usipumbaze watu waendelee kuvumilia upumbavu wakati maisha yanapotea hamasisha watu kuibana serikali ilinde raia wake bila ubaguzi
Mkuu itachukua mda gani kupata majibu!Polisi wameanza uchunguzi majibu yakipatikana utaelezwa!
Chama
Gongo lamboto DSM
Tusaudie ushahidi wa ilunga kuwa mshukiwa kama sii kutaka kuvuruga aman, ilaum serikali yako.
Sometimes una overeact. Kumbuka kuna wengine ni ndugu wa karibu wa marehemu tunasoma nyuzi hizi, mnatuzidishia machungu.Yote unayosema nakubaliana na wewe ila maandiko matakatifu yamesema usiisemee nafsi ya mtu; semea nafsi; roho ya mwanadamu ni kama msitu yaliyomo ndani ya nafsi ya huyajui; hapa unachopaswa kusema tumuombee marehemu; tatizo kubwa wengi wenu mna akili fupi hamsomi vitu na kupambua; asili ya majibizano yangu yametokana wale wanaodai fr. Ambrose ameuawawa na waislamu kwa misingi ya kidini hicho ndicho nisichokubaliana nacho; fr. Ambrose ni mwanadamu kama mimi na wewe; ovu ninaloweza kulifanya mimi hata yeye anaweza kulifanya; kwanini mnataka upelelezi ukomee kwenye sababu za kidini tu? Upo uwezekano mkubwa sana tukio zima likawa limetokana na sababu za kisiasa au kibinafsi!
Chama
Gongo la mboto DSM
Naona msambaza chuki mkuu amerejea.....tutarajie posts za kashfa za kidini soon!
Sometimes una overeact. Kumbuka kuna wengine ni ndugu wa karibu wa marehemu tunasoma nyuzi hizi, mnatuzidishia machungu.
Ingetosha kusema kuwa sababu si za kidini na kutetea dini. Lakini kumhusisha marehemu usiyemjua na uovu unaoudhania wewe nadhani umekosea sana.
Tutangulize utu!
Mkuu itachukua mda gani kupata majibu!
waliochoma makanisa wamesamehewa, waliompiga padre Ambrose wameachwa?
Aliemwagia tindikali shehe kapatikana? UCHUNGUZI MPAKA LINI MKUU NI HATARI!