sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,010
- 8,355
Mkoani Kagera Mzee Kagasheki alikataa kata kata kuwa miongoni mwa wazee watakaompokea Rais alivyokuja kwenye ziara ya kutoa pole mkoani Kagera baadae baada ya ziara ile kuna vijineno alianza kuwa anaviandika kupitia twitter.
Sasa je najiuliza Prof. Mark Mwandosya atavunja ukimnya na kwenda kumlaki Rais?
Karibuni watabiri.
Sasa je najiuliza Prof. Mark Mwandosya atavunja ukimnya na kwenda kumlaki Rais?
Karibuni watabiri.