Zanzibar: Pemba hali ni tete, vurugu kati ya Polisi na raia

Status
Not open for further replies.

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
Pemba hali ni tete, vurugu kati ya maafsaa wa polisi na raia zimeripotiwa hii Leo huku mamia ya wapemba wakikimbilia Mombasa katika nchi jirani ya Kenya.

Ikumbukwe vurugu hizi zinakuja ikiwa ni Siku moja tu baada ya Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi visiwani humo ndugu Jecha kutoa waraka wake kwa vyombo vya habari kuwa hali ya usalama visiwani humo ni salama na Amani.

Mungu iepushe Tanzania na haya majanga
10376863_244269689243989_3740904164997124683_n.jpg

10363330_244269699243988_2952147378466933171_n.jpg

1915685_244269742577317_6720535532716214146_n.jpg

12821400_244269919243966_2618324487934497365_n.jpg


===================

Update: 19:00HRS


Hizi Picha hazihusiani na Uchaguzi unaoendelea Zanzibar. Hizi Picha zinazosambaa kwenye Mitandao ya Kijamii ni za kupotosha. Ni picha za Zamani kipindi cha Uamusho Zanzibar Julai 2012.
 
Ndiyo kwanza tumeanza kuwachana watanyooka tu ngoja tujiweke sawa bunduki zipo nyingi na risasi za kutosha sisi kazi yetu kuwatwanga tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom