Zanzibar: Idadi ya Waliofariki Dunia kwa Malaria kuanzia Januari 1 hadi 26, 2024 yafikia 11

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
Takwimu za Wizara ya Afya zinaonyesha ugonjwa wa #Malaria umeongezeka takriban kwa Wilaya zote 11 za #Zanzibar, huku Takriban asilimia 90 ya Shehia (Kata) zote (388) zimeweza kuripoti angalau Mgojwa mmoja kuanzia Januari 1-30, 2024

Idadi ya Waliofariki Dunia kwa Malaria kuanzia Januari 1 hadi 26, 2024 ni 11 huku Watu waliolazwa kwa Malaria kuanzia Januari 1-30, 2024 wakiwa ni 334 (Unguja 308 na Pemba 26)

Wilaya zilioripoti wagonjwa zaidi
ni Mjini Magharibi A, Magharibi 'B' na Kati, huku Makundi yanaothirika zaidi ni pamoja na waendesha Boda boda, Wajenzi wa Usiku, wanaokwenda kwenye Kumbi za Starehe usiku pamoja na watazamaji mpira nyakati za usiku.

Zaidi, Fungua kiambatanisho ili kusoma
 

Attachments

  • HALI YA MALARIA MAGARAWA.pptx
    821.8 KB · Views: 2
Kwa sasa hivi imepungua sana ila miez mi3 iliyopita Hali ilikuwa tete mno.
 
Takwimu za Wizara ya Afya zinaonyesha ugonjwa wa #Malaria umeongezeka takriban kwa Wilaya zote 11 za #Zanzibar, huku Takriban asilimia 90 ya Shehia (Kata) zote (388) zimeweza kuripoti angalau Mgojwa mmoja kuanzia Januari 1-30, 2024

Idadi ya Waliofariki Dunia kwa Malaria kuanzia Januari 1 hadi 26, 2024 ni 11 huku Watu waliolazwa kwa Malaria kuanzia Januari 1-30, 2024 wakiwa ni 334 (Unguja 308 na Pemba 26)

Wilaya zilioripoti wagonjwa zaidi
ni Mjini Magharibi A, Magharibi 'B' na Kati, huku Makundi yanaothirika zaidi ni pamoja na waendesha Boda boda, Wajenzi wa Usiku, wanaokwenda kwenye Kumbi za Starehe usiku pamoja na watazamaji mpira nyakati za usiku.

Zaidi, Fungua kiambatanisho ili kusoma
It was declared by WHO a free malaria Island! Now how comes people are dying of malaria
 
Back
Top Bottom