Zanzibar iko mbioni kuzama baharini

Zanzibar si nchi ya muhimu wala ya maana ni kama Kigamboni, Kisiju.(zumbemkuu).

Achana na Kisiju, umeliona ji refinery linalojengwa huko? wachaaaaa! Pwani ya Tanzania hususan, Mkuranga, Kisiju, Kilwa, Lindi mpaka Mtwara ndio utajiri mkubwa wa Tanzania ulipo. Kama hujawahi kanunuwe viwanja huko, vitawasaidia sana wanao.

::Noor Oil Refinery & Pipeline Tanzania::
 
2100 mbali sana

Huo ni mwaka kitakapokuwa kimezama kabisa ndani ya maji chote (total sinking) ina maana maeneo mengine yatakuwa yameshazama kabla ya mwaka huo maeneo kama mji mkongwe na yale yaliyo karibu na bahari yatakuwa yashazama kabla ya kufikia mwaka huo.Ni gladual sinking siyo kuwa 2100 ndio kitazama mara moja puuuu!!
 
KWA HIYO MKUU UNATAKA KUNIAMBIA VISIWA VYOTE VYA BAHARI YA INDIAN OCEAN VITAZAMA VISIWA HIVYO VIKIWEMO, MAURITIUS, SEYCHELLES, COMORO, REUNION, MADAGASCA n,k

unajua kuwa Zanzibar ni kubwa kuliko visiwa vyote hivyo vilivokuwa jirani na Zanzibar.
Mnafiki mkubwa weeeeeeeeeeeee.........wanasayansi wa uwongo walikupoteza:juggle:

Zanzibar kubwa kuliko Madagascar?

east_africa_political_map.jpg
 
Huo muungano utakuwa wa wapi tena?maana tutakuwa tumebakiwa na nchi moja!Tanganyika!

Kama wanzabari wanataka kujitenga na kuvunja muungano nafikiri ni vizuri wakubaliwe watakapoanza kuzama watatupunguzia gharama za uokoaji na kuwahifadhi maana itakuwa ni kazi ya jumuiya ya kimataifa.Tanganyika tutakuwa tunachangia tu kile tunachoona tunapenda kutoa pia itatusaidia Wasije wakaanza kudai kilomita 200 Ndani ya Tanganyika ili wajihifadhi.
 
FF, sometimes you are too exreme to the extent of loosing simple reasoning.
Kwa kuwa aliyeleta hiyo taarifa ya kuzama kisiwa cha Zbar basi alitakiwa azungumzie kuachana kwa rift valley kupisha bahari! Hiyo kwake haikuwepo, kwa kuwa unayo basi iweke hapa.
Mbona amezungumzia na visiwa vingine pia?
Usiwe na akili za ki-Jusa Jusa bana.

mara nyingi naona wachangiaji wa mada fulani huwa wanatabia ya kupotosha uelekeo wa mada husika kwa kuijengea hoja mbadala badala ya kuijadili hoja ya msingi, kwa mtindo huu hatuwatendei haki watoa hoja kwa kuwa tunawalazimisha kwenda upande tofauti na mawazo yao ni vizuri kama wewe unahoja ya msingi uimwage kwa wana jf kwa muda wako kisha watu waichangie na sio kuiteka hoja ya mwenzako kwa kupandikiza hoja yako juu yake huu ni upotoshaji mkubwa na ubakaji wa hoja.
 
hiyo miaka ni mingi sana mimi sikubaliani na huo utafiti,nataka vizame jusa akishuhudia ili eneo tuliloomba tulambe lote ili na sisi tuingie kwenye historia ya kuchukua watumwa.
 
Habari ni za INTERNATIONAL YEAR OF PLANET EARTH (IYPE) zinazohusu Tanzania. Au rift valley haipiti Tanzania na hauna habari kuwa itaachana?

FF, sasa nawe si ulete bandiko la kuachana kwa Bonde la Ufa? Hilo ndo nalotaka ufanye na sio kumrukia aliyeleta bandiko la kuzama kwa kisiwa cha Zanzibar kama vile amefanya kosa au hakutakiwa kuleta post hiyo!
 
KWA HIYO MKUU UNATAKA KUNIAMBIA VISIWA VYOTE VYA BAHARI YA INDIAN OCEAN VITAZAMA VISIWA HIVYO VIKIWEMO, MAURITIUS, SEYCHELLES, COMORO, REUNION, MADAGASCA n,k

unajua kuwa Zanzibar ni kubwa kuliko visiwa vyote hivyo vilivokuwa jirani na Zanzibar.

Mnafiki mkubwa weeeeeeeeeeeee.........wanasayansi wa uwongo walikupoteza:juggle:
inaonyesha umuogopeshwa na utafiti wa wanasayansi nawe umeogopa kweli.:eyebrows:
 
Hili swala la kuzama halina cha unazi hapa, kisiwa kikizama maana yake hiyo nchi imefutika lakini bonde la ufa likigawa nchi vipande vipande viwili au zaidi nchi itaendelea kuwepo katika ramani na mipaka tofauti kwahiyo kina FF na wenzao hawana haja ya kuingiza unazi wao hapa wa uzanzibari badala yake tuangalie ikitokea hatima ya zanzibar ni nini?

Pia kama sikosei ripoti hiyo ilizungumzia pia miji ya pwani nyingi duniani kumezwa na bahari na Dar ikiwa mojawapo.. lakini hao wanazi wakumbuke wenyeji wa Dar wana pakukimbilia kama watanganyika bila majadiliano yoyote lakini kwa wazanzibari lazima iwe tabu tena 100 years to come huo muungano utakuwa ulishavunjika siku nyingi..
 
quote_icon.png
By Fatal5

KWA HIYO MKUU UNATAKA KUNIAMBIA VISIWA VYOTE VYA BAHARI YA INDIAN OCEAN VITAZAMA VISIWA HIVYO VIKIWEMO, MAURITIUS, SEYCHELLES, COMORO, REUNION, MADAGASCA n,k

unajua kuwa Zanzibar ni kubwa kuliko visiwa vyote hivyo vilivokuwa jirani na Zanzibar.
Mnafiki mkubwa weeeeeeeeeeeee.........wanasayansi wa uwongo walikupoteza:juggle:


Zanzibar kubwa kuliko Madagascar?

east_africa_political_map.jpg

Unajua jamaa aliposema Zanzibar ni kubwa kuliko visiwe vyote alivyovitaja ikiwemo Madagascar nilishangaa ikabidi niangalie kama kuna aliyempa nondo.. kwa bahati njema Safari-ni-Safari umempa yenye uzito, kama ni muungwana ata-withdraw kauli/maandishi yake.
 
Katika mkutano wa wataalamu wa sayansi wa kuzindua INTERNATIONAL YEAR OF PLANET EARTH (IYPE) uliofanyika hotel ya Ngurudoto hotel kuanzia tarehe 8-9 may 2008 Arusha na kushirikisha wanasayansi waliobobea kwenye mambo ya Global warming ullripoti kuwa visiwa vyote vya Tanzania ikiwemo Zanzibar na Mafia vitauwa vimezama kabisa majini itakapofikia mwaka 2100.Walieleza mfano wa kisiwa cha Ras Nungwi huko Zanzibar ambacho tayari kimeshamezwa na maji kwa mita 100 na kiwango cha maji kinaendelea kupanda kumeza Zanzibar Taratibu.

Bara tusishangae iko siku tutawaona wanzanzibari wanalilia muungano wakiwa wanaelea kwenye maji kama samaki.

Dua la kuku ...
 
KWA HIYO MKUU UNATAKA KUNIAMBIA VISIWA VYOTE VYA BAHARI YA INDIAN OCEAN VITAZAMA VISIWA HIVYO VIKIWEMO, MAURITIUS, SEYCHELLES, COMORO, REUNION, MADAGASCA n,k

unajua kuwa Zanzibar ni kubwa kuliko visiwa vyote hivyo vilivokuwa jirani na Zanzibar.

Mnafiki mkubwa weeeeeeeeeeeee.........wanasayansi wa uwongo walikupoteza:juggle:

Kumbuka wanazaliana maji nayo yanamega talatibu
 
Zanzibar si nchi ya muhimu wala ya maana ni kama Kigamboni, Kisiju.[FONT=franklin gothic medi
um](zumbemkuu).[/FONT]
Kwa wewe isiokuhusu sisi wenyewe tunajua thamani yake,hata hivyo lakini kwa nini mnaing'ang'ani kwenye hichi kijimuungano chenu feki?
 
Kama wanzabari wanataka kujitenga na kuvunja muungano nafikiri ni vizuri wakubaliwe watakapoanza kuzama watatupunguzia gharama za uokoaji na kuwahifadhi maana itakuwa ni kazi ya jumuiya ya kimataifa.Tanganyika tutakuwa tunachangia tu kile tunachoona tunapenda kutoa pia itatusaidia Wasije wakaanza kudai kilomita 200 Ndani ya Tanganyika ili wajihifadhi.
loh inaonyesha huna mapenzi na wazenj kbs, unavyohofia izo gharama za uokoaji utadhan zinatoka mfukon kwako bana??
acha izo muungano udumu na ww na wana sayansi wenzio mkalale mbele.
 
hiyo miaka ni mingi sana mimi sikubaliani na huo utafiti,nataka vizame jusa akishuhudia ili eneo tuliloomba tulambe lote ili na sisi tuingie kwenye historia ya kuchukua watumwa.

aha!! kumbe hiyo ndiyo chuki yenu kwa Wazanzibar,mimi nilikuwa najiuliza kwa nini watanganyika wanawachukia Wazanzibar kumbe UTUMWA,kama sababu ndio hiyo sisi mnatuonea bure,waliokuwa wakiwauza ni machifu wenu,na Zanzibar walikuwa wanapita tu hao watumwa.Someni historia itasaidia.
 
Back
Top Bottom