Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Wizara ya Afya Zanzibar yatangaza wagonjwa wengine wapya 6 wa virusi vya Corona. Wagonjwa wanne ni vijana.
Na Vifo vingapi mkuuWagonjwa sita huku vijana wakiwa watano
Not good to hear but facts must be accepted.Wagonjwa sita huku vijana wakiwa watano
Barua haina tarehe?Wizara ya Afya Zanzibar yatangaza wagonjwa wengine wapya 6 wa virusi vya Corona. Wagonjwa wanne ni vijana.
Barua haina tarehe????
Huyu mh Hamad Rashid ndio angekuwa anatoa taarifa za Tanzania nzima, uandishi wake ni wa kiwango!Wizara ya Afya Zanzibar yatangaza wagonjwa wengine wapya 6 wa virusi vya Corona. Wagonjwa wanne ni vijana.
Kabisa mkuu yaani anataja hadi eneo analoishi mgonjwa,hii ni nzuri inaongeza umakini kwa wananchi wa eneo husika' taarifa za ummy ni za kulipualipua tuHuyu mh Hamad Rashid ndio angekuwa anatoa taarifa za Tanzania nzima, uandishi wake ni wa kiwango!
Kila baada ya saa 24 tarehe ya nini!Barua haina tarehe????
.... halafu PhD mwingine anashauri takwimu zifichwe! Ajabu sana.Kabisa mkuu yaani anataja hadi eneo analoishi mgonjwa,hii ni nzuri inaongeza umakini kwa wananchi wa eneo husika' taarifa za ummy ni za kulipualipua tu
Sent using Jamii Forums mobile app