Zanzibar hapajatulia, Maduka yafungwa mchana huu

Namsihi Rais wa Tanzania,aitishe kura ya maoni haraka ili watanzania tuamue hatima yetu,Vurugu zote hizi ati kisa Muungano.Kumbuka hata jk original katika mfumo wa vyama vingi pamoja na 20% ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi kuwa wachache alikubali kuwaridhisha asilimia hiyo.Rais nakuomba sana itisha kura hiyo ya maoni kama wana zuoni wengi wanavyoshauri kupitia mijadala mbalimbali hasa bbc na dw radio,Itisha kura ya maoni na ifanyie kazi mambo ya kusema kwenye maoni ya katiba mpya tusizungumzie kuvunja muungano ni hatari inabidi kuangalia hali halisi.

UPDATE
ENEO LA AMANI ROUND ABOUT LINATISHA NI MABOMU KWA KWENDA MBELE,Lakini wataalamu wanasema waliovamia baa hizo ni vijana wadogo na wanavamia wanaiba bia na wanakunywa,Inawezekana wamekodiwa kufanya hivyo ili smz na uamsho wasiingie lawamani kwa ujumla eneo la amani na daraja bovu panatisha.
 

Serikali ilikuwa rahimu sana hivo watu wakaendesha mihadhara ambayo ilikuwa ni ya kichochezi ndio maana watu wakasahau kuwa uamusho unahusu dini lakini suala la Muungano ni la kisiasa halikupaswa kujadiliwa kwenye mhadhara wa dini. Sasa hasara ndio hiyo.
 
nasi watu wa bara tuanze kuwatimua?,wanatuumizia ndg zetu kisa DINI huu ni ujinga wa karne bora muungano ufe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…