Zawadi ya mpenzi wangu Munkari

Zawadi ya mpenzi wangu Munkari

Hapo chacha!!
JF bwana,mtu anaweza kukumwagia tindikali hivi hivi!!Sasa mimi mbona siulizwi?
Majibu: Hanifahamu
Chezea tindikali wewe??

Dogo kumbe unatishia nyau, hutaki jimbo hilo au ulitaka kuchafua hali ya hewa? hahahaha
 
si amekwambia uzee mwisho chalinze jamani, hujamuelewa au kiburi? after all ww unaaongea saa ngapi na bebi yako Munkari. kutwa kucha kuchunguza malavi navi yetu?

DEMBA,we acha tu kuna muda wetu spesho wa kupeana pongezi,asante,pole ,we acha tu wenyewe twajuana loh!
 
Dogo kumbe unatishia nyau, hutaki jimbo hilo au ulitaka kuchafua hali ya hewa? hahahaha

Mkuu Kaizer ni nani hasiyelitaka jimbo hilo?Jimbo Lenye maziwa na asali,almasi,tanzanite na dhahabu?Chezea Munkari wewe? Mokoyo ni kaka yangu jamani.Isitoshe nimemuomba anipe tuition ya mistari
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom