ingia kwenye hii web SWAHILI ORIGINAL WORLDWIDE utaipata
Hebu sikiliza hili mbupu we dogo halafu useme matusi yako wapi hapo? View attachment 37318
we shika adabu yako. muhuni ni huyo hapo chini anayeenda kupiga picha na boyzIImen marekani kwa kutumia kodi zetu.Tuacheni kutetea upumbavu.......ivi nyie mnaakili sawa sawa kweli kusapoti ujinga anaouufanya sugu....mtu ameingia studio kurekodi albam ya matusi...hii inaonesha hana busara mbele ya jamii...ni muhuni...afu anajitokeza mtu anakemea nyie mnampinga...ebu kueni wakubwa bac
Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.
<br />
<br />
Antivirus vol. 2 imetoka last week wewe
<br />Wewe na Zembela akili zenu kama zinafanana,tofauti yele fundi wa kuongea wewe fundi wa kuandika.Tatizo hamfikirishi ubongo vyema kabla ya kuongea /kuandika..Tafuta hoja za msingi<br />
UNATOA WAPI MUDA WA KUANDIKA MAADA ZA KUJADILI MANENO YA ZEMBWELA?
hebu pitia pitia link hii uoneJoseph Mbilinyi (Mr II - SUGU) .Au kuna majukumu mengine binafsi ameshindwa kumfanyia huyo shangazi yako?<br />
<br />
Mkuu, hoja za msingi ni zipi? Sugu ni mbunge wa jimbo ambalo shangazi yangu anaishi kwahiyo kushindwa kwake majukumu kutaniathiri moja kwa moja.
<br />
<br />
Mkuu, hoja za msingi ni zipi? Sugu ni mbunge wa jimbo ambalo shangazi yangu anaishi kwahiyo kushindwa kwake majukumu kutaniathiri moja kwa moja.
hebu pitia pitia link hii uoneJoseph Mbilinyi (Mr II - SUGU) .Au kuna majukumu mengine binafsi ameshindwa kumfanyia huyo shangazi yako?
naomba nikupinge mkuu<br /><br />
<br /><br />
<br />
Zembwela hafai kuwa mtangazaji wa redio, hasa kwa kipindi kama hicho, hana uelewa wa kutosha kukiendesha, matamshi, nk. Ni maoni yangu tu.
Hahahaaaaaaaaaaaaaa<br />
<br />
Mkuu, hoja za msingi ni zipi? Sugu ni mbunge wa jimbo ambalo shangazi yangu anaishi kwahiyo kushindwa kwake majukumu kutaniathiri moja kwa moja.
Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.
Ni comedic radio personality mmoja mkubwa sana kwa viwango vya bongo. Ni dizaini ya Kibonde, lightweight fulani, hana substantive commentary bali ni kuchekesha chekesha tu, lakini, again, kwa level yetu ya uelewa kibongo bongo, ana masikio ya wengi sana.Zembwela ni nani?