Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,856
- 16,751
Yaani kama huamini ndio hivyo...
Ni shangwe kila mikoa, wilaya...yaani sasa Zanzibar, Unguja na Pemba mama yangu ndio Takbir Allaah akbar....!!!!!!
Yaani ujio wa Lowassa Ukawa ni sawa na kuimwagia CCM conc. acid...!!!
Yaani Furaha ya ajabu ya wananchi tokea mioyoni mwao, kila kona, mitaa, vijiji watu wako ktk TVs, radios tokea jana, wanashangilia tu kama hawaamini vile, wanawapongeza viongozi wa UKAWA kwa akili ya ajabu waliotumia na kuacha maslahi yao binafsi na kuweka Taifa mbele...hasa Mbowe... wanasema Mbowe ni mjanja sana, anajua Siasa za kisasa " Modern Politics" na akili sana...
Yaani utafikiri sijui Yesu karudi Tanzania...Vituo mbali mbali duniani vya radio na Tv, BBC, VOA, ALJAZEERA, DW, Press Tv, etc walirudia rudia taarifa hizo kila mara hadi leo...
Na hii ndio SAUTI YA WATU, ni sauti ya Mungu... VOXY POPULI, VOXY DEI...!!!
Asanteni sana Ukawa, asante sanaaa Lowassa, umebadili kabisa akili za watu mamilioni duniani na mioyo ya watanzania sasa wamepata courage, na uhuru wa kweli, tumetoka ktk utumwa wa kifikra... sasa tuko huru... October sio mbali, haya ndio maamuzi Magumu...
Bravo Ukawa, Bravo Lowassa... na Mungu yuko nasi...!!!
Ni shangwe kila mikoa, wilaya...yaani sasa Zanzibar, Unguja na Pemba mama yangu ndio Takbir Allaah akbar....!!!!!!
Yaani ujio wa Lowassa Ukawa ni sawa na kuimwagia CCM conc. acid...!!!
Yaani Furaha ya ajabu ya wananchi tokea mioyoni mwao, kila kona, mitaa, vijiji watu wako ktk TVs, radios tokea jana, wanashangilia tu kama hawaamini vile, wanawapongeza viongozi wa UKAWA kwa akili ya ajabu waliotumia na kuacha maslahi yao binafsi na kuweka Taifa mbele...hasa Mbowe... wanasema Mbowe ni mjanja sana, anajua Siasa za kisasa " Modern Politics" na akili sana...
Yaani utafikiri sijui Yesu karudi Tanzania...Vituo mbali mbali duniani vya radio na Tv, BBC, VOA, ALJAZEERA, DW, Press Tv, etc walirudia rudia taarifa hizo kila mara hadi leo...
Na hii ndio SAUTI YA WATU, ni sauti ya Mungu... VOXY POPULI, VOXY DEI...!!!
Asanteni sana Ukawa, asante sanaaa Lowassa, umebadili kabisa akili za watu mamilioni duniani na mioyo ya watanzania sasa wamepata courage, na uhuru wa kweli, tumetoka ktk utumwa wa kifikra... sasa tuko huru... October sio mbali, haya ndio maamuzi Magumu...
Bravo Ukawa, Bravo Lowassa... na Mungu yuko nasi...!!!