiwa na Serikali ya Venezuela nje ya taifa lake iwanyang'anye serikali alafu imilikishe Juan Guaido ziwe chini yake..! nawaogopa sana wanasiasa wanaungwa mkono na mataifa ya Magharibi!
Kuna mapambano ya hoja Tanzania? Alikuwa akipambana kwa hoja mmemjibu kwa risasi 38!Wajinga wenzie kama wewe ndo anatoa nondo, kwa waelewa wa mambo tunaona anapayukapayuka tuu na hana maana wala tija tena kwa taifa. Arudi bongoland tuje tupambane kwa hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na waalio taka kumuua wao ni wajanja? Acha ujinga weweHakuna tija ya mtu mwenye akili timamu kuwasimulia ubaya wa nchi yako kwa watu wa nje ambao kwa namna yoyote ile hawana mchango wowote kwa nchi yako. Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha mtu kutokuwa na uzalendo wa nchi yako. Sasa Tundu Lisu anawasimulia hao mambo mabaya ya TZ ili iweje? Anataka nini? Watamsaidia nini?Ni ushamba mtupu.
Nashanga kwa nini Bungu halijachukua hatua ya kumfukuza ubunge kwa mujibu wa sheria/kanuni za bunge. Hoja ya ugongwa haipo tena. Kitanda cha mgonjwa amekiacha ubeligiji. Yeye yuko Ujerumani,USA nk. Huyo siyo mgonjwa tena. Afukuzwe ubunge! Mimi ni mwanasheria kama yeye, lakini ktk hili ameidhalilisha noble profession ya sheria. Anachofanya ni kuuza,kubomoa heshima ya nchi kwa masilahi mafupi yake binfsi. Shame on him!
Wewe una ujanja gani? Yaani kuweza ku access Mitandao ya kijamii ndo unajiona mjanja?Wajinga wenzie kama wewe ndo anatoa nondo, kwa waelewa wa mambo tunaona anapayukapayuka tuu na hana maana wala tija tena kwa taifa. Arudi bongoland tuje tupambane kwa hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe endelea kuona ushamba ila sisi tunaona ni poaaaa sana tuHakuna tija ya mtu mwenye akili timamu kuwasimulia ubaya wa nchi yako kwa watu wa nje ambao kwa namna yoyote ile hawana mchango wowote kwa nchi yako. Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha mtu kutokuwa na uzalendo wa nchi yako. Sasa Tundu Lisu anawasimulia hao mambo mabaya ya TZ ili iweje? Anataka nini? Watamsaidia nini?Ni ushamba mtupu.
Nashanga kwa nini Bungu halijachukua hatua ya kumfukuza ubunge kwa mujibu wa sheria/kanuni za bunge. Hoja ya ugongwa haipo tena. Kitanda cha mgonjwa amekiacha ubeligiji. Yeye yuko Ujerumani,USA nk. Huyo siyo mgonjwa tena. Afukuzwe ubunge! Mimi ni mwanasheria kama yeye, lakini ktk hili ameidhalilisha noble profession ya sheria. Anachofanya ni kuuza,kubomoa heshima ya nchi kwa masilahi mafupi yake binfsi. Shame on him!
ameuliza bungu ni kitu gani... kwa mtu mwenye akili zake hawezi kuuliza BUNGE ni kitu gani? WAKUPIMWA HUYUTumia akili nyepesi kidogo, hilo neno limekosewa naamini alikuwa na maana ya neno Bunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
!
!
Samahani Mwanasheria, Bungu Ni Kitu Gani Hiki?
Tumia akili nyepesi kidogo, hilo neno limekosewa naamini alikuwa na maana ya neno Bunge.
Sent using Jamii Forums mobile app