Zanzibar haina uwezo kuchangia sawa na Bara’

Zanzibar haina uwezo kuchangia sawa na Bara’

Hapo ndipo ninapokushangaa. kama yote hayo ni kweli KWANINI HAMVUNJI MUUNGANO? pasi na shaka kuna mengi ya faida mnapata kutokana na kuwa Znz.

Mbona kwenye EAC mpo makini sana katika mas'ala ya Ardhwi, Ajira na mengine. sasa kwanini msiyaangalie hayo pia kwa Znz ili mvunje kwa amani mbaki kama majirani?

Acha kunung'unika CHUKUA MAAMUZI MAGUMU kwani huna udugu wa kuzaliwa na Znz. Kila mtu abebe msalaba wake kwanini wewe umbebee Znz? Je mpo wasa kweli nyie? au ndo yale yale kunung'unika ndio jadi yenu.

Ulishawahi kusikia Wabunge wa Tanganyika wakienda michenzani?
 
Kweli Zanzibar ni ndogo kieneo ila kiuchumi sidhani kama ilikuwa hivyo ila baada ya huu Muungano ndio mmetutilia ufukara na kutufanya tuwe watu duni sana ,mnataka tuwe tunategemea kila kitu kutoka huko Tanganyika na ndio kama inavyoonekana katika hoja zenu ,nyie nchi ndogo sijui uchumi wenu mdogo ,hebu ulizia na katafute historia ya Zanzibar ,Zanzibar wakati kabla ya Muungano ilikuwa vipi na ilitoa msaada kumsaidia nani ? Yakhe huu Muungano ukifa leo basi nakuhakikishieni machogo ,hautapita muda mrefu tutawasaidia tena tutawasaidia kwa ari na mori na moyo wa jeuri ,huko Tanganyika hamna kitu mmekalia kuti kavu. lazima mtapigana mapanga tu !

Nadhani hujui unachokiongea na kama umeelimika basi wewe ni mvivu wakufikiri. Tunaoijua unguja basi tunasema katika mambo ya msingi Mzee karume aliyofanya basi nikukubali muungano na Tanganyika, alijua anachokifanya hata kama muungano huu ulikuwa na maslahi ya Marekani lakini naye aliona una maslahi makubwa kwa hatima ya znz wakati huo; walaah! nikuambie tu mara baada ya mapinduzi ya znz kitu kikubwa kingefuata ni migogoro na hata kuchinjana kati ya wapemba na unguja na ingekuwa kama somalia tu. Nadhani maisha yangekuwa yanarudiwa basi tungerejea nyuma baada ya mapinduzi halafu muungano na Bara ungefanyika miaka ya 80 leo hii naamini tungempiga mawe mtu yeyote anayebeza muungano. Pia tuelewe kuwa Dunia inazidi kubadilika hali ya hewa, hivi ikitokea natural calamities kama inavyotokea kwenye nchi za wenzetu hasa VISIWA, tutafanya nini, visiwa vyetu ni vidogo sana ikitokea thoruba ya siku tatu tu inatosha kuosha kila kilichopo kisiwani. SO TUSIFIKIRIE WAZUNGU WANAPOSEMA TANZANIA IMEJALIWA NA KUPENDELEWA NA MUNGU UKAFIKIRI NI WAJINGA, TENA HAWAMAANISHI VISIWANI ILA NI BARA KWANI LICHA YA NATURAL RESOURCES ILIZONAZO TU BALI PIA GEOGRAPGICALY IT IS SECURED. Nahitimisha kwakusema hivi-: kiukweli kati ya Tanganyika na Zanzibar anayemuhitaji na atakayemuhitaji mwenzake hata isingekuwa muungano ni Zanzibar na kama maisha yanajaribiwa basi hebu tujaribu kuvunja muungano.
 
hamna mapato ya tanganyika ama kama unazungumzia tanzania sawa ama tanzania bara mhhh!!!!!
Kwa hali yoyote mchango wa ZNZ katika muungano ni jina.period. Kama huo ndio mchango hewala.
Muungano si kelele na kidomo domo, muungano ni gharama. Mumeambiwa mchangie sawa mnaruka ruka hovyo.
Wakati huo huo mpo bize kupanga nafasi na vyeo msivyojua anagharamia nani.

ZNZ imechangia nini katika tume ya Warioba? Bunge la katiba na hata wabunge waliopo Dodoma!
 
Nchi kubwa kama tanganyika kulazimisha muungano na nchi ndogo kama zanzibr ni kutafutiana lawama za bure,nawashangaa wadanganyika mbona kwenye eac wanambwinya?
 
Ulishawahi kusikia Wabunge wa Tanganyika wakienda michenzani?


Sasa mna nung'unika nini kama wabunge wa Bara hawaendi michenzani?

haya maneno umenikumbusha mbaaaali. kama umepata bahati ya kupita njia ya Kwenda segerea kupitia majumbasita.
kama ukifika baina ya Segerea na Kinyerezi hapo utaona kuna bonde kuubwa na kuna daraja. Kuna rafiki yangu mmoja Rasta pale muda wote anakuwa pembeni ya barabara hiyo akiwa ameshika fimbo.

Mtafute huyo mtu (jina lake Joseph) muulize Unasubiri nini hapo?

Pole sana.
 
Nadhani hujui unachokiongea na kama umeelimika basi wewe ni mvivu wakufikiri. Tunaoijua unguja basi tunasema katika mambo ya msingi Mzee karume aliyofanya basi nikukubali muungano na Tanganyika, alijua anachokifanya hata kama muungano huu ulikuwa na maslahi ya Marekani lakini naye aliona una maslahi makubwa kwa hatima ya znz wakati huo; walaah! nikuambie tu mara baada ya mapinduzi ya znz kitu kikubwa kingefuata ni migogoro na hata kuchinjana kati ya wapemba na unguja na ingekuwa kama somalia tu. Nadhani maisha yangekuwa yanarudiwa basi tungerejea nyuma baada ya mapinduzi halafu muungano na Bara ungefanyika miaka ya 80 leo hii naamini tungempiga mawe mtu yeyote anayebeza muungano. Pia tuelewe kuwa Dunia inazidi kubadilika hali ya hewa, hivi ikitokea natural calamities kama inavyotokea kwenye nchi za wenzetu hasa VISIWA, tutafanya nini, visiwa vyetu ni vidogo sana ikitokea thoruba ya siku tatu tu inatosha kuosha kila kilichopo kisiwani. SO TUSIFIKIRIE WAZUNGU WANAPOSEMA TANZANIA IMEJALIWA NA KUPENDELEWA NA MUNGU UKAFIKIRI NI WAJINGA, TENA HAWAMAANISHI VISIWANI ILA NI BARA KWANI LICHA YA NATURAL RESOURCES ILIZONAZO TU BALI PIA GEOGRAPGICALY IT IS SECURED. Nahitimisha kwakusema hivi-: kiukweli kati ya Tanganyika na Zanzibar anayemuhitaji na atakayemuhitaji mwenzake hata isingekuwa muungano ni Zanzibar na kama maisha yanajaribiwa basi hebu tujaribu kuvunja muungano.


Tatizo nililoligundua katika maelezo yako ni kuwa hujatembea hivyo hujui hata unachonena. lakin kwa mapana zaidi huna hata chembe ya ilmu ya Uchumi na hata geography ufahamu.

Kwa kukusaidia napenda kuku uliza je unajuwa Duniani kuna visiwa vilivyo vidogo sana kuliko Znz? Chukua ramani ya Dunia na iangalie utaligundua hilo. Ukishajua hilo rudi nikupambanulie uchumi ni nini na uone unavyoweza ongozwa.

Acha uvivu soma na tembea ujifunze mengi.
 
Kwa hali yoyote mchango wa ZNZ katika muungano ni jina.period. Kama huo ndio mchango hewala.
Muungano si kelele na kidomo domo, muungano ni gharama. Mumeambiwa mchangie sawa mnaruka ruka hovyo.
Wakati huo huo mpo bize kupanga nafasi na vyeo msivyojua anagharamia nani.

ZNZ imechangia nini katika tume ya Warioba? Bunge la katiba na hata wabunge waliopo Dodoma!



Kama mchango wa znz ni jina je watanganyika ni nini wakula na kujificha huyo anazungumzia gharama za serikali tatu na CCM hawataki serikali tatu lakini kiukweli hasa kama mutaiwacha znz kwenye makucha yenu na mazingaombwe yenu ya muungano na ubadilishaji wa jina basi sisi tunauwezo wa kumudumu halafu shida ya muungano sisi hatuna hebu angalau jaribuni na nyinyi kufanya angalau kama alivyojaribu kufanya mzanzibari mmoja kwamba munafanya kwa vitendo na sio let znz go kuongea na kulalamika waambieni wabunge wenu wawafanyie kazi maana wao hodari kubadilisha katiba na kuikandamiza znz.


Unauliza kwamba znz imechangia nini kwenye tume ya Warioba jee Tanganyika pia imechangia nini kwenye tume ya warioba MUNACHUKUA MSAADA KWA JINA LA TANZANIA HAMUJUI KWAMBA JINA LA TANZANIA NI LA WOTE musitake haki sawa na Tanzania wakati nyinyi tanganyika.wala musijione Tanzania ni nyinyi na uzembe wenu huo mutabakia kua watanganyika hata kama jina hamlitaki mijizi mikubwa nyinyi.
 
Nchi kubwa kama tanganyika kulazimisha muungano na nchi ndogo kama zanzibr ni kutafutiana lawama za bure,nawashangaa wadanganyika mbona kwenye eac wanambwinya?

Unafiki wao tu hawana lolote. Wanachotambua ni kunung'unika tu.

Nje ya Muungano nchi yao lazima igawanyika mapande mawili na wenyewe wanalijua hilo ndio maana wanalazimisha kwa gharama yoyote huo mvungano.
 
Kama mchango wa znz ni jina je watanganyika ni nini wakula na kujificha huyo anazungumzia gharama za serikali tatu na CCM hawataki serikali tatu lakini kiukweli hasa kama mutaiwacha znz kwenye makucha yenu na mazingaombwe yenu ya muungano na ubadilishaji wa jina basi sisi tunauwezo wa kumudumu halafu shida ya muungano sisi hatuna hebu angalau jaribuni na nyinyi kufanya angalau kama alivyojaribu kufanya mzanzibari mmoja kwamba munafanya kwa vitendo na sio let znz go kuongea na kulalamika waambieni wabunge wenu wawafanyie kazi maana wao hodari kubadilisha katiba na kuikandamiza znz.


Unauliza kwamba znz imechangia nini kwenye tume ya Warioba jee Tanganyika pia imechangia nini kwenye tume ya warioba MUNACHUKUA MSAADA KWA JINA LA TANZANIA HAMUJUI KWAMBA JINA LA TANZANIA NI LA WOTE musitake haki sawa na Tanzania wakati nyinyi tanganyika.wala musijione Tanzania ni nyinyi na uzembe wenu huo mutabakia kua watanganyika hata kama jina hamlitaki mijizi mikubwa nyinyi.
Ni hivi mchango wa znz ni jina na maneno, hakuna zaidi. Mwenyekiti wa kamati ya BLW kaonyesha wazi kuwa hata 1/10 ya gharama humuwezi. Siyo mimi

Sisi tunafanya matendo, tumesema wazi mnaamua ima muungano au muondoke.
Hatujibani bani kwa mkataba wa Uswiss, mkataba wa EU, mkataba wa Hong Kong au upuuzi wa aina hiyo.

Tumekataa na mumeona tumekataa na hakuna kitakachoendelea kwasababu tumekataa!
Mkataba umebaki chumbe na mzee, tuna mpa ndege anaenda kuchukua mkaa mambo poa.

Sisi tumesema hatuhitaji mkataba nanyi kwasababu hatuna sababu za kuwa na mkataba na ninyi.

Tumesema serikali kama inabidi ziwe 3, tumeondoa yale ya utegemezi na kuacha 7.
Kama hayo hamridhiki hewala enendeni bandarini.

Sisi hatufanyi mambo kinafiki! ulishasikia tunakwenda kula posho za SMZ hata siku moja.
Wabunge wenu wapo Dodoma poooa wanakula kwa maraha, juzi BLW akiwemo Jusa nao wakaja kula maraha yao. Tanganyika njema atakaye aje.

Sisi hatuna shida kwasababu ninyi 400,000 mnakimbilia bara na tumewapokea.
Hatuhitaji znz in short kwasababu zozote zile ndio maana husikii tukiongelea mkataba. Mkataba wa nini.

Tuweke trillion 11 mwenzetu 240 bilioni halafu tuseme tuna mkataba. Utusaidie nini hasa! I mean mkataba na znz wa kitu gani, nitajie kimoja tu.

Tumechoka na kelele zenu sasa tunawapa ukweli bila haya, hatuna shida na znz ila znz inatuhitaji.
Ushahidi ni huu wa mikataba n.k.
 
Nchi kubwa kama tanganyika kulazimisha muungano na nchi ndogo kama zanzibr ni kutafutiana lawama za bure,nawashangaa wadanganyika mbona kwenye eac wanambwinya?

Nakubaliana na wewe 100% kiukweli kugombania ka kisiwa kama unguja na Pemba sio sawa, hata mungu alivyoitenganisha na bara alikuwa na maana yake kuwa wakae peke yao huko, kwanza ukichunguza duniani visiwa vingi vinakuwa na majanga tu, kama si VITA basi kupinduana serikali na kama si hayo basi ni MAJANGA YA ASILI HASA KUPIGWA NA DHORUBA, atleast it sound big if the proposal cauld be with Kenya, Uganda, Malawi etc ambazo hata muumba alishaziunganisha. Kiukweli sipendi muungano na Sehemu hiyo kwanza una kero nyingi sana ikiwa ni pamoja nakuambukizana tabia ambazo wengine kwetu karagwe hazipo kabisa, unakuta mtu linamtoka tu mdomoni neno kavuuu lakini yeye kwake ni kawaida tena mpo kwenye vikao vya heshima. kama Mombasa ingekuwa nchi basi ingefaa kuungana nao au Malind/Lamu maana wanashabihiana. Ninachojua mimi ni kuwa Bara wengi hawapendi muungano ila wapo kimya tu wanavumilia ndani kwa ndani na wanaendelea na maisha yao, ila wenzao ndio wanapiga kelele nyiingi huku kiuhalisia wao ndio wanafaidi. Muungano ukivunjika leo utashangaa Wa Bara wengi watakavyotabasamu.
 
Si kweli, hakuna mzanzibar anayethubutu kudai nchi yake.
Wote wanaongea chumbani na uvunguni mwa vitanda, tena wanabweka wakiwa na wamefunga taulo mbela ya ahali zao. Wakitoka nje kimyaa! nitakueleza

1. Tuliwaambia kura ya maoni kuhusu mustakabali wa znz, mkagoma na kujiminya minya
2. Tukaawambia acheni msishiriki tume ya Warioba, mkudai wajumbe sawa hata kama hamjui wanalipwa na nani
3. Tukawaambia nyote mkatae serikali 1.2.3 kilichofuata ni muungano wa mkataba.
Mkagoma kuchomoa mnataka kujificha na kusetiri dhiki zenu kwa mgongo wa mkataba
4. Tukawaambia msichague wajumbe wa bunge la katiba, akili zenu zikwatuma mdai wajumbe zaidi
5. Juzi Wajumbe wa BLW walikuwa Dodoma wanakula msasa na posho, hawakugoma kuja.

Hakuna mzanzibar mwenye nyodo ya kukataa muungano. Tumeshathibitisha na tunasema wazi hakuna!
Ninyi mkae kimya tu mpate mafaio ya sasa na uzeeni. Mnapata mafao kuanzia mnasoma bura hadi kazi na uzeeni. Hakuna anayedai nchi, ni wapiga kelele tu wamejaa

Iam sorry brother maneno tele lakin hufahamiki., Wewe ni kada na kibaraka wa CCM lakini ata elimu ya kupambanua na kujielezea huna., Tanganyika mumeghumiwa mana sasa naona mupo bizz munatengeneza katiba yenu kwa siri siri., 66% ya wazanzibari waliunga mkono muungano wa Mkataba.

Wewe kama unahamau na kutaka kujuwa kuhusu BLW la zanzibar subiri kwenye hilo bunge la Katiba uone usiandikie mate, Nilijuwa utashtuka ili CDM kudai Tanganyika yenu bado unaendelea na utumwa. Mamlaka ya Zanzibar ni lazima no way out, mumeumia sana
 
Yana nikhusu sana kumbuka Kitovu changu nilipozaliwa kilizikwa kule Kyanga, Mwera.

Itakuuma sana lakin ukweli laazima tutasema. Na waZnz wamestuka huo unyonyaji wanaofanyiwa na majirani zao.

Pole san
a

Yatakuhusu vipi na wewe sio raia wa tanzania? Kama hoja ni kitovu kakifukue ukichukue ukizike huko Oman; hivi unajua maana ya unyonyaji au unataka kufurahisha baraza? Pole jipe wewe usiyejitambua huko Oman wewe 3rd class citizen utawatisha hao wasiojua; pole sana Barubaru Tanzania neema ndiyo hizi zmeanza acha tuzile kwa kujinafasi!
 
Last edited by a moderator:
Kama watoto wanasoma hujui wanasomeshwa na nani, kama unawasha umeme hujui unalipiwa na nani, kama unapata mshahara hujui chanzo chake na kama unaalikwa Dodoma na kupewa pesa nusizojua zinatoka wapi wewe ni KUPE.
Tena neno kupe ni zuri maana linastaha, lilitakiwa neno haswa linaloshabihiana na hali hiyo.
Ndio uliberali au ni uhafidhina?

Kibaya waliokwenda Dodoma ni kutoka pande zote za Liberali na uhafidhina.
Kule kwetu Pongwe na Mjasani ukiomba omba wanakuita mpiga mizinga, ukipokea tuu bila kuhoji wanauliza mwenzetu vipi?

kwahali hii nitaendelea kuwa ule ugongwa wangu wa Paranoia.
 
Sioni umuhimu wowote wa kuungana na znz. Mara mia kuungana na Malawi, Zambia, Congo, Burundi nk kuliko znz.
 
Iam sorry brother maneno tele lakin hufahamiki., Wewe ni kada na kibaraka wa CCM lakini ata elimu ya kupambanua na kujielezea huna., Tanganyika mumeghumiwa mana sasa naona mupo bizz munatengeneza katiba yenu kwa siri siri., 66% ya wazanzibari waliunga mkono muungano wa Mkataba.

Wewe kama unahamau na kutaka kujuwa kuhusu BLW la zanzibar subiri kwenye hilo bunge la Katiba uone usiandikie mate, Nilijuwa utashtuka ili CDM kudai Tanganyika yenu bado unaendelea na utumwa. Mamlaka ya Zanzibar ni lazima no way out, mumeumia sana
Hakuna mamlaka kama unaomba msaada wa kuendesha serikali. Mwenye mamlaka ni yule mwenye kitu mezani siyo maneno.

Hilo bunge la katiba litafanya nini? Mbona wapo Dodoma kila siku na hawasemi. Juzi wameongezewa wa BLW hakuna kitu.

Mimi sipo huko kwa vyama nipo kwa masilahi ya Tanganyika na Watanganyika.

Tuacheni tupumue jamani, migongo inatuuma yarabi.
 
Kama mchango wa znz ni jina je watanganyika ni nini wakula na kujificha huyo anazungumzia gharama za serikali tatu na CCM hawataki serikali tatu lakini kiukweli hasa kama mutaiwacha znz kwenye makucha yenu na mazingaombwe yenu ya muungano na ubadilishaji wa jina basi sisi tunauwezo wa kumudumu halafu shida ya muungano sisi hatuna hebu angalau jaribuni na nyinyi kufanya angalau kama alivyojaribu kufanya mzanzibari mmoja kwamba munafanya kwa vitendo na sio let znz go kuongea na kulalamika waambieni wabunge wenu wawafanyie kazi maana wao hodari kubadilisha katiba na kuikandamiza znz.


Unauliza kwamba znz imechangia nini kwenye tume ya Warioba jee Tanganyika pia imechangia nini kwenye tume ya warioba MUNACHUKUA MSAADA KWA JINA LA TANZANIA HAMUJUI KWAMBA JINA LA TANZANIA NI LA WOTE musitake haki sawa na Tanzania wakati nyinyi tanganyika.wala musijione Tanzania ni nyinyi na uzembe wenu huo mutabakia kua watanganyika hata kama jina hamlitaki mijizi mikubwa nyinyi.


Tuanzie hapo kwenye red: Bunge la Jamhuri limeshainisha takriban Tsh 70billion kwa ajili ya hii Tume ya Katiba. Swali, Baraza la Mapinduzi wametenga kiasi gani kwa ajili ya hii tume?

Soma hapo chini alichosema Dr Shein - Rais wa Zanzibar. Na kumbuka Dr. Shein haongelei nadharia na simulizi za Michenzani, ana experience ya hayo anayosema.



....Akizungumzia masuala ya Muungano, Dk Shein alisema licha ya mchakato wa Katiba Mpya kuendelea, Serikali zote mbili (Muungano na Zanzibar), zimeendelea kujadili masuala muhimu na changamoto zilizopo na kusema siyo sahihi kubeza mgawo wa sasa wa mapato ya Muungano ambao Zanzibar inapata asilimia 4.5.
“Jeshi la Wananchi na JKT (Jeshi la Kujenga Taifa) wanatumia mabilioni mangapi, Mambo ya Nje, Mambo ya Ndani, Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia... Sisi (Zanzibar tunatoa ngapi?)”
Dk Shein: Mimi ndiye msemaji mkuu wa Z

cc nguruvi JokaKuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom