Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

If unsure of reality compare USA's investment in Africa for the past 50 years and China's for the past 10 years, you will know who is bogus!
 
tutamtupia kiatu kama Bush, we muache!

The ugly reality is that China hana historia ya colonization katika Africa, they are a friend we can trust, Wamarekani, waingereza, wafaransa na wenzao wa magharibi wana hila sana hao, bado wanatucolonize kisasa, kiuchumi kupitia world bank na IMF, siasa zao zinatudumaza, wanapanga sheria za uwekezaji wao wanatuma na wawekezaji wao waje kutukamua, tukigoma tunapelekwa ICC.

USA wana wivu, wakati China inaanza kujijenga walihaha sana kuuingiza ubepari huko China wakagoma, kukataa influence yao mbaya na kucontrol uchumi wao, pamoja na vikwazo walivyoiwekeaga leo imekuja juu na ndio kwanza haiexploint potential yake to the maxi, hii ni moja ya muendelezo wa kisiasa wa kampeni yao ya kulinda economic interest zao afrika, ukifuatiwa na hawa jamaa wao wa Peacecorps,wanaotujasusi.

Anazeeka vibaya huyo mama.

Heubu soma hapa ndio utajua nani Mkoloni....The African 'Star Wars' - Opinion - Al Jazeera English
"We don't want to see a new colonialism in Africa" ...... look who is talking!
 
Mnafiki tu huyu akafie mbele huko....hawana rafiki wa kweli hawa wajinga tu wananuka damu wauaji wakubwa wamarekani hawana maana...wanaua watu Afrika hapa kila mara mjinga sana huyu mama
 
Mnafiki tu huyu akafie mbele huko....hawana rafiki wa kweli hawa wajinga tu wananuka damu wauaji wakubwa wamarekani hawana maana...wanaua watu Afrika hapa kila mara mjinga sana huyu mama

marekani kama wakuu wa hii dunia wanakaa pale washington na kutoa order,wachina wameamua kuja africa kuchukua resorces zetu lakini ni kama tunabadilishana wanatujengea infrastructure,
lakini wamerekani ndio wana nguvu, lakini tunafaidika nini na nguvu zao?
wachina hawataki maneno mengi,wanakuja kutujengea barabara na majengo yetu,laknin wanaondoka na madini,
tushikamane na nani???siku zote mmarekani alikuwa wapi ??? kazi ni kukaa pale washington na kutoa order,wanafiki sana!!!!
 
Sasa wameamua kujiweka wazi, hii ndo vita wanayopigana huko Libya, poor Gadafi. vita wanayopigana si ya kumwondoa Gadafi bali ni kwa ajili ya kuwasimamisha wachina wasiendelee zaidi,China imekuwa tishio kwa marekani na europe. Wanachofanya saizi ni kuvuruga mipango ya wachina.
 
jamani watanzania na wada wa JF....hii leo ya waziri wa mambo ya nje wa marekani BI hilary clinton amewasili mkoani pwani wilaya ya kibaha katika tarafa ya Mlandizi jimbo la kibaha vijijini la mheshimiwa ABUU JUMAA...kikubwa alichokuja kufanya mheshimiwa huyu ni juu ya kukagua na kutembelea shamba shule la bustani ya mbogamboga liliko km5 kutoka morogoro road...swali la msingi ndugu zangu wa JF naomba mnisaidie hv ni kweli ametoka marekani kuja kuangalia hizo mbogamboga? kwani marekani hakuna? au yeye anayake? au ndo nchi ishauzwa nashindwa kuelewa wana JF.???
 
TAPELI HUYO SIKU MKIWAFUKUZA BARRICK MTAONA MOTO KAMA UNAOMPATA GHADAFF...hawafai kabisa wamarekani
 
The Telegraph Sunday 12 June 2011

Hillary Clinton has been in discussions with the White House about stepping down from her job as Secretary of State to become head of the World Bank, according to reports. Reuters said Clinton was in discussions with the White House to leave her job next year and take over as head of the World Bank, replacing Robert Zoellick, should he leave at the end of his term in mid-2012.

Mrs Clinton has made clear she does not want to remain US Secretary of State, a gruelling job demanding months of world travel each year, beyond Mr Obama's first term.

Another source told Reuters that Mr Obama supported her taking the helm at the World Bank, which is traditionally led by an American.
 
Tatizo mojawapo la umasikini ni kunagalia katika urefu wa pua tu! Umaskini wetu bongo umetufikisha kuangalia leo tu! Huyu mama anachokisema ni sahihi lakini kwa vile tumegubikwa na umaskini wa kiuchumi na kifikra tunaishia kusema hayo yaliyosemwa na wachangiaji. Ndio Mchina anajenga miundombinu na vyote hivyo - lakini kwa kuingia mapatano ya 'kichina' na 'the elites'. Matokeo yake wajukuu zetu wataishia kulipa mikopo ya barabara ambazo hazitakuwepo tena!!!!! Hilo hatulioni. Barabara zenyewe na majengo ya kwa mfano UDOM yameanza kumeguka hata kabla ya sisi tuliokula hatujatoweka!!! Mmarekani analenga kuhimiza watu wa afrika wajenge uwezo wa kiuchumi na kisiasa kutoka chini (bottom-up) - huo ndio uwezo endelevu (sustainable ability to manage your resources: economic, social, political, etc.). Haya ndugu zangu tuendelee kuangalia tu katika urefu wa pua!!!:sleepy:
 
Leo Hillary Clinton ametembea iliyokuwa mitambo ya kuzalisha umeme Dowans na hatimaye Symbion. Swali langu, je hili ni juhudi za kutuziba mdomo watanzania kuhusu uhalali wa mkataba huo?
Source TBC1 20:00 Habari.
 
VILEVILE TUKUMBUKE KUWA .... rais Kikwete alipokuwa nje ya nchi na waziri wa nishati na madini alisikika akisema, 'haya mambo ya Dowans yamenichosha. Miaka minne yote ni Dowans, Dowans kila kukicha. Sitaki kusikia, labda kama watakuja kwa kupitia kampuni nyingine."
 
Ni katika kujaribu kuhalisha ununuzi wa mitambo. Kwani mie sioni umuhimu wa Mama Clinton kutembelea mitambo hiyo
Naunga mkono hoja haukukuwa na umuhimu wa yeye kutembelea mitambo, licha ya kuhalalisha ununzi huo pia ni kuziba midomo ya waandishi wa habari na wananchi waliokuwa wanabeza kuhusu ubora wa mitambo hiyo.
 
Back
Top Bottom