Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
hahahaaa, haya kila lakheli mamito
Hawa utani utani Mokoyo anaweza piga "ngozi manyoya"hivi hivi kimjini mjini ahahahah!
si amekwambia uzee mwisho chalinze jamani, hujamuelewa au kiburi? after all ww unaaongea saa ngapi na bebi yako Munkari. kutwa kucha kuchunguza malavi navi yetu?
aaah Munkari hata kujifaragua unashindwa jamani au hujaupenda mkoko!!!!!
wii yaani mara ya mwisho kaka ako kuniletea suprise sijui ilikuwa lini hakiyamama
mimisa kumbe ni wengi tulikuwa hatufaham, Kaizer na DEMBA wamefanya siiiri weemi ndo kwanza nafahamu leo
mimisa kumbe ni wengi tulikuwa hatufaham, Kaizer na DEMBA wamefanya siiiri wee
dunia hii haina siri
cc Lady doctor