Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,208
- 20,954
Niko mtaani mara nashtukia mkwaju wa mgongo nageuka niulize kulikoni nakula mtama nikanyanyuka na kutoka mbio, nimefika huko mbele nawauliza watu naambiwa kuanzia saa 12 haruhusiwi mtu kuzurura barabaran kisa tishio la korona,
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa mitandao ya kijamii na vyombo vingine vya habari kama tv's, redio na magazeti na sijaona wala kusikia tamko rasmi la Serikali ya SMZ kuhusu watu kutotoka nje, kwanini wasitutangazie kuliko kuvamia na kusumbua watu?
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa mitandao ya kijamii na vyombo vingine vya habari kama tv's, redio na magazeti na sijaona wala kusikia tamko rasmi la Serikali ya SMZ kuhusu watu kutotoka nje, kwanini wasitutangazie kuliko kuvamia na kusumbua watu?
