Zawadi ya mpenzi wangu Munkari

Zawadi ya mpenzi wangu Munkari

01w.jpg
Mpenzi wangu Munkari hii ndio zawadi yako kutoka kwangu. Sio kwamba nakuonga ila nakupenda kwa dhati ya moyo wangu. Hii zawadi ni kukuonyesha ni jinsi gani nakupenda, nakupenda na nakupenda. Wewe ndie asali wa moyo wangu, mpenzi wa moyo wangu, barafu wa moyo wangu. Njoo utulie na mimi achana na maneno ya kinafiki ya jirani zetu hapa JF. Nakupenda kwa dhati mumie Munkari.....

looh! Hadi cha kusema nimeshindwa!..aaa..aah..!

Sema,''Asante,lakini samahani ninalo gari la kutembelea pia isitoshe sipokei zawadi,sitaki kumuudhi wangu''
 
sweetie husikose cha kusema, ni mapenzi haya yaliyoko ndani ya moyo wangu

looh! Ujue mwenzio had pressure next tyme ukitaka kunisurprise jaman uniambie utaniua mwenzio loh! Yani leo naomba nkutoe out tena uchague mwenyewe wapi wataka kwenda kuanzia lunch had dinner leo no kurudi nyumbani kila kitu juu yangu. waage kabisa jirani zako.. watu8 Lady doctor DEMBA Kaizer Heaven on hearth Mamndenyi na wengineo!
 
Last edited by a moderator:
looh! Ujue mwenzio had pressure next tyme ukitaka kunisurprise jaman uniambie utaniua mwenzio loh! Yani leo naomba nkutoe out tena uchague mwenyewe wapi wataka kwenda kuanzia lunch had dinner leo no kurudi nyumbani kila kitu juu yangu. waage kabisa jirani zako!
Munkari, unamfahamu sungura1980?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom