Zanzibar: Rais Mwinyi atengua uteuzi wa viongozi watano

Amewafuta kazi, siyo kutengua uteuzi.

Sujui kwanini huwa taarifa hizi hurembwa na neno "kutengua uteuzi" badala ya "kufukuza kazi", "kufuta kazi" au "kusitisha kazi/mkataba".
kilichofanyika ni kufuta uteuzi (cheo) hao wanaendelea kuwa watumishi wa Umma. Utaratibu wao wanaendelea kupokea mshahara wa vyeo vyao isipokuwa posho ya mafuta inatoka hadi kustaafu au wapate uteuzi mwengine.
 
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi katika Wizara za elimu, Uchumi na Uwekezaji na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu Mtendaji, Zena Said leo Februari 3, 2022 imewataja waliotenguliwa ni pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Omar Ali Omar.

Mwingine aliyetajwa katika taarifa hiyo ni Suleiman Yahya Ame Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu katika wizara hiyo ya elimu.

Wengine ni Fatma Iddi Ali, Kamishna wa Kazi katika ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji na Salum Ubwa Nassor, Ofisa Mdhamini, Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Pemba.

Katika orodha hiyo pia kuna Mkurugenzi wa Idara ya Jinsia na Watoto katika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Nasima Haji Choum

Ametengua nafasi hizo kuanzia leo.

Huyo ndio angekua rais wa jamhuri bhana sio huyu ruksa kula urefu wa kamba. RIP JPM
 
Bila shaka aliyekua mkuu wa mkoa wa Mwanza Albert Chalamila na mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya "walifukuzwa kazi" na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Shangazi yako ana double standard ,hili lakusema hatafukuza mtu ni akongea majuzi ata week mbili hazijafika,kwa ufupi shangazi yako hajui ashike lipi aache lipi.
 
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi katika Wizara za elimu, Uchumi na Uwekezaji na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu Mtendaji, Zena Said leo Februari 3, 2022 imewataja waliotenguliwa ni pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Omar Ali Omar.

Mwingine aliyetajwa katika taarifa hiyo ni Suleiman Yahya Ame Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu katika wizara hiyo ya elimu.

Wengine ni Fatma Iddi Ali, Kamishna wa Kazi katika ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji na Salum Ubwa Nassor, Ofisa Mdhamini, Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Pemba.

Katika orodha hiyo pia kuna Mkurugenzi wa Idara ya Jinsia na Watoto katika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Nasima Haji Choum

Ametengua nafasi hizo kuanzia leo.

Huyu naye kazi anayoiweza ni kuteua na kutengua, dikteta aliwaharibu sn hawa watu
 
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi katika Wizara za elimu, Uchumi na Uwekezaji na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu Mtendaji, Zena Said leo Februari 3, 2022 imewataja waliotenguliwa ni pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Omar Ali Omar.

Mwingine aliyetajwa katika taarifa hiyo ni Suleiman Yahya Ame Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu katika wizara hiyo ya elimu.

Wengine ni Fatma Iddi Ali, Kamishna wa Kazi katika ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji na Salum Ubwa Nassor, Ofisa Mdhamini, Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Pemba.

Katika orodha hiyo pia kuna Mkurugenzi wa Idara ya Jinsia na Watoto katika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Nasima Haji Choum

Ametengua nafasi hizo kuanzia leo.

Huyu naye watamkorona kama Jiwe, anaanza sifa za kijinga(kidikteta)
 
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi katika Wizara za elimu, Uchumi na Uwekezaji na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu Mtendaji, Zena Said leo Februari 3, 2022 imewataja waliotenguliwa ni pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Omar Ali Omar.

Mwingine aliyetajwa katika taarifa hiyo ni Suleiman Yahya Ame Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu katika wizara hiyo ya elimu.

Wengine ni Fatma Iddi Ali, Kamishna wa Kazi katika ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji na Salum Ubwa Nassor, Ofisa Mdhamini, Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Pemba.

Katika orodha hiyo pia kuna Mkurugenzi wa Idara ya Jinsia na Watoto katika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Nasima Haji Choum

Ametengua nafasi hizo kuanzia leo.

Huyo nae anahangaika na Jiwe staili mwishowe afe kwa stress kama Jiwe..

Anahangaika kulazimisha kupendwa kwa kuzalisha Chuki,hajifunzi kwa Samia? SSH hana ujinga wa kulazimisha watu wamkubali,wenyewe watamkubali kwa matokeo chanya.
 
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi katika Wizara za elimu, Uchumi na Uwekezaji na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu Mtendaji, Zena Said leo Februari 3, 2022 imewataja waliotenguliwa ni pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Omar Ali Omar.

Mwingine aliyetajwa katika taarifa hiyo ni Suleiman Yahya Ame Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu katika wizara hiyo ya elimu.

Wengine ni Fatma Iddi Ali, Kamishna wa Kazi katika ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji na Salum Ubwa Nassor, Ofisa Mdhamini, Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Pemba.

Katika orodha hiyo pia kuna Mkurugenzi wa Idara ya Jinsia na Watoto katika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Nasima Haji Choum

Ametengua nafasi hizo kuanzia leo.

safi kabisa rais mwinyi sisi huku tunarudisha matapishi yaliyotemwa na JPM kazi na iendelee.
 
Back
Top Bottom