"We don't want to see a new colonialism in Africa" ...... look who is talking!
Sounds funny, it means that we have to stick to old colonialism. Nothing more than the Maitanance of the staus quo"We don't want to see a new colonialism in Africa" ...... look who is talking!
Mnafiki tu huyu akafie mbele huko....hawana rafiki wa kweli hawa wajinga tu wananuka damu wauaji wakubwa wamarekani hawana maana...wanaua watu Afrika hapa kila mara mjinga sana huyu mama
yah, a new cold warNaona kama cold war imerudi, only that this time around USSR imekuwa replaced na China!
Naunga mkono hoja haukukuwa na umuhimu wa yeye kutembelea mitambo, licha ya kuhalalisha ununzi huo pia ni kuziba midomo ya waandishi wa habari na wananchi waliokuwa wanabeza kuhusu ubora wa mitambo hiyo.Ni katika kujaribu kuhalisha ununuzi wa mitambo. Kwani mie sioni umuhimu wa Mama Clinton kutembelea mitambo hiyo