Mara nyingi nikiendaga huko nafikia lodge yangu moja iko Fuoni na inaitwa Fuoni Lodge iko poa sana na upande wake wa pili kuna bar kubwa sana vinywaji vyote vipo na kuna watoto wazuri sana ingawa ni mbali kutokea mjini huwa napumzika vizuri mno.Ipo mwisho zinapogeuzia daladala za Fuoni