mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,306
- 6,514
Alazwe mahali pema.....kisa cha kuuawa ni nini?
kisa cha kuuawa bado hakijawa wazi...sasa zitatolewa hisia mbali mbali juu ya tukio hili la kusikitisha...ee mungu tunakuomba utupe imani ya upendo miongoni mwa watanzania...kamwe tusiache umoja wetu.