CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Walikuwa jela kwa miaka mitano..Nimegundua wadanganyika mnapenda sana siasa na kudanganyana. Hii mihemko ingekua mnaileta kwenye kujiletea maendeleo kwenye uchumi wa viwanda tungefika mbali sana. Yaani aidia ya dona kantri ya mkulu ingekua reality ndani ya miezi 6!