Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewataka wananchi wavumilie anapokwenda kuchukua maamuzi magumu ili kukomesha ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma Zanzibar
Amesema hayo eleza hayo alipokuwa akitoa shukrani kwa viongozi wa CCM na jumuiya zake pamoja na wazee na mabalozi wa chama hicho. Amesema katika maendeleo ya watu hatokuwa na utani
Aidha ametaja kuwa kwa takriban mwezi mmoja aliokuwa madarakani, kila sehemu akigusa kuna harufu ya ufisadi kwa hiyo hatoangalia kama huyu ni mtoto wa fulani, ndugu wa fulani atakapoamua
Katika maamuzi magumu atakayochukua, hatafukua makaburi wala kumtafuta mchawi baada ya maamuzi hayo kila senti ya fedha za umma itaheshimiwa
Amesema hayo eleza hayo alipokuwa akitoa shukrani kwa viongozi wa CCM na jumuiya zake pamoja na wazee na mabalozi wa chama hicho. Amesema katika maendeleo ya watu hatokuwa na utani
Aidha ametaja kuwa kwa takriban mwezi mmoja aliokuwa madarakani, kila sehemu akigusa kuna harufu ya ufisadi kwa hiyo hatoangalia kama huyu ni mtoto wa fulani, ndugu wa fulani atakapoamua
Katika maamuzi magumu atakayochukua, hatafukua makaburi wala kumtafuta mchawi baada ya maamuzi hayo kila senti ya fedha za umma itaheshimiwa