Mbona mnashabikia Sana mauaji, jiueni wenyewe Basi ili mfikishe idadi muitakayo nyambafu!ALERT : Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)
Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.
Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9
#ZanzibarLivesMatter
View attachment 1614174
Huku Zanzibar ni amani ndiyo iliyotawala hizo mboyoyo hazina mashiko.Haya kama zinaelea vizuri basi twaomba ututumie ushahidi wa hicho unachodai. Nyie vibaraka wa mboga mboga nanyi hamuaminiki..!
Umelewa au bado?Tii sheria bila shuruti
Risasi ambayo haijatumika itauaje?
Chadema acheni siasa chafu
Wenye comment k