USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Nimeshtushwa na idadi ya wabunge 75 kuwakilisha wakazi wasiofika million huko Zanzibar wakazi wanaozidiwa na mbunge mmoja tu Arusha,Temeke,Ubungo,Mbeya mjini, Kigoma mjini nk ikiwa ni sawa na uwakilishi wa mbunge kwa wakazi 106669 huku ni kuchezea pesa wa walipa kodi.
Kinachoumiza zaidi ni vyama vya siasa vimeweka viwango vya mabilion kufanya kampain eneo ambalo hata mguu au baiskeli unafika hapa naona kunavichwa haviko sawa kabisa hapa ilifaa kuwa na wabunge watano au watatu .
Kuna haja ZEC kuwa makini na uchezeaji wa pesa huu
USSR
Kinachoumiza zaidi ni vyama vya siasa vimeweka viwango vya mabilion kufanya kampain eneo ambalo hata mguu au baiskeli unafika hapa naona kunavichwa haviko sawa kabisa hapa ilifaa kuwa na wabunge watano au watatu .
Kuna haja ZEC kuwa makini na uchezeaji wa pesa huu
USSR