Zanzibar hiyooo, Tanganyika kimyaaaa

Zanzibar hiyooo, Tanganyika kimyaaaa

Tanganyika unayoiuliza iko wapi? aliiua Nyerere. Kuidai hivi sasa ina maanisha fikra za Nyerere zife na si zidumu tena.

Ni Watanzania wangapi leo hii wanaoweza kupinga fikra za Nyerere kwa makusudi kabisa?

Kuirudisha Tanganyika ni kuzidi kumpeleka mbali na utakatifu mwenyeheri Nyerere.

Muujiza wa kumfikisha Nyerere kuwa mtakatifu unakuwa rahisi sana nchi ikitoka kwenye serikali mbili ikawa moja. Itakuwa ni muujiza wa Nyerere umetimia, kuitawala nchi yenye zaidi ya asilimia 98 Waislaam na kuiingiza kwenye Serikali moja isiyo na dini.

Kumbuka, serikali ya Zanzibar ina dini na dini yake ni Uislaam na kadhi wanae.

Kufanya nchi iwe na Serikali tatu ni kuiuwa ndoto ya wanaompenda Nyerere awe mtakatifu. Linawezekana hilo?

Mimi natamani hata muungano usiwepo kama inawezekana, ikishindikana basi hizo tatu ndio pendeleo langu. Nakuhakikishieni na hilo ndilo pendeleo la Waislaam walio wengi.

Nani alikuambia utakatifu wa Nyerere unategemea muungano kwepo au kutokuwepo? Nyerere alimaliza shughuli yake akaondoka, ikiwa ni mtakatifu huwezi kubadili kitu kwa yanayoendelea sasa. Usijadili mambo ambayo huyajui, swala la utakatifu wa nyerere waachie wakatoliki, wao wanajua wanachoongea. Hata uikiandkika kitabu hutaelewa mpaka uwe mkatoliki. Jadili siasa na mambo unayojua hapa usionyeshe ushamba wako na udhaifu wako wakutojua mambo hapa. Kama unataka kujua wanamaanisha nini wakatoliki wanapomwita mtu ni mtakatifu, nenda kawaulize kwa hekima watakufahamisha.
 
zanzibar tulipoteza watu .wazee wetu kupata uhuru. hatukubali kuuwachia kwa kisingizio cha muungano usio na muelekeo thabiti na wa kimaslahi makubwa. zanzibar ndio kura yetu ya turufu kwenye ulimwengu wa maslahi ya kiuchumi kutawala kila kitu..LEO HAKUNA RAFIKI WA KUDUMU DUNIANI KUNA MASLAHI YA KUDUMU.kila mmoja anavutia kwake.
kwa nn AFRICA imeshindwa kuungana mpaka leo licha ya nchi kutawaliwa na waafrika wenyewe?hakuna ukweli ni unafiki viongozi wizi balaa.
Chema njomba, chema! Mitanganyika iendelee kulazwa na ccm mbabe
 
Nani alikuambia utakatifu wa Nyerere unategemea muungano kwepo au kutokuwepo? Nyerere alimaliza shughuli yake akaondoka, ikiwa ni mtakatifu huwezi kubadili kitu kwa yanayoendelea sasa. Usijadili mambo ambayo huyajui, swala la utakatifu wa nyerere waachie wakatoliki, wao wanajua wanachoongea. Hata uikiandkika kitabu hutaelewa mpaka uwe mkatoliki. Jadili siasa na mambo unayojua hapa usionyeshe ushamba wako na udhaifu wako wakutojua mambo hapa. Kama unataka kujua wanamaanisha nini wakatoliki wanapomwita mtu ni mtakatifu, nenda kawaulize kwa hekima watakufahamisha.


Punguza hasira Mkuu
 
Tanganyika haiwezi kupatikana hali ni mtu mmoja tu ndie anaelewa umuhimu wa Tanganyikz nae ni Mtikila wengine wote tumekubali mafisadi waipole mali za Tanganyika fungukeni macho wa tanganyika mnaibiwa

niambie umuhimu wa tanganyika. mimi sijui
 
UKRAINE
Wakati CRIMEA ikiandaa kujitenga na mpaka ilipojitenga toka UKRAINE nchi ya UKRAINE ilikuwepo na haikutafuta bendera, wimbo, sarafu wala uwakilishi wa kimataifa kwa sababu yenyewe IPO
Ajitengaye kwa sababu ndo anaanza hujitafutia vyote hivyo.
 
Thanks Faiza, I'm learning a lot from you. Be blessed.
Tanganyika unayoiuliza iko wapi? aliiua Nyerere. Kuidai hivi sasa ina maanisha fikra za Nyerere zife na si zidumu tena.

Ni Watanzania wangapi leo hii wanaoweza kupinga fikra za Nyerere kwa makusudi kabisa?

Kuirudisha Tanganyika ni kuzidi kumpeleka mbali na utakatifu mwenyeheri Nyerere.

Muujiza wa kumfikisha Nyerere kuwa mtakatifu unakuwa rahisi sana nchi ikitoka kwenye serikali mbili ikawa moja. Itakuwa ni muujiza wa Nyerere umetimia, kuitawala nchi yenye zaidi ya asilimia 98 Waislaam na kuiingiza kwenye Serikali moja isiyo na dini.

Kumbuka, serikali ya Zanzibar ina dini na dini yake ni Uislaam na kadhi wanae.

Kufanya nchi iwe na Serikali tatu ni kuiuwa ndoto ya wanaompenda Nyerere awe mtakatifu. Linawezekana hilo?

Mimi natamani hata muungano usiwepo kama inawezekana, ikishindikana basi hizo tatu ndio pendeleo langu. Nakuhakikishieni na hilo ndilo pendeleo la Waislaam walio wengi.
 
Nani alikuambia utakatifu wa Nyerere unategemea muungano kwepo au kutokuwepo? Nyerere alimaliza shughuli yake akaondoka, ikiwa ni mtakatifu huwezi kubadili kitu kwa yanayoendelea sasa. Usijadili mambo ambayo huyajui, swala la utakatifu wa nyerere waachie wakatoliki, wao wanajua wanachoongea. Hata uikiandkika kitabu hutaelewa mpaka uwe mkatoliki. Jadili siasa na mambo unayojua hapa usionyeshe ushamba wako na udhaifu wako wakutojua mambo hapa. Kama unataka kujua wanamaanisha nini wakatoliki wanapomwita mtu ni mtakatifu, nenda kawaulize kwa hekima watakufahamisha.

Bado hajawa mtakatifu, kwa mujibu wa kanuni za Kanisa Katoliki ili kuwa mtakatifu inabidi uwepo muujiza, muujiza mmoja ambao unaweza ukawepo ni pale itapoonekana Nyerere kaweza kuifanya nchi ya Waislamm kwa asilimia 98 kuwa nchi isiyo na dini.

Hilo kubali au kataa. Kuna muujiza mwingine ambao dikteta anaweza kuwa nao? fikiri.
 
Bado hajawa mtakatifu, kwa mujibu wa kanuni za Kanisa Katoliki ili kuwa mtakatifu inabidi uwepo muujiza, muujiza mmoja ambao unaweza ukawepo ni pale itapoonekana Nyerere kaweza kuifanya nchi ya Waislamm kwa asilimia 98 kuwa nchi isiyo na dini.

Hilo kubali au kataa. Kuna muujiza mwingine ambao dikteta anaweza kuwa nao? fikiri.

Ukh'ti FaizaFoxy,

Hakina naburudika kwa bayana zako na mara zote unaandika bila woga wala kificho.

Kwa sie tuliowahi kufanya kazi na JK japo kwa muda mfupi NAKUBALIANA NA WEWE KUWA ALIKUWA DIKTETA. Lakin tofauti yake na madikteta wengine tunaowajuwa kama akina Bokasa na wengineo wao walitawala watu kwa mabavu. LAKINI NYERERE YEYE ALIZITAWALA AKILI ZA WANACHI WAKE KIMABAVU. Yaani kwa Nyerere alijua kila kitu na ndipo akalazimisha watu wake waseme ZIDUMU FIKRA ZA mwenyekiti wa CCM na zidimu fikra za Nyerere.

Kweli waTz mmetoka mbali.

Thanks FF, mola akubariki sana kwa bayana zako.



 
Tanganyika unayoiuliza iko wapi? aliiua Nyerere. Kuidai hivi sasa ina maanisha fikra za Nyerere zife na si zidumu tena.

Ni Watanzania wangapi leo hii wanaoweza kupinga fikra za Nyerere kwa makusudi kabisa?

Kuirudisha Tanganyika ni kuzidi kumpeleka mbali na utakatifu mwenyeheri Nyerere.

Muujiza wa kumfikisha Nyerere kuwa mtakatifu unakuwa rahisi sana nchi ikitoka kwenye serikali mbili ikawa moja. Itakuwa ni muujiza wa Nyerere umetimia, kuitawala nchi yenye zaidi ya asilimia 98 Waislaam na kuiingiza kwenye Serikali moja isiyo na dini.

Kumbuka, serikali ya Zanzibar ina dini na dini yake ni Uislaam na kadhi wanae.

Kufanya nchi iwe na Serikali tatu ni kuiuwa ndoto ya wanaompenda Nyerere awe mtakatifu. Linawezekana hilo?

Mimi natamani hata muungano usiwepo kama inawezekana, ikishindikana basi hizo tatu ndio pendeleo langu. Nakuhakikishieni na hilo ndilo pendeleo la Waislaam walio wengi.

Bayana hizi ingekuwa umezitoa wakti wa Nyerere nafikiri tungekusahau kabisaaaa.
nafikiri wangekuKOLIMBA
.
 
Hebu tupe basi kidogo hizo sifa za utakatifu maana wengine tunachokijua ni kuwa Mwl alikuwa ni kiongozi wa kisiasa tena kutoka kwa serikali aliyokuwa akihubiri kila siku kuwa haina dini. bila shaka ungenisaidia sana mimi na wengina kama Faiza.(pamoja na kuwa ni nje ya mada maana umegusa patamu-wengine msiohusika tafadhalini ipotezeeni hi post)

Nani alikuambia utakatifu wa Nyerere unategemea muungano kwepo au kutokuwepo? Nyerere alimaliza shughuli yake akaondoka, ikiwa ni mtakatifu huwezi kubadili kitu kwa yanayoendelea sasa. Usijadili mambo ambayo huyajui, swala la utakatifu wa nyerere waachie wakatoliki, wao wanajua wanachoongea. Hata uikiandkika kitabu hutaelewa mpaka uwe mkatoliki. Jadili siasa na mambo unayojua hapa usionyeshe ushamba wako na udhaifu wako wakutojua mambo hapa. Kama unataka kujua wanamaanisha nini wakatoliki wanapomwita mtu ni mtakatifu, nenda kawaulize kwa hekima watakufahamisha.
 
Tambua Nyerere na karume waliasisi Muungano kwa lengo la kuja Kuwa na Serikari moja tu , vile vile walitarajia muungano utakuwa Ukiboreshwa kulingana na wakati . Sasa imekuwa Kinyume na matarajio ya Nyerere Ndio Maana Haya ya Watanganyika kuzinduka kutaka Nchi Yao yameanza, lakini Kama misingi ya awali ingefuatwa Leo hii kero za muungano ingekuwa ni Historia .Hivi sasa Zanzibar amevunja katiba anajiamulia mambo yake atakavyo, wamegoma kulipa Gharama za muungano kwa Miaka 47 sasa ! Hakuna anayethubutu kuwauliza Jambo Viongozi Wa Tanganyika wanawaogopa sana Wazenji hawana Sauti Zanzibar hususani Waziri Mkuu Hana chake hawezi kukomandi chochote Zanzibar ! Ujue wao chao ni chao pekee ikiwemo Ardhi , lakini cha Tanganyika ni cha Wote kisha wanapewa na Pesa ya kuwaliwaza pamoja na matumizi mengine . Ukweli Uchumi wa Tanganyika haukuwa Sababu ni kulemewa na zigo la Kuilea Zanzibar .

Hata kuandika Serikali kwa lugha yako ya Taifa hujui halafu unataka kubishana nini?

Zanzibar haitokubali kuwa na Serikali moja na yao ikafa na huyo Karume unaesema lengo lake lilikuwa hivyo unadanganya, hilo alilitaka Nyerere, Karume akakataa na ndiyo maana unaona kuna Serikali mbili.

Na sasa tunataka amma Serikali tatu amma Muungano ufe.
 
Bayana hizi ingekuwa umezitoa wakti wa Nyerere nafikiri tungekusahau kabisaaaa.
nafikiri wangekuKOLIMBA
.

Kabisa, leo tunajivuna na demokrasia tulionayo ambayo hatujawahi kuiona awamu zote kabla ya Kikwete.
 
...wazanzibari wanataka nchi yao,watanganyika nao sasa wanataka nchi yao na ccm wanataka wabaki na tanzania...watanganyika na wazanzibari wakichukua nchi zao,je ccm watabaki na nini?...kumbe ndo maana ccm wanayapinga maoni ya wananchi wa Tanganyika na Zanzibar!!!???..

Njia muafaka ya kumaliza matatizo yaliyopo na yajayo kwa kuendelea na kuwa na serikali mbili, ni kuwa na serikali moja na nchi moja basi. Kinachohitajika ni kufanya uamuzi mgumu -sio kuendelea na longolongo hazitufikisha mbali.
 
Back
Top Bottom