NgumiJiwe
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 861
- 305
Jaribuni kumu-observe kwa makini Prof Mwandosya, so far hajajiingiza katika tafrani yoyote ya kumpa umaarufu kwa cheap politics, na JK anajua hilo
Lakini Prof ni mgombea mtarajiwa na tishio 2015..Angemsiliba zaidi ya wengine ili kumsafishia njia mshkaji wake!