Zanzibar haina uwezo kuchangia sawa na Bara’

Zanzibar haina uwezo kuchangia sawa na Bara’

Nadhani hujui unachokiongea na kama umeelimika basi wewe ni mvivu wakufikiri. Tunaoijua unguja basi tunasema katika mambo ya msingi Mzee karume aliyofanya basi nikukubali muungano na Tanganyika, alijua anachokifanya hata kama muungano huu ulikuwa na maslahi ya Marekani lakini naye aliona una maslahi makubwa kwa hatima ya znz wakati huo; walaah! nikuambie tu mara baada ya mapinduzi ya znz kitu kikubwa kingefuata ni migogoro na hata kuchinjana kati ya wapemba na unguja na ingekuwa kama somalia tu. Nadhani maisha yangekuwa yanarudiwa basi tungerejea nyuma baada ya mapinduzi halafu muungano na Bara ungefanyika miaka ya 80 leo hii naamini tungempiga mawe mtu yeyote anayebeza muungano. Pia tuelewe kuwa Dunia inazidi kubadilika hali ya hewa, hivi ikitokea natural calamities kama inavyotokea kwenye nchi za wenzetu hasa VISIWA, tutafanya nini, visiwa vyetu ni vidogo sana ikitokea thoruba ya siku tatu tu inatosha kuosha kila kilichopo kisiwani. SO TUSIFIKIRIE WAZUNGU WANAPOSEMA TANZANIA IMEJALIWA NA KUPENDELEWA NA MUNGU UKAFIKIRI NI WAJINGA, TENA HAWAMAANISHI VISIWANI ILA NI BARA KWANI LICHA YA NATURAL RESOURCES ILIZONAZO TU BALI PIA GEOGRAPGICALY IT IS SECURED. Nahitimisha kwakusema hivi-: kiukweli kati ya Tanganyika na Zanzibar anayemuhitaji na atakayemuhitaji mwenzake hata isingekuwa muungano ni Zanzibar na kama maisha yanajaribiwa basi hebu tujaribu kuvunja muungano.

Kwani ni nani aliefanya na kupanga Mapinduzi ? Yale ya kuipindua Serikali halali ya Zanzibar na hata yale ya kumpindua Karume ni nani Liepanga Mapinduzi hayo ???

Mgogoro mbona haukutokea ? Na hata kama ungetokea ni haki yake kutokea kwani wakati huo mambo ya kupinduaa serikali yalikuwa ni fashion katika nchi chingi za Kiafrika .

Hivi ni nani aliesema Muungano mwisho Chumbe ? Huyu alikuwa na maana gani ?Nyerere alikuwa msomi Karume alikuwa ni mtu aliekuwa hana elimu ,sasa kama nikikwambia Nyerere alimlaghai Karume nitakuwa nakosea ?

Habari ya Dhoruba isikupe tabu sana kwani asilimia 99 ni waislamu ,hivyo hatima yao inategemea Mwenyezi Mungu haina wala haihitaji ni wapi wewe upo kijiografia au kisaikolojia ,ukame unauelewa,maradhi unayajua ,kimbunga unakifahamu na mvua umewahi kuiona yote hayo hata uwe juu ya mlima basi yanaweza kabisa kukumaliza uhai na kuharibu uso wako wa arhi,natumai umewahi kusikia tetemeko la ardhi nalo ni baa kubwa lisilo na sumile.

Sasa tatizo ni kitu gani ,kuhitajiana ? Hapo sioni ubaya ,kwani tukiwa nje ya Muungano kutaondoka huko kuhitajiana ?
Na kama kutaondoka basi nyie mtakuwa mna roho mbaya sana na nia zenu sio nzuri , Umeona Philipines ,mbona wamesaidiwa sana tu na wao kimbunga kimewaweka katika hali mbaya.

WaZanzibari hawapo katika kujaribu kuuvunja Muungano .wapo katika nia ya kuukataa Muungano na nia na madhumuni ni kuuondoa usiwepo na kama ukiwepo basi wa makubaliano sio wa kiulaghai.
 
Ukweli umetimia sasa wanahangaika. Uongo wa kusema Tanagnyika inawanyonya sasa hadharani.

Kitu cha ajabu sana ni hao hao wanataka tume iwe asilimia 50, wanataka bunge la katiba liwe asilimia 50. Wanataka viongozi wa muungano na wafanyakazi wa serikali ya muungano wawe nusu kwa nusu.

Tumewahi kuwaeleza mara nyingi sana wazanzibar akiwemo Jusa na Ahmed Rajab kuwa Tanganyika haihitaji znz kwa lolote. Hatuhitaji znz ila znz inatuhitaji sana.period.

Ona sasa imefika wakati wa gharama wanajichafua nguo hovyo. Wale wanaosema Tanganyika inawanyonya znz wajiulize kama mwenyekiti wa kamati anasema hawana uwezo, Tanganyika inawanyonya wapi.

Hawa watu wamefundishwa ujinga wa kuamini maneno ya mitaani bila ushahidi wa kiuchumi.
Tunasema hivi serikali ni tatu na kila mmoja achangie sawa.
Muda wa kubeba watu migongoni wakitukana hovyo iumekwisha.

Hiki ni kijimkoa tu lakini kelele tu wamejaaliwa. Tutakomaa hadi mtaomba radhi kwa maneno yenu machafu.
Wananyanyua pua eti muungano ni nchi mbili wabia sawa. Thubutu, wabia sawa wakati wewe unachangia maneno na kelele ! usawa wa ubia upo wapi.

Wewe unavia kodi za Mtanganyika halafu unasema ubia sawa. Hawa watu waajabu sana.
Leo wanasema hawana uwezo na wakati wa kujadili muungano hali ya uchumi iangaliwe.
Ni hawa hawa walikomaa tume iwe na wajumbe sawa. By the way hawajui gharama za tume wala za bunge la katiba.Kelele zitawatokea puani this time

fungeni midomo na muwe na adabu. Shikeni adabu, muungano uchumi si mipasho na taarabu.
Leteni kitu mezani si kuvizia nafasi za urais wa zamu na uwaziri. Kupe wakubwa mninyi.

Mkome kusema mnanyonywa, nani anyoinye mnasikini wa mapato kama yenu.
Mkome kudai vyeo msivyojua gharama zake. Matabaki chini ya kivuli cha Tanganyika kwasababu hamna uwezo.period

GHIBUU takashi Jusa Jasusi JokaKuu Kakke Jasusi Nonda gombesugu Zinedine FJM

Jibu lako liko katika hotuba ya Rais Kikwete ,aliyoitoa pale Bungeni....
 
Kwani ni nani aliefanya na kupanga Mapinduzi ? Yale ya kuipindua Serikali halali ya Zanzibar na hata yale ya kumpindua Karume ni nani Liepanga Mapinduzi hayo ???

Mgogoro mbona haukutokea ? Na hata kama ungetokea ni haki yake kutokea kwani wakati huo mambo ya kupinduaa serikali yalikuwa ni fashion katika nchi chingi za Kiafrika .

Hivi ni nani aliesema Muungano mwisho Chumbe ? Huyu alikuwa na maana gani ?Nyerere alikuwa msomi Karume alikuwa ni mtu aliekuwa hana elimu ,sasa kama nikikwambia Nyerere alimlaghai Karume nitakuwa nakosea ?

Habari ya Dhoruba isikupe tabu sana kwani asilimia 99 ni waislamu ,hivyo hatima yao inategemea Mwenyezi Mungu haina wala haihitaji ni wapi wewe upo kijiografia au kisaikolojia ,ukame unauelewa,maradhi unayajua ,kimbunga unakifahamu na mvua umewahi kuiona yote hayo hata uwe juu ya mlima basi yanaweza kabisa kukumaliza uhai na kuharibu uso wako wa arhi,natumai umewahi kusikia tetemeko la ardhi nalo ni baa kubwa lisilo na sumile.

Sasa tatizo ni kitu gani ,kuhitajiana ? Hapo sioni ubaya ,kwani tukiwa nje ya Muungano kutaondoka huko kuhitajiana ?
Na kama kutaondoka basi nyie mtakuwa mna roho mbaya sana na nia zenu sio nzuri , Umeona Philipines ,mbona wamesaidiwa sana tu na wao kimbunga kimewaweka katika hali mbaya.

WaZanzibari hawapo katika kujaribu kuuvunja Muungano .wapo katika nia ya kuukataa Muungano na nia na madhumuni ni kuuondoa usiwepo na kama ukiwepo basi wa makubaliano sio wa kiulaghai.

Maneno sawia kabisa haya.
 
Ukweli umetimia sasa wanahangaika. Uongo wa kusema Tanagnyika inawanyonya sasa hadharani.

Kitu cha ajabu sana ni hao hao wanataka tume iwe asilimia 50, wanataka bunge la katiba liwe asilimia 50. Wanataka viongozi wa muungano na wafanyakazi wa serikali ya muungano wawe nusu kwa nusu.

Tumewahi kuwaeleza mara nyingi sana wazanzibar akiwemo Jusa na Ahmed Rajab kuwa Tanganyika haihitaji znz kwa lolote. Hatuhitaji znz ila znz inatuhitaji sana.period.

Ona sasa imefika wakati wa gharama wanajichafua nguo hovyo. Wale wanaosema Tanganyika inawanyonya znz wajiulize kama mwenyekiti wa kamati anasema hawana uwezo, Tanganyika inawanyonya wapi.

Hawa watu wamefundishwa ujinga wa kuamini maneno ya mitaani bila ushahidi wa kiuchumi.
Tunasema hivi serikali ni tatu na kila mmoja achangie sawa.
Muda wa kubeba watu migongoni wakitukana hovyo iumekwisha.

Hiki ni kijimkoa tu lakini kelele tu wamejaaliwa. Tutakomaa hadi mtaomba radhi kwa maneno yenu machafu.
Wananyanyua pua eti muungano ni nchi mbili wabia sawa. Thubutu, wabia sawa wakati wewe unachangia maneno na kelele ! usawa wa ubia upo wapi.

Wewe unavia kodi za Mtanganyika halafu unasema ubia sawa. Hawa watu waajabu sana.
Leo wanasema hawana uwezo na wakati wa kujadili muungano hali ya uchumi iangaliwe.
Ni hawa hawa walikomaa tume iwe na wajumbe sawa. By the way hawajui gharama za tume wala za bunge la katiba.Kelele zitawatokea puani this time

fungeni midomo na muwe na adabu. Shikeni adabu, muungano uchumi si mipasho na taarabu.
Leteni kitu mezani si kuvizia nafasi za urais wa zamu na uwaziri. Kupe wakubwa mninyi.

Mkome kusema mnanyonywa, nani anyoinye mnasikini wa mapato kama yenu.
Mkome kudai vyeo msivyojua gharama zake. Matabaki chini ya kivuli cha Tanganyika kwasababu hamna uwezo.period

GHIBUU takashi Jusa Jasusi JokaKuu Kakke Jasusi Nonda gombesugu Zinedine FJM
Ndugu yangu

Kwa maoni yangu ni kwamba zanzibar haina uwezo wa kuchangia asilimia 50 katika muungano, sio kwamba haina uwezo wa kuchangia bali kutokana na mfumo mzima wa muungano, lakini uwezo inayo zanzibar kama muungano utakuwa wa haki na usawa, isiwe kama sasa zanzibar inapewa asilimia 4.5 katika magao ya mungano, katika bank kuu ambayo zanzibar imechangia asilimia 11 inapewa 4.5 ,kwa hilo zanzibar haitaweza kuchangia katika muungano.

Hivi sasa zanzibar vile vitu ambavyo vya kuikwamua kiuchumi vimebanwa au vimebebwa na muungano, kwa maana hio zanzibar haitaweza kuchangia asilimia 50 ya muungano.

Kama zanzibar itapewa mamlaka kamili tukaja na mfumo wa muungano wa shirikisho kama wa mkataba zanzibar inayo uwezo wa kuchangia asilimia hamsini.
Hivi sasa zanzibar inapewa kwa maneno tu 4.5 katika muungano, lakini asilimia hio hio 4.5 zanzibar haipati hata nusu kwa kila mwaka toka muanzishwe huu muungano, hivi kweli tutaweza kuchangia asilimia 50 ? Muungano huu ni wa vyama vya siasa tu, sio muungano wa ukweli na wa haki.

Zanzibar inaweza kama tutakuwa wakweli, nadhani bwana Salim hakuweza kuchangia au kutoa maelezo zaidi vipi zanzibar itashindwa kuchangia katika muungano,kwa kulinda card yake ya ccm, na tonge yake.

MUUNGANO NI wa mkataba tu.
 
Sasa Baraqhas ... mnachotaka ni nini? Kwa nini uwe wa mkataba? Kwa nini msiseme hamtaki muungano kabisa tujuwe moja? Muungano wa mkataba ndio ukoje? Tafadhali fafanua

unajua kwa nini Uamsho wako ndani mpaka . hawana dhamana na kesi haiendi? kosa lao ni kusema hawarako muungano na kuichana rasimu ta Katiba mbele ta Samuel sitta
 
gombesugu,

..suala la mapato ya Tanganyika vs Zanzibar lilishaletwa hapa JF ambapo tulipitia taarifa za chombo kinaitwa Joint Finance Commission. Tulichokiona ktk taarifa hizo kinashabihiana na maoni ya huyo mwakilishi.

..baadhi ya wachangiaji hupenda kucheza-cheza vifungu vya sheria na maneno. sasa watu kama hao hukwama pale takwimu zinapowekwa wazi. katika suala la mapato/makusanyo ya fedha za ndani ukishatoa mahesabu ya Zanzibar kilichobakia ni jasho la wa-Tanganyika.

..mwisho, naendelea kusisitiza kwamba muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar hauwezekani kutokana na tofauti ya eneo na population baina ya mataifa haya mawili.

..Znz inaweza kusimama yenyewe na kupiga hatua za maendeleo nje ya muungano. kinachotakina ni Znz kuwa na sera nzuri na utekelezaji makini ktk matumizi ya rasilimali zake. kama Seychelles, na Mauritius wameweza, sioni kwanini Zanzibar ishindwe.

NB:

..nimekusamehe kwa kutukejeli na kutuita "wadanganyika", na kuifananisha Tanganyika na maiti.

cc Barubaru

Joka Kuu.

labda unieleze taarifa ya JFC imewekwa katika mada gani? Kwani siku zote nimekuwa nawaeleza ukitaka taarifa sahihi za Finance ta TGK na Znz pitieni ripoti zao ambazo zinakuwa zinajieleza vizuri sana lakin sijui kama kuna mtu aliyepitia zaidi ya watu kuleta maneno ya mitaani kuisemea vibaya Znz.

Niambie ni uzi gani ili niipambanue zaidi kwa kutumia taaluma yangu kwa faida ya wengi.
 
Ndugu yangu

Kwa maoni yangu ni kwamba zanzibar haina uwezo wa kuchangia asilimia 50 katika muungano, sio kwamba haina uwezo wa kuchangia bali kutokana na mfumo mzima wa muungano, lakini uwezo inayo zanzibar kama muungano utakuwa wa haki na usawa, isiwe kama sasa zanzibar inapewa asilimia 4.5 katika magao ya mungano, katika bank kuu ambayo zanzibar imechangia asilimia 11 inapewa 4.5 ,kwa hilo zanzibar haitaweza kuchangia katika muungano.

Hivi sasa zanzibar vile vitu ambavyo vya kuikwamua kiuchumi vimebanwa au vimebebwa na muungano, kwa maana hio zanzibar haitaweza kuchangia asilimia 50 ya muungano.

Kama zanzibar itapewa mamlaka kamili tukaja na mfumo wa muungano wa shirikisho kama wa mkataba zanzibar inayo uwezo wa kuchangia asilimia hamsini.
Hivi sasa zanzibar inapewa kwa maneno tu 4.5 katika muungano, lakini asilimia hio hio 4.5 zanzibar haipati hata nusu kwa kila mwaka toka muanzishwe huu muungano, hivi kweli tutaweza kuchangia asilimia 50 ? Muungano huu ni wa vyama vya siasa tu, sio muungano wa ukweli na wa haki.

Zanzibar inaweza kama tutakuwa wakweli, nadhani bwana Salim hakuweza kuchangia au kutoa maelezo zaidi vipi zanzibar itashindwa kuchangia katika muungano,kwa kulinda card yake ya ccm, na tonge yake.

MUUNGANO NI wa mkataba tu.


Wenzenu pesa zote wanapeleka katika makanisa kupitia MoU ya Serikali ya JMTz na kanisa iliyosainiwa na Lowasa. makanisa kwa sasa yanachukua Bilioni 1.2 kila mwaka kutoka katika kodi za wananchi achilia mbali misamaha ya kodi na ulaghai mwingine.

Someni bajeti za JMTz muone hayo.
 
Basi union structure is fundamentally flawed. EA budget is funded by equal contribution from member states. Si ajabu muungano miezi miwili sijui mitatu baada ya mapinduzi lazima kero kibao tu.
 
Joka Kuu.

labda unieleze taarifa ya JFC imewekwa katika mada gani? Kwani siku zote nimekuwa nawaeleza ukitaka taarifa sahihi za Finance ta TGK na Znz pitieni ripoti zao ambazo zinakuwa zinajieleza vizuri sana lakin sijui kama kuna mtu aliyepitia zaidi ya watu kuleta maneno ya mitaani kuisemea vibaya Znz.

Niambie ni uzi gani ili niipambanue zaidi kwa kutumia taaluma yangu kwa faida ya wengi.

..kwa kumbukumbu zangu wewe ndiye uliyeibua suala la Joint Finance Committee.

..nadhani mjadala wa taarifa za kamati hiyo tulishaumaliza. sidhani kama kuna kitu kipya kitajitokeza.

..hoja yangu ni kwamba Znz is too small kulinganisha na Tanganyika. kwa mazingira hayo muungano si jambo rahisi kwa mataifa haya. It is next to impossible.

..mimi nadhani kila upande uende kivyake vyake, ila tushirikiane kupitia EAC na SADC. kwenye vyombo hivyo kuna mambo yote ambayo Znz inayahitaji ktk "muungano wa mkataba", mfano masuala ya ulinzi, ardhi, biashara, etc etc.

cc gombesugu, Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
..kwa kumbukumbu zangu wewe ndiye uliyeibua suala la Joint Finance Committee.

..nadhani mjadala wa taarifa za kamati hiyo tulishaumaliza. sidhani kama kuna kitu kipya kitajitokeza.

..hoja yangu ni kwamba Znz is too small kulinganisha na Tanganyika. kwa mazingira hayo muungano si jambo rahisi kwa mataifa haya. It is next to impossible.

..mimi nadhani kila upande uende kivyake vyake, ila tushirikiane kupitia EAC na SADC. kwenye vyombo hivyo kuna mambo yote ambayo Znz inayahitaji ktk "muungano wa mkataba", mfano masuala ya ulinzi, ardhi, biashara, etc etc.

cc gombesugu, Nguruvi3
Sasa anataka report ya JFC ili kupata nini zaidi? Pili, yeye hajaweka lakini anadai iwekwe, na nani. Kama anadhani kuna jambo kubwa katika JF Barubaru aliweke hadharani.

Mwenyekiti wa kamati ya fedha ya BLW kasema mapato ya znz ni bilioni 240.
Nimeweka bbajeti ya znz kwa mwaka 2013 katika uzi mwingine.
Inaonyesha mapato ya ZRB na TRA ambayo kwa pamoja na mapato hayajafikia bilioni 500.

Rais sheni kasema wznz wasidharau hiyo 4.5 wanayopata katika muungano. Akauliza znz inachangia kitu gani hadi ilalamike?

Ukisoma bajeti ya znz mambo yafuatyo hayamo
Ulinzi na usalama (ambao wenyewe tu unaweza kuchukua 1/2 ya 240)
Mambo ya ndani (1/4 ya 240)
Elimu ya juu (1/8 ya 240)

Na bado wana access katika mambo yasiyo ya muungano kama afya.

JFC itasaidia nini kwa hesabu za bilioni 240!

Hakuna usawa kati ya Tanganyika na znz hata siku moja. Ni mwendawazimu peke yake anayeweza kudhani kitu kama hicho kipo.

Hawa watu ni kuachana nao, hatuwezi kuishi kwa malalmiko kila siku. Hatuna tunachopoteza.
Tuwaache wajenge Dubai yao ya wakati wa Sultan. Znz yenye uchumi imara inawezekana kabisa lakini lazima wawe tayari kujikomboa kwa kuukata muungano si kudai idadi ya wajumbe bunge la katiba, kamati ya Warioba, vyeo au ajiira.

Let them go !
 
Wenzenu pesa zote wanapeleka katika makanisa kupitia MoU ya Serikali ya JMTz na kanisa iliyosainiwa na Lowasa. makanisa kwa sasa yanachukua Bilioni 1.2 kila mwaka kutoka katika kodi za wananchi achilia mbali misamaha ya kodi na ulaghai mwingine.

Someni bajeti za JMTz muone hayo.



Al Akhiy,Barubaru,

Wajua,hapo umegusia kitu cha ukweli na undani mwingi mno.

Lakini wenyewe Wabara aka Watanganyika wanakuwa wakali mno ukigusa hayo maslahi ya Kanisa...sasa hivi huu mnakasha watauvuruga na wataanza kutuita sisi ni "Wadini"/"Magaidi"!? Dah! Yaani tafrani tupu!

Ngoja tuwakurubishe hawa waungwana wawili akina Mag3 na Nguruvi3 hapa jamvini,tuone watakuja na sarakasi zipi kwalo!? Kwi! kwi!

Ahsanta.
 
Sasa anataka report ya JFC ili kupata nini zaidi? Pili, yeye hajaweka lakini anadai iwekwe, na nani. Kama anadhani kunwa jambo kubwa katika JF Barubaru aliweke hadharani.

Mwenyekiti wa kamati ya fedha ya BLW kasema mapato ya znz ni bilioni 240.
Nimeweka bbajeti ya znz kwa mwaka 2013 katika uzi mwingine. Inaonyesha mapato ya ZRB na TRA ambayo kwa pamoja na mapato hayajafikia bilioni 500.

Rais sheni kasema wznz wasidharau hiyo 4.5 wanayopata katika muungano. Akauliza znz inachangia kitu gani hadi ilalamike?

Ukisoma bajeti ya zna mambo yafuatyo hayamo
Ulinzi na usalama
Mambo ya ndani
Elimu ya juu

Na bado wana access katika mambo yasiyo ya muungano kama afya.

JFC itasaidia nini kwa hesabu za bilioni 240!

Hakuna usawa kati ya Tanganyika na znz hata siku moja. Ni mwendawazimu peke yake anayeweza kudhani kitu kama hicho kipo.

Hawa watu ni kuachana nao, hatuwezi kuishi kwa malalmiko kila siku. Hatuna tunachopoteza.
Tuwaache wajenge Dubai yao ya wakati wa Sultan. Znz yenye uchumi imara inawezekana kabisa lakini lazima wawe tayari kujikomboa kwa kuukata muungano si kuodai idadi ya wajumbe bunge la katiba, kamati ya Warioba, vyeo au ajiira.

Let them go !




Nguruvi3,

Duh! Yaani kweli jamaa yetu safari hii umedhamiria kutuhamisha hapo Tanganyika kwa haraka mno! Kwi! Kwi!

Yaani ndugu yangu JokaKuu maskini,kakwita hata two-seconds hazijafika, umeshakuja jamvini na kutoa hukumu yako kali kabisa!

Lakini kumbuka yakuwa hata Nyerere kipenzi chako,akifufuka leo,basi mtu wa kwanza kumkaba koo itakua ni wewe...maana wewe ndo mmojawapo ya Vinara vya kuendeleza tashtit na taarifa za urongo ili kukandamiza na kudhihaki huo "Muungano"!

Ahsanta.

Cc;Mag3
 
Sasa anataka report ya JFC ili kupata nini zaidi? Pili, yeye hajaweka lakini anadai iwekwe, na nani. Kama anadhani kuna jambo kubwa katika JF Barubaru aliweke hadharani.

Mwenyekiti wa kamati ya fedha ya BLW kasema mapato ya znz ni bilioni 240.
Nimeweka bbajeti ya znz kwa mwaka 2013 katika uzi mwingine.
Inaonyesha mapato ya ZRB na TRA ambayo kwa pamoja na mapato hayajafikia bilioni 500.

Rais sheni kasema wznz wasidharau hiyo 4.5 wanayopata katika muungano. Akauliza znz inachangia kitu gani hadi ilalamike?

Ukisoma bajeti ya znz mambo yafuatyo hayamo
Ulinzi na usalama (ambao wenyewe tu unaweza kuchukua 1/2 ya 240)
Mambo ya ndani (1/4 ya 240)
Elimu ya juu (1/8 ya 240)

Na bado wana access katika mambo yasiyo ya muungano kama afya.

JFC itasaidia nini kwa hesabu za bilioni 240!

Hakuna usawa kati ya Tanganyika na znz hata siku moja. Ni mwendawazimu peke yake anayeweza kudhani kitu kama hicho kipo.

Hawa watu ni kuachana nao, hatuwezi kuishi kwa malalmiko kila siku. Hatuna tunachopoteza.
Tuwaache wajenge Dubai yao ya wakati wa Sultan. Znz yenye uchumi imara inawezekana kabisa lakini lazima wawe tayari kujikomboa kwa kuukata muungano si kudai idadi ya wajumbe bunge la katiba, kamati ya Warioba, vyeo au ajiira.

Let them go !
Ninakubaliana na wewe ila kuna kitu sikuelewi.

Daima unakuwa katika hoja ya kuwa Zanzibar ni mzigo kwa Tanganyika na unaitetea hoja yako vizuri sana (kimtazamo wangu) ila ninapokosa kukuelewa ni pale unapowapa Wazanzibari ambao ni "mzigo" privilege ya kuuvunja Muungano!

Katika hali ya kawaida ni Tanganyika "mbeba" mzigo ndiyo ambayo ingekuwa au kujipa privilege ya kuutua mzigo, mbona imekuwa kinyume tena?

Kama Wazanzibari hawataki kuitumia privilege mliyowapa ya kuuvunja Muungano na badala yake wakaamua kuchezacheza na maneno, je mtaendelea kuubeba "mzigo" mpaka lini? hakuna ukomo?
 
Kama hawawezi kuchangia sawa na bara, ni kweli hata madaraka wasioote kuwa sawa na bara
 
gombesugu,

..barubaru hawezi kuleta taarifa za Joint Finance Committee ya Tanzania.

..anafahamu kwamba taarifa hizo zinasema kitu kilekile kilichoelezwa na huyo mwakilishi.

..hivi kwani kuna ajabu gani ktk maneno ya mwakilishi? wa-Tanganyika tuko milioni 40++, wa-Zanzibari hamzidi millioni 3, sasa mtuweza vipi kuchangia sawa na sisi?

..mwisho nawaomba msilete mambo ya dini. masuala ya MOU yana thread yake maalumu, hapa siyo mahala pake.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ninakubaliana na wewe ila kuna kitu sikuelewi.

Daima unakuwa katika hoja ya kuwa Zanzibar ni mzigo kwa Tanganyika na unaitetea hoja yako vizuri sana (kimtazamo wangu) ila ninapokosa kukuelewa ni pale unapowapa Wazanzibari ambao ni "mzigo" privilege ya kuuvunja Muungano!

Katika hali ya kawaida ni Tanganyika "mbeba" mzigo ndiyo ambayo ingekuwa au kujipa privilege ya kuutua mzigo, mbona imekuwa kinyume tena?

Kama Wazanzibari hawataki kuitumia privilege mliyowapa ya kuuvunja Muungano na badala yake wakaamua kuchezacheza na maneno, je mtaendelea kuubeba "mzigo" mpaka lini? hakuna ukomo?
Technically Tanganyika ndiyo Tanzania.

Anayelalamika kuhusu Tanzania ni znz. Kama Tanganyika ingekuwa na serikali basi ingekuwa rahisi kufanya ufanyavyo.Lakini Rais wa muungano ndiye ni rais wa znz pia kiufundi.

Pili, Tanganyika muda mrefu wamekaa kimya hadi siku za karibuni waliobaini kuwa uongo wa kunyonywa haupo.
Kashafa na maudhi ndivyo vinasukuma suala hili.

Fikiria, Tanganyika na Watanganyika wamebaguliwa sana visiwani katika kila jambo.
Hakuna siku wamesema wanalipa kisasi vinginevyo waznz wapaato laki 4 wangeonja adha na maudhi ya ubaguzi

Kwa mantiki hiyo anayelalamika kuhusu kunyonywa ni mznz na sisi tunawasaidia kuwaambia znz inawezekana kabisa nje ya muungano, wasichotaka kukifanya ni kuondoka katika muungano unao wanyonya, wanabweka tu

Pamoja na hayo tunaweka mezani kuwa kama wanadhani wananyonywa na sisi tunajua wananyonya na pengine kwa uzumbu kuku wetu hatujui hivyo, sasa ni wakati waamue kusuka au kunyoa. Kwa bahati mbaya hawajui wafanyae nini.

Kinachosikitisha ni pale wanapotaka muungano, tukiwambia tukae meza moja tuzungumzie kitu cha kwanza katika karatasi zao ni vyeo na ajira. Tukiwaambia vipi gharama wanakimbia na kusema hawawezi.
Sasa unadai vipi kitu usichogharamia?

Nafasi imetolewa kuhusu kuandika katiba. Wao walichokiona ni wingi wa wajumbe na si kura ya maoni.
Tanzania haiwezi kudai kura ya maoni yake yenyewe kwasababu humo ndani lipo jina(lipo jina tu) la znz. Kufanya hivyo ni kuwaonea.

Kura ya maoni ya Tanzania inaweza kukataa au kukubali muungano lakini je ni haki kwao kwa kuzingatia idadi yao?

Popote duniani mwenye malalamiko ndiye anapewa nafasi ya kufanya hivyo

Ireland wamepewe fursa ya kuamua hatima yao ndani ya British empire
Sudan kusini wamepewa fursa hiyo wakajitenga
Eritrea wamepewa fursa hivyo wakafanya kweli
Timor mashariki wamepewa fursa hiyo
Hata Tibet wanadai fursa hiyo na si China
Puerto Ricco wamepewa fursa hiyo wakaamua
Quebec wamepewa fursa hiyo wakaamua

Zanzibar wamepewa fursa hiyo, wanchomoa chomoa kwa maneno.
Wakiwa Pemba midomo mipana sana wakivuka bahari kimya.

Huwezi kusema muungano mbaya wakati una wajumbe katika tume ya Warioba.
Huwezi kusema hutaki muungano wakati unadai wajumbe zaidi wa bunge la katiba.
Kinachoonekana ni kubabaika bila kujua wanataka nini.

Pengine nikuambie kuwa Tanganyika walitaka kura ya maoni, kwabahati mbaya wao ndiyo Tanzania hivyo nguvu yao ina limitations na vikwazo. Znz wangeweza kutokana na mifano hapo juu ya nchi nyingine.
Wamechomoa, hawataki! kelele tu

Kama rasimu ya katiba ingefuata utaratibu suala hili lingeisha vizuri sana.
Leo tungekuwa tunaongelea matatizo ya Tanganyika bila kelele za kipuuzi.
Kwabahati mbaya hilo halikutokea.

Hata hivyo pamoja na kutokubaliana na utaratibu na tume ya Warioba in general bado kuna elements nzuri sana za kuutua mzigo.

Katika mambo 22 sasa yamebaki 7 na wala si 11 ya awali.
Katika yale yaliyoondolewa mengi yalikuwa zigo la karafuu mgongoni mwa Mtanganyika.

Kama ikitokea serikali 3 basi Mtanganyika atakuwa ametua sehemu ya mzigo.
Kinachotakiwa kwa Mtanganyika ni kuhakikisha kuwa hiyo serikali ya 3 inachangiwa sawa.

Kama wanadai vyeo, kupokezana uongozi kama urais, kudai ajira sawa LAZIMA waje mezani kujadiliana wakiwa na kitu na si porojo hadithi na uongo kama wa Membe kutoka VISA, waziri wa mambo ya nje asiyekuwepo au kunyonywa kwa kuibiwa sh bil 240 ambazo hazitoshi hata kuendesha wizara ya akina mama na watoto.

Ndio maana tunawambia Watanganyika wae macho na mbinu za hawa jamaa za kudai bila kuchangia.
Kwanini Mtanganyika alipe kodi na kodi hiyo iende kumsomesha mtoto wa nchi jirani huku ikimwacha mtoto wa kitanganyika akitaabika. Why!

Kama hawataweza kuchangia hiyo serikali ya muungano, basi wakae kimya tutawaambi wapi washiriki.
Huwezi kutoa 0 na mwenzako 10 halafu mkadai kugawana sawa sawa mapato! hesabu hizo mwisho Chumbe.

Utaratibu wa vyeo na ajaira uambatane na kuchangia gharama. Hilo lazima walitambue na hakuna hoja itakayojengwa kwa usawa, nchi udogo au nini. Kinachotakiwa ni kitu wala si maeneno na pelepele zisizo na mashiko.

 
Wenzenu pesa zote wanapeleka katika makanisa kupitia MoU ya Serikali ya JMTz na kanisa iliyosainiwa na Lowasa. makanisa kwa sasa yanachukua Bilioni 1.2 kila mwaka kutoka katika kodi za wananchi achilia mbali misamaha ya kodi na ulaghai mwingine.Someni bajeti za JMTz muone hayo.
Hii nyuzi haihusu mambo ya dini. Unachotaka kufanya ni kutuondoa katika mada na ukweli. Tafadhali kama huna hoja kaa kimya.
Tumechoka kusikia habari zako zisizo na mshiko.

Joint financial committee report imewekwa wazi. Hicho ndicho unatakiwa uchangie kwasababu umeomba siku nyingi sana.
Pili, mwenyekiti wa kamati ya fedha ya BLw kasema hamuwezi kuchangia, hilo ndilo unatakiwa uzungumzie
Tatu,

Tafadhali sana usichafue uzi kwa hoja zisizo husika, kama una hoja tofauti anzisha uzi.

 
Back
Top Bottom