kilichofanyika ni kufuta uteuzi (cheo) hao wanaendelea kuwa watumishi wa Umma. Utaratibu wao wanaendelea kupokea mshahara wa vyeo vyao isipokuwa posho ya mafuta inatoka hadi kustaafu au wapate uteuzi mwengine.Amewafuta kazi, siyo kutengua uteuzi.
Sujui kwanini huwa taarifa hizi hurembwa na neno "kutengua uteuzi" badala ya "kufukuza kazi", "kufuta kazi" au "kusitisha kazi/mkataba".
Huko Zenji Mwinyi hajatoa rukhsa kula?Kwahiyo unataka waendelee kula mshahara wa bule hata Kama kazi imewashinda.
Huyo ndio angekua rais wa jamhuri bhana sio huyu ruksa kula urefu wa kamba. RIP JPMUnguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi katika Wizara za elimu, Uchumi na Uwekezaji na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu Mtendaji, Zena Said leo Februari 3, 2022 imewataja waliotenguliwa ni pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Omar Ali Omar.
Mwingine aliyetajwa katika taarifa hiyo ni Suleiman Yahya Ame Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu katika wizara hiyo ya elimu.
Wengine ni Fatma Iddi Ali, Kamishna wa Kazi katika ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji na Salum Ubwa Nassor, Ofisa Mdhamini, Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Pemba.
Katika orodha hiyo pia kuna Mkurugenzi wa Idara ya Jinsia na Watoto katika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Nasima Haji Choum
Ametengua nafasi hizo kuanzia leo.
Shangazi yako ana double standard ,hili lakusema hatafukuza mtu ni akongea majuzi ata week mbili hazijafika,kwa ufupi shangazi yako hajui ashike lipi aache lipi.Bila shaka aliyekua mkuu wa mkoa wa Mwanza Albert Chalamila na mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya "walifukuzwa kazi" na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Itenguliwa mshahara wao wanahaki nao wakipangiwa kazi nyingine.Kwahiyo unataka waendelee kula mshahara wa bule hata Kama kazi imewashinda.
Kula kwa asawa wa nini?Huko Zenji Mwinyi hajatoa rukhsa kula?
Imeongezeka mkuuNadhani huyu jamaa ndio Rais anayeongoza kwa kutengua watu duniani kwa sasa , Cha kushangaza sasa dhiki ya Wazanzibar iko palepale !
Mhandisi ZenaKumbe ni ya nani
Huyu naye kazi anayoiweza ni kuteua na kutengua, dikteta aliwaharibu sn hawa watuUnguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi katika Wizara za elimu, Uchumi na Uwekezaji na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu Mtendaji, Zena Said leo Februari 3, 2022 imewataja waliotenguliwa ni pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Omar Ali Omar.
Mwingine aliyetajwa katika taarifa hiyo ni Suleiman Yahya Ame Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu katika wizara hiyo ya elimu.
Wengine ni Fatma Iddi Ali, Kamishna wa Kazi katika ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji na Salum Ubwa Nassor, Ofisa Mdhamini, Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Pemba.
Katika orodha hiyo pia kuna Mkurugenzi wa Idara ya Jinsia na Watoto katika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Nasima Haji Choum
Ametengua nafasi hizo kuanzia leo.
Inasemekana ni mkristo si unajua tenaCharlse Hilary sijui aliteuliwa kufanya nini? Taarifa zote zinatolewa na Katibu Mkuu Kiongozi
Pandikizi la diktetaHuyu mtalii anachapa kazi ya kutengua na kuteua tu
Ndiyo anachoweza hakuna cha maana anafanyaTumechoka tengua tengua ajikite kwenye kupunguza mfumuko Wa bei wa bidhaa, vitu bei juu Sana maisha ya wananchi yanazidi kuwa magumu.
Ni kuongeza gharama kwa wananchi bila sababu za msingiHata wak
Itenguliwa mshahara wao wanahaki nao wakipangiwa kazi nyingine.
Huyu naye watamkorona kama Jiwe, anaanza sifa za kijinga(kidikteta)Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi katika Wizara za elimu, Uchumi na Uwekezaji na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu Mtendaji, Zena Said leo Februari 3, 2022 imewataja waliotenguliwa ni pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Omar Ali Omar.
Mwingine aliyetajwa katika taarifa hiyo ni Suleiman Yahya Ame Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu katika wizara hiyo ya elimu.
Wengine ni Fatma Iddi Ali, Kamishna wa Kazi katika ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji na Salum Ubwa Nassor, Ofisa Mdhamini, Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Pemba.
Katika orodha hiyo pia kuna Mkurugenzi wa Idara ya Jinsia na Watoto katika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Nasima Haji Choum
Ametengua nafasi hizo kuanzia leo.
Huyo nae anahangaika na Jiwe staili mwishowe afe kwa stress kama Jiwe..Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi katika Wizara za elimu, Uchumi na Uwekezaji na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu Mtendaji, Zena Said leo Februari 3, 2022 imewataja waliotenguliwa ni pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Omar Ali Omar.
Mwingine aliyetajwa katika taarifa hiyo ni Suleiman Yahya Ame Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu katika wizara hiyo ya elimu.
Wengine ni Fatma Iddi Ali, Kamishna wa Kazi katika ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji na Salum Ubwa Nassor, Ofisa Mdhamini, Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Pemba.
Katika orodha hiyo pia kuna Mkurugenzi wa Idara ya Jinsia na Watoto katika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Nasima Haji Choum
Ametengua nafasi hizo kuanzia leo.
safi kabisa rais mwinyi sisi huku tunarudisha matapishi yaliyotemwa na JPM kazi na iendelee.Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi katika Wizara za elimu, Uchumi na Uwekezaji na wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu Mtendaji, Zena Said leo Februari 3, 2022 imewataja waliotenguliwa ni pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Omar Ali Omar.
Mwingine aliyetajwa katika taarifa hiyo ni Suleiman Yahya Ame Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu katika wizara hiyo ya elimu.
Wengine ni Fatma Iddi Ali, Kamishna wa Kazi katika ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji na Salum Ubwa Nassor, Ofisa Mdhamini, Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Pemba.
Katika orodha hiyo pia kuna Mkurugenzi wa Idara ya Jinsia na Watoto katika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Nasima Haji Choum
Ametengua nafasi hizo kuanzia leo.