Zanzibar haina uwezo kuchangia sawa na Bara’

Zanzibar haina uwezo kuchangia sawa na Bara’

Kama mchango wa znz ni jina je watanganyika ni nini wakula na kujificha huyo anazungumzia gharama za serikali tatu na CCM hawataki serikali tatu lakini kiukweli hasa kama mutaiwacha znz kwenye makucha yenu na mazingaombwe yenu ya muungano na ubadilishaji wa jina basi sisi tunauwezo wa kumudumu halafu shida ya muungano sisi hatuna hebu angalau jaribuni na nyinyi kufanya angalau kama alivyojaribu kufanya mzanzibari mmoja kwamba munafanya kwa vitendo na sio let znz go kuongea na kulalamika waambieni wabunge wenu wawafanyie kazi maana wao hodari kubadilisha katiba na kuikandamiza znz.


Unauliza kwamba znz imechangia nini kwenye tume ya Warioba jee Tanganyika pia imechangia nini kwenye tume ya warioba MUNACHUKUA MSAADA KWA JINA LA TANZANIA HAMUJUI KWAMBA JINA LA TANZANIA NI LA WOTE musitake haki sawa na Tanzania wakati nyinyi tanganyika.wala musijione Tanzania ni nyinyi na uzembe wenu huo mutabakia kua watanganyika hata kama jina hamlitaki mijizi mikubwa nyinyi.
Kama hana shida mkataba mnaong'ang'ania ni wa nini? Niambie nani aliwahi kusimama hadharani na kusema hataki muungano katika mentors wenu
Nikutajie kwa uchache

Jusa alisema anataka muungano(rekodi ipo)
Ahmed alisema anataka muungano(rekodi ipo)
Maalim alisema anataka muungano(rekodi ipo)
Nasor Moyo anataka muungano(rekodini)
Mansour Himid anataka muungano(rekodi ipo)
Karume ndiye kabisa anaishi mikocheni
Jumbe anaishi mji mwema
Profesa Sahrif anataka muungano
Nahodha anataka muungano
Raza anataka muungano(rekodi ipo)
Hamad Rashid anataka muunganano(rekodi ipo)

Pili, hakuna aliyewashikilia kilichopo mumejishikilia wenyewe
1. Tuliwashauri mdai kura ya maoni na si katiba mkagoma
2. Tukawaambia msilete wajumbe tume ya Warioba, mkaleta tena Ally Salehe wa BBC akiwemo
3. Tukwaambia mchakato si sahihi kwa kupata katiba mpya, mkaungana CCM na CUF kupitisha mswada kirahisi
4. Tukwaambia katika maoni semeni hamtaki muungano, mkagoma na kusema mnataka mkataba
5. Tukawashauri makamu wa rais arudi nyumbani kwasababu uwepo wake ni uwakilishi wa znz katika muungano
6. Tukashauri muache kazi katika JMT na kurudi nyumbani, mkagoma
7. Tukwaambia anzisheni sarafu yenu kama mlivyopata wimbo wa taifa na bendera, mkagoma
8. Tukawashauri msijishughulishe na shughuli za muungano, juzi BLW likahamia Dodoma
9. Tukawaambia wabunge wenu wasije Dodoma, mkachomoa kila kikao wapo na wanashughulika na maneno kama Uliberali
10. Tukwaambia pelekeni mswada BLW muiondoe znz katika muungano kama mlivyoanzisha vikosi na saluti 21 za mizinga
11. Tukasema kama mumeshindwa wabunge wenu wanaokuja Dodoma japo waombe muongozio kuua mkataba,nothing

Sasa imebaki nafasi moja ambayo hamtaki kuitumia
12. Susieni bunge la katiba, hadi hapo katiba mpya na muungano kwisha, hamataki mnataka wajumbe wengi kwa jinsi mnavyotamani muungano.

Si kweli kama hamtaki mnachofanya ni kutishia ili mupewe mafao zaidi, this time around hakuna.
Kasome rasimu halafu uniambie wapi kuna unafuu, ndio taraibu tunafungua mbeleko.
Tanganyika ikipata serikali rasmi ndio tunawaweka katika zulia tunaendelea na safari.

Tanganyika ni njema atakaye na aje

Migongo inauma, tuacheni tupumue.

 
  • Thanks
Reactions: FJM
Tuanzie hapo kwenye red: Bunge la Jamhuri limeshainisha takriban Tsh 70billion kwa ajili ya hii Tume ya Katiba. Swali, Baraza la Mapinduzi wametenga kiasi gani kwa ajili ya hii tume?

Soma hapo chini alichosema Dr Shein - Rais wa Zanzibar. Na kumbuka Dr. Shein haongelei nadharia na simulizi za Michenzani, ana experience ya hayo anayosema.



....Akizungumzia masuala ya Muungano, Dk Shein alisema licha ya mchakato wa Katiba Mpya kuendelea, Serikali zote mbili (Muungano na Zanzibar), zimeendelea kujadili masuala muhimu na changamoto zilizopo na kusema siyo sahihi kubeza mgawo wa sasa wa mapato ya Muungano ambao Zanzibar inapata asilimia 4.5.
"Jeshi la Wananchi na JKT (Jeshi la Kujenga Taifa) wanatumia mabilioni mangapi, Mambo ya Nje, Mambo ya Ndani, Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia... Sisi (Zanzibar tunatoa ngapi?)"
Dk Shein: Mimi ndiye msemaji mkuu wa Z cc nguruvi JokaKuu
Kwakweli Dr Sheni anazidi kuwaamsha Watanganyika. Yeye na mwenyekiti wa kamati ya fedha wanazidi kutufungulia milango ya fahamu hasa wale wanaoamini uongo wa znz kunyonywa.

Anachosema Sheni ni kuwa hawana bajeti ya jeshi la ulinzi, JKT, wizara ya mambo ya ndani. Ukichanganya wizara hizo si chini ya trililioni 4 kwa mwaka na kati ya hizo si chini ya bilioni 560 zinakwenda znz.

Nasema bilioni 560 kwasababu mapato yao ni bilioni 240 na bajeti ni bilioni 700, tofauti inalipwa na muungano ambao ni Tanganyika.

Kumbuka wakati huo wanapata 4.5 ya pato la taifa, na huduma za bure kama umeme n.k.
Kodi za TRA zinabaki huko na bado wanapata soko la watu milioni 40 na ajira.

Wizara ya sayansi mwaka jana ilihudumia wanafunzi 1000 wa znz kwa pesa ambazo si mikopo maana hawarudishi wao.

Wakati hayo yanatokea kuna vijana wa Tanganyika wanahangaika kwa mikopo tena kwa masharti ya div 2 na 1.
Kule znz hata kama una div 5 utapata maana pesa ipo tu, si Watanganyika wametoa!!!!

Serikali yao ilihudumia wanafunzi 800 ambao wanapaswa kurudisha mikopo SMZ.
Yaanai Tanganyika shamba la bibi.

Watanaganyika kama kuna serikali 3 hayo mambo 7 yahudumiwe sawia bila upendeleo.
Sijui watatoa nini maana 240 haiwezi kuhudumia hata ulinzi tu wa kisiwa hicho.
Kama hawana cha kutoa basi wasubiri kuambiwa wafanye nini na wakome kuwekea vikao vya kugawana vyeo na ajira.

Hawataki! bandarini warudi Dubai ya Afrika, kisiwa cha neema makamiti, biriani.

Tuacheni jamani, tuachine wenzenu, migongo imepinda.
Tuacheni tupumue, 240 hazitoshi hata chumvi vipi ugali mezani mwaanza kunawa ninyi!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ka nchi kanaingiza bilion 240 kwa mwaka lakina kana kelele kama ngoma za baikoko
 
Hakuna mamlaka kama unaomba msaada wa kuendesha serikali. Mwenye mamlaka ni yule mwenye kitu mezani siyo maneno.

Hilo bunge la katiba litafanya nini? Mbona wapo Dodoma kila siku na hawasemi. Juzi wameongezewa wa BLW hakuna kitu.

Mimi sipo huko kwa vyama nipo kwa masilahi ya Tanganyika na Watanganyika.

Tuacheni tupumue jamani, migongo inatuuma yarabi.

Kama upo kwa maslahi ya Tanganyika basi endelea kuitetea Tanganyika yk la Zanzibar tuachie wenywewe amiii.,

Wewe usijali ukiwa na passport yako ya Tanganyika utakuja Zanzibar kutembea unywe kawaha na kashata, mchana pilau na kuku, jioni utakula urojo alafu urudi kwenu Mtwara., ama utapewa kibali maalum cha kuishi Zanzibar au hata ukiomba uraia tutakufikiria.,
 
Ka nchi kanaingiza bilion 240 kwa mwaka lakina kana kelele kama ngoma za baikoko

acha izoo weweee..!! uchumi wa Zanzibar ni mkubwa kuliko wa Tanganyika na ndio maana mumetuganda hamutaki tuvunje muungano, mabilioni mangapi tunaidai Tanganyika hadi leo? Tukishika dola munarejesha zoote., blalful.,
 
Kama hana shida mkataba mnaong'ang'ania ni wa nini? Niambie nani aliwahi kusimama hadharani na kusema hataki muungano katika mentors wenu
Nikutajie kwa uchache

Jusa alisema anataka muungano(rekodi ipo)
Ahmed alisema anataka muungano(rekodi ipo)
Maalim alisema anataka muungano(rekodi ipo)
Nasor Moyo anataka muungano(rekodini)
Mansour Himid anataka muungano(rekodi ipo)
Karume ndiye kabisa anaishi mikocheni
Jumbe anaishi mji mwema
Profesa Sahrif anataka muungano
Nahodha anataka muungano
Raza anataka muungano(rekodi ipo)
Hamad Rashid anataka muunganano(rekodi ipo)

Pili, hakuna aliyewashikilia kilichopo mumejishikilia wenyewe
1. Tuliwashauri mdai kura ya maoni na si katiba mkagoma
2. Tukawaambia msilete wajumbe tume ya Warioba, mkaleta tena Ally Salehe wa BBC akiwemo
3. Tukwaambia mchakato si sahihi kwa kupata katiba mpya, mkaungana CCM na CUF kupitisha mswada kirahisi
4. Tukwaambia katika maoni semeni hamtaki muungano, mkagoma na kusema mnataka mkataba
5. Tukawashauri makamu wa rais arudi nyumbani kwasababu uwepo wake ni uwakilishi wa znz katika muungano
6. Tukashauri muache kazi katika JMT na kurudi nyumbani, mkagoma
7. Tukwaambia anzisheni sarafu yenu kama mlivyopata wimbo wa taifa na bendera, mkagoma
8. Tukawashauri msijishughulishe na shughuli za muungano, juzi BLW likahamia Dodoma
9. Tukawaambia wabunge wenu wasije Dodoma, mkachomoa kila kikao wapo na wanashughulika na maneno kama Uliberali
10. Tukwaambia pelekeni mswada BLW muiondoe znz katika muungano kama mlivyoanzisha vikosi na saluti 21 za mizinga
11. Tukasema kama mumeshindwa wabunge wenu wanaokuja Dodoma japo waombe muongozio kuua mkataba,nothing

Sasa imebaki nafasi moja ambayo hamtaki kuitumia
12. Susieni bunge la katiba, hadi hapo katiba mpya na muungano kwisha, hamataki mnataka wajumbe wengi kwa jinsi mnavyotamani muungano.

Si kweli kama hamtaki mnachofanya ni kutishia ili mupewe mafao zaidi, this time around hakuna.
Kasome rasimu halafu uniambie wapi kuna unafuu, ndio taraibu tunafungua mbeleko.
Tanganyika ikipata serikali rasmi ndio tunawaweka katika zulia tunaendelea na safari.

Tanganyika ni njema atakaye na aje

Migongo inauma, tuacheni tupumue.





Mkuu ndo maana nikasema nyinyi hamuwezi kufanya maamuzi magumu bado munataka kutunyonya kama nchi ndogo na pato lake dogo haiwezi kuchangia katika serekali ya muungano kwanini bado munanganga nayo si iwacheni halafu how many times wazanzibar washaonyesha hisia za wazi kwamba muungano hatuutaki mfano ni jumbe huyo huyo ulomtaja ndo aloingia matatizoni kwasababu ya kuhoji muunga wangapi wengine wameingia matatizoni kwa kuhoji muungano HADI SASA MUUNGANO KUUHOJI NI DHAMBI NA SHERIA HAIRUHUSU KUZUNGUMZIA KUUVUNJA na ndo maana unakuta tunatumia ujanja kama kuuvunja ni kesi basi leteni muungano wa wa mkataba unakuta wengine wanajitoa fahamu hawajui eti nini muungano wa mkataba halafu sisi wazenji tumeuzunguza wazi kabisa kama muungano hatuutaki na baraza la wakilishi wameongea kwamba hauna faida na sisi.


HATA KAMA KUNA BAADHI YA WAZANZIBAR WANATAKA MUUNGANO LAKINI MUUNGANO GANI si huu wa kudharauliana kwamba kijinchi kadogo sijui uchimvi gani sasa kama mulijua nchi ndogo ilikuaje mukaungana nao nyinyi mababu hapo ndo utaona kwamba mulikua hamna dhamira njema na hilo tuliliona mapema tulipomaliza kuungana tuu mwaka mmoja tuu mukaanza kubadilisha na kuongeza vitu kwenye mkataba wa muungano na mwisho wake mzee karume alivyoshtuka mukaona ahh ataharibu kila kitu ndo MR X akamaliza kila kitu.


SWALI lini nyinyi watanganyika (jina hamlitaki munataka tanzania bara) mulokaa bungeni mukaongea kwamba muungano hauna faida kwenu tuachane nao hamuwezi na wala hamutaweza sisi ndo tutakaouvunja muungano kwasababu kuna jambazi moja linajifanya kubwa na janja.


TUACHIWE TUPUMUE MIAKA 50 INATOSHA YA UNYONYAJI
 
Tuanzie hapo kwenye red: Bunge la Jamhuri limeshainisha takriban Tsh 70billion kwa ajili ya hii Tume ya Katiba. Swali, Baraza la Mapinduzi wametenga kiasi gani kwa ajili ya hii tume?

Soma hapo chini alichosema Dr Shein - Rais wa Zanzibar. Na kumbuka Dr. Shein haongelei nadharia na simulizi za Michenzani, ana experience ya hayo anayosema.



....Akizungumzia masuala ya Muungano, Dk Shein alisema licha ya mchakato wa Katiba Mpya kuendelea, Serikali zote mbili (Muungano na Zanzibar), zimeendelea kujadili masuala muhimu na changamoto zilizopo na kusema siyo sahihi kubeza mgawo wa sasa wa mapato ya Muungano ambao Zanzibar inapata asilimia 4.5.
"Jeshi la Wananchi na JKT (Jeshi la Kujenga Taifa) wanatumia mabilioni mangapi, Mambo ya Nje, Mambo ya Ndani, Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia... Sisi (Zanzibar tunatoa ngapi?)"
Dk Shein: Mimi ndiye msemaji mkuu wa Z

cc nguruvi JokaKuu




Tuanze katika RED BUNGE LA JAMHURI unajua bunge la jamhuri unamaanisha nini sasa naanza kufanhamu kwamba hamjui nini TANZANIA MAANA YAKE munafikiri hili jina lenu ndo maana kila siku nauliza TANGANYIKA NDO TANZANIA lakini watu wanazunguka bila ya kujibu halafu hayo mambo kwenye green uloyataja ni ya muungano ukiuliza sisi tunachangia ngapi basi na sisi tuna haki ya kuuliza Tanganyika yuko wapi na anachangia ngapi na anapata ngapi katika mgao ama pia kasamehe mgao nao na yy ndo mshirika mwenza wa znz nyinyi ni mijambawazi lakini siku zenu zinahisabika inshallah


TUACHIWE TUPUMUE MIAKA 50 INATOSHA KUWA WATUMWA.
 
Barubaru,

..nakubaliana na wewe 100% kwamba uchumi wa Znz unaweza kupaa.

..lakini hilo litategemea kama mtajipanga vyema na kutumia rasilimali zenu vizuri.

..pamoja na hayo,nasimama ktk hoja yangu kwamba muungano hauwezekani kutokana na tofauti kubwa ya kieneo na population baina ya Tanganyika na Zanzibar.

NB:

..Mwakilishi hajasema kwamba Znz haiwezi kusimama peke yake na kupaa kiuchumi, bali amesema Znz haina uwezo wa kuchangia 50/50 masuala ya muungano. He also defended his views with data.

cc gombesugu, Nguruvi3





JokaKuu,

Nimekusoma Sheikh wangu.

Lakini pamoja na jitihada za haya malumbano/"majadiliano" yoote hapa jamvini,ingekua vyema pia tukajua je kiasi gani(percentage) hiyo JMT inapata kila mwaka toka kwa "nchi Wahisani" ili kuchangia/kukidhi mahitaji ya Bajeti yake!?

Khalaf,hapo tutajua Zanzibar inachangia kiasi gani!? Lakini tukumbuke pia ya kwamba hiyo "misaada" ya aina yoote,Zanzibar nayo imo humo nusu bin nusu,maana hiyo "misaada" na "michango" itolewayo na hao "Wahisani", huombwa kwa niaba ya JMT...ambayo ni Tanganyika/Zanzibar!?

Mchanganyiko/kizaazaa chengine kinakuja pale yakuwa hiyo Tanganyika haipo asilan kwa sasa,iliyopo ni theory tu...sasa yawaje leo iwe theory ndo inachangia!?

Au nyinyi "Wadanganyika" wenzetu pale mnachaganya baina ya JMT na Tanganyika!?...kama ndivyo mfikiriavyo/mfanzavyo,basi itakuwa mnafanza hadaa!?

Kwa kifupi kilichopo kwa sasa ni Serikali mbili tu...JMT na SMZ,hii ni kisharia.

Nafikiri wakti muafaka umewadia wa nyinyi nanyi,kujiunga na fikra kama za wenzenu Wanzanzibary ili kudai hiyo Tanganyika irejeshwe,kuliko kushinda mitandaoni kuwafanzia kebehi na tashtit wenzenu wa Unguja na Pemba.

Nipa fursa kutumia lugha ya humu Jf kiduchu;yakuwa nyinyi Watanganyika mnadandia treni kwa mbele!

...kwanini mnashughulika na kutaka mahisabu/takwimu,au kujinasibu yakuwa ati "mnadai",huku mkijua fika yakuwa huyo Tanganyika hata kisharia hayupo asilan,yaani ni mauti!?

Kwa kifupi,nendeni kwanza mkajipange upya na kuifufua hiyo maiti aka Tanganyika,nasi twakusubirini na mtatukuta hapa hapa,khalaf ndipo tujezungumza kiungwana na "kijitu kizima".

Niwie radhi kama pana lolote labda nimekwenda mrama dhidi yako kwenye huo uchechefu wangu kiduchu.

Ahsanta.
 
Yatakuhusu vipi na wewe sio raia wa tanzania? Kama hoja ni kitovu kakifukue ukichukue ukizike huko Oman; hivi unajua maana ya unyonyaji au unataka kufurahisha baraza? Pole jipe wewe usiyejitambua huko Oman wewe 3rd class citizen utawatisha hao wasiojua; pole sana Barubaru Tanzania neema ndiyo hizi zmeanza acha tuzile kwa kujinafasi!


Pole sana ahali yangu.

Kumbuka hata Serikali ya Uingereza imewaonea huruma na ndio maana ikasimama kidete kuwarudishia chenji ya RADA. Hivyo nami si ajabu kusimama na kuona nchi nilikozaliwa inakuwa huru bila kudhulumiwa.

Je umepata bahati ya kupitia gazeti la leo huko Tz la Mawio. nasikia JUSSA kamwaga vitu ile mbaya kuhusu Znz haitaki muungano wa mashaka. Pitia hilo nami inshallah Keshi nitalipata.

Pole sana
 
JokaKuu,

Nimekusoma Sheikh wangu.

Lakini pamoja na jitihada za haya malumbano/"majadiliano" yoote hapa jamvini,ingekua vyema pia tukajua je kiasi gani(percentage) hiyo JMT inapata kila mwaka toka kwa "nchi Wahisani" ili kuchangia/kukidhi mahitaji ya Bajeti yake!?

Khalaf,hapo tutajua Zanzibar inachangia kiasi gani!? Lakini tukumbuke pia ya kwamba hiyo "misaada" ya aina yoote,Zanzibar nayo imo humo nusu bin nusu,maana hiyo "misaada" na "michango" itolewayo na hao "Wahisani", huombwa kwa niaba ya JMT...ambayo ni Tanganyika/Zanzibar!?

Mchanganyiko/kizaazaa chengine kinakuja pale yakuwa hiyo Tanganyika haipo asilan kwa sasa,iliyopo ni theory tu...sasa yawaje leo iwe theory ndo inachangia!?

Au nyinyi "Wadanganyika" wenzetu pale mnachaganya baina ya JMT na Tanganyika!?...kama ndivyo mfikiriavyo/mfanzavyo,basi itakuwa mnafanza hadaa!?

Kwa kifupi kilichopo kwa sasa ni Serikali mbili tu...JMT na SMZ,hii ni kisharia.

Nafikiri wakti muafaka umewadia wa nyinyi nanyi,kujiunga na fikra kama za wenzenu Wanzanzibary ili kudai hiyo Tanganyika irejeshwe,kuliko kushinda mitandaoni kuwafanzia kebehi na tashtit wenzenu wa Unguja na Pemba.

Nipa fursa kutumia lugha ya humu Jf kiduchu;yakuwa nyinyi Watanganyika mnadandia treni kwa mbele!

...kwanini mnashughulika na kutaka mahisabu/takwimu,au kujinasibu yakuwa ati "mnadai",huku mkijua fika yakuwa huyo Tanganyika hata kisharia hayupo asilan,yaani ni mauti!?

Kwa kifupi,nendeni kwanza mkajipange upya na kuifufua hiyo maiti aka Tanganyika,nasi twakusubirini na mtatukuta hapa hapa,khalaf ndipo tujezungumza kiungwana na "kijitu kizima".

Niwie radhi kama pana lolote labda nimekwenda mrama dhidi yako kwenye huo uchechefu wangu kiduchu.

Ahsanta.

Ahalan wa sahalam Gombesugu, salaamu alaykum w.w.

Si kuwa hawayajui hayo bali wamekuwa kila wakti wakijitoa fahamu. Hivyo kuwa wana macho hawaoni, wana masikio hawasikii na wana pua hawanusi basi hata kugusa hamuwezi!! poleni sana

Jiulize nchi yenye watu milioni 45 kuungana na nchi yenye watu milioni moja na nusu , tena muungano wa pasu kwa pasu inaingia akilini kweli.

wajumbe wa tume ya katiba kutoka Znz na wale kutoka tanganyika wote wapo sawa na wana kura sawa inaingia akilini kweli.
Ila wao wamebobea katika kuibana Znz kiuchumi hususan kwa kutumia hiyo misaada na mikopo kwa kutumia jina la Tanzania. Je huo kweli uungwana?

kama alivyosema JUSSA kuwa sasa inatakiwa iitwe JAMUHURI YA NCHI ZA TANZANIA ( United Republics of Tanzania)
 
Ukweli umetimia sasa wanahangaika. Uongo wa kusema Tanagnyika inawanyonya sasa hadharani.

Kitu cha ajabu sana ni hao hao wanataka tume iwe asilimia 50, wanataka bunge la katiba liwe asilimia 50. Wanataka viongozi wa muungano na wafanyakazi wa serikali ya muungano wawe nusu kwa nusu.

Tumewahi kuwaeleza mara nyingi sana wazanzibar akiwemo Jusa na Ahmed Rajab kuwa Tanganyika haihitaji znz kwa lolote. Hatuhitaji znz ila znz inatuhitaji sana.period.

Ona sasa imefika wakati wa gharama wanajichafua nguo hovyo. Wale wanaosema Tanganyika inawanyonya znz wajiulize kama mwenyekiti wa kamati anasema hawana uwezo, Tanganyika inawanyonya wapi.

Hawa watu wamefundishwa ujinga wa kuamini maneno ya mitaani bila ushahidi wa kiuchumi.
Tunasema hivi serikali ni tatu na kila mmoja achangie sawa.
Muda wa kubeba watu migongoni wakitukana hovyo iumekwisha.

Hiki ni kijimkoa tu lakini kelele tu wamejaaliwa. Tutakomaa hadi mtaomba radhi kwa maneno yenu machafu.
Wananyanyua pua eti muungano ni nchi mbili wabia sawa. Thubutu, wabia sawa wakati wewe unachangia maneno na kelele ! usawa wa ubia upo wapi.

Wewe unavia kodi za Mtanganyika halafu unasema ubia sawa. Hawa watu waajabu sana.
Leo wanasema hawana uwezo na wakati wa kujadili muungano hali ya uchumi iangaliwe.
Ni hawa hawa walikomaa tume iwe na wajumbe sawa. By the way hawajui gharama za tume wala za bunge la katiba.Kelele zitawatokea puani this time

fungeni midomo na muwe na adabu. Shikeni adabu, muungano uchumi si mipasho na taarabu.
Leteni kitu mezani si kuvizia nafasi za urais wa zamu na uwaziri. Kupe wakubwa mninyi.

Mkome kusema mnanyonywa, nani anyoinye mnasikini wa mapato kama yenu.
Mkome kudai vyeo msivyojua gharama zake. Matabaki chini ya kivuli cha Tanganyika kwasababu hamna uwezo.period

GHIBUU takashi Jusa Jasusi JokaKuu Kakke Jasusi Nonda gombesugu Zinedine FJM




Nguruvi3,

Duh! Yaani umetunyambua tena kwa mipasho ya nguvu,mbwembwe,kebehi na tashtit za hali ya juu!...haya bana!

Yaani hata sijui nianzie wapi kukujibu muungwana wangu!?

Lakini takwambia kiduchu tu;

...haya yoote na mangineyo mangi mno alitutakia Sheikh Aboud Jumbe. Maana tulimwambia yakuwa hawa Watangayika woote na khasa yule Kiongozi/Afrit wao Nyerere,si watu wa muamana na wala tusiwaamini asilan!

Lakini maskini "sikio la kufa halisikii dawa"... Rais Jumbe kipindi kile alikua mwoga na dhaifu mno baada ya kifo cha Rais Karume,ndipo pale Nyerere alikua akichukua advantage ya kutufanzia dhuluma,vitisho na hadaa zoote za kuihujumu Zanzibar na Wazanzibary.

Ile 1977, Rais Jumbe na yule Mmakunduchi asosikia Thabit Kombo,pia tuliwaambia tena...yakuwa "michezo" yoote fanzeni,lakini msithubutu asilan kuunganisha Vyama na yule Nyerere!?

Pia hawakusikiza asilan maskini,na matokeo yake ndo haya leo tunayaona humu mitandaoni...ati nyinyi Watanganyika dhaifu leo pia mmekua na vinywa vya kufunguka na kutukana!? Ama kweli "dunia hadaa",Wallahi! Dah!

Yaani leo nyinyi Watanganyika,ati mnawaona bora wale "mabweshu" wapenda ugomvi/vita na zogowenzenu wa nchi za mbali...Rwanda,Uganda,Malawi,Zambia na kwingineko kuliko Wazanzibary tulo "pua na mdomo"!?

Mbona wakti wa yule Nyerere wenu,mlipokumbwa na njaa/mateso,hatukumwona mwanaharasha yeyote kuja kukusaidieni zaidi yetu sisi!?

Mnakumbuka mlipokua tunakuleteeni meli za ngano na mchele mstirike!?...na pia Watanganyika wenzenu kutwa kucha ilikua pia haweshi kiguu na njia kuja Unguja na Pemba kufata tambi na sabuni za chokaa,ili kuja kufulia matambara yenu!?

Nafikiri utakumbuka yakuwa wakti huo Watangayika wengi mno mlikua mkitembea makalio wazi na kuvaa mipira michakavu ya motokari/"makatambuga"!?

Wazanzibary/SMZ
,ilikua tukiagiza meli nzima kwa mwaka mara mbili kutuletea vyakula makhusus khasa unga wa ngano na mchele,ili kukidhi mahitaji yetu.

Kila mwaka,zaidi ya mara mbili meli pia ilikua ikenda ng'ambo kutuletea mavazi...nguo,viatu na manukato!

Maji ya kunywa ya bombani/mferejini,yalikua masafi na yenye kung'ara pita kiasi Visiwani mle...nafikiri mnakumbuka nyinyi Watanganyika wakti huo mlikua mkinywa tope tu zilojaa mikojo ya vyura!

Unakumbuka Wizara ya Maji,Nishati na Madini ilikua kila mara inakuja kupiga hodi Unguja na kuomba "ikopeshwe" madawa ya kusafishia maji,maana Serikali yenu ilikua haina hata senti moja ya kigeni kumudu kununua mahitaji hayo muhimu kwa Wananchi wake!?

Nguruvi3,wewe binafsi nakhis wafahamu mangi mno...tatizo lako wapenda mno kuficha ukweli na kupotosha Wanajamvi na kutaka tu kujifaragua.

Au yule Nyerere alikua hakuambieni ukweli wa majambo yalivyokua yanakwenda na fadhila,madeni,misaada tena mingine ya kulazimisha mliokua mkipata toka Zanzibar/SMZ!?

Tafadhalini ndugu zetu Watanganyika,kaeni tuzungumze kiungwana...msitulazimishe tukwambieni maneno machafu,khalaf mjesema ati tunakusimbulieni na mjute maisha yenu yoote kusikia yayo.

Shukran kwa kunisikiza huo uchechefu wangu japo kiduchu.

Ahsanta.
 
JokaKuu,

Nimekusoma Sheikh wangu.

Lakini pamoja na jitihada za haya malumbano/"majadiliano" yoote hapa jamvini,ingekua vyema pia tukajua je kiasi gani(percentage) hiyo JMT inapata kila mwaka toka kwa "nchi Wahisani" ili kuchangia/kukidhi mahitaji ya Bajeti yake!?

Khalaf,hapo tutajua Zanzibar inachangia kiasi gani!? Lakini tukumbuke pia ya kwamba hiyo "misaada" ya aina yoote,Zanzibar nayo imo humo nusu bin nusu,maana hiyo "misaada" na "michango" itolewayo na hao "Wahisani", huombwa kwa niaba ya JMT...ambayo ni Tanganyika/Zanzibar!?

Mchanganyiko/kizaazaa chengine kinakuja pale yakuwa hiyo Tanganyika haipo asilan kwa sasa,iliyopo ni theory tu...sasa yawaje leo iwe theory ndo inachangia!?

Au nyinyi "Wadanganyika" wenzetu pale mnachaganya baina ya JMT na Tanganyika!?...kama ndivyo mfikiriavyo/mfanzavyo,basi itakuwa mnafanza hadaa!?

Kwa kifupi kilichopo kwa sasa ni Serikali mbili tu...JMT na SMZ,hii ni kisharia.

Nafikiri wakti muafaka umewadia wa nyinyi nanyi,kujiunga na fikra kama za wenzenu Wanzanzibary ili kudai hiyo Tanganyika irejeshwe,kuliko kushinda mitandaoni kuwafanzia kebehi na tashtit wenzenu wa Unguja na Pemba.

Nipa fursa kutumia lugha ya humu Jf kiduchu;yakuwa nyinyi Watanganyika mnadandia treni kwa mbele!

...kwanini mnashughulika na kutaka mahisabu/takwimu,au kujinasibu yakuwa ati "mnadai",huku mkijua fika yakuwa huyo Tanganyika hata kisharia hayupo asilan,yaani ni mauti!?

Kwa kifupi,nendeni kwanza mkajipange upya na kuifufua hiyo maiti aka Tanganyika,nasi twakusubirini na mtatukuta hapa hapa,khalaf ndipo tujezungumza kiungwana na "kijitu kizima".

Niwie radhi kama pana lolote labda nimekwenda mrama dhidi yako kwenye huo uchechefu wangu kiduchu.

Ahsanta.
gombesugu,

..suala la mapato ya Tanganyika vs Zanzibar lilishaletwa hapa JF ambapo tulipitia taarifa za chombo kinaitwa Joint Finance Commission. Tulichokiona ktk taarifa hizo kinashabihiana na maoni ya huyo mwakilishi.

..baadhi ya wachangiaji hupenda kucheza-cheza vifungu vya sheria na maneno. sasa watu kama hao hukwama pale takwimu zinapowekwa wazi. katika suala la mapato/makusanyo ya fedha za ndani ukishatoa mahesabu ya Zanzibar kilichobakia ni jasho la wa-Tanganyika.

..mwisho, naendelea kusisitiza kwamba muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar hauwezekani kutokana na tofauti ya eneo na population baina ya mataifa haya mawili.

..Znz inaweza kusimama yenyewe na kupiga hatua za maendeleo nje ya muungano. kinachotakina ni Znz kuwa na sera nzuri na utekelezaji makini ktk matumizi ya rasilimali zake. kama Seychelles, na Mauritius wameweza, sioni kwanini Zanzibar ishindwe.

NB:

..nimekusamehe kwa kutukejeli na kutuita "wadanganyika", na kuifananisha Tanganyika na maiti.

cc Barubaru
 
Last edited by a moderator:
Ahalan wa sahalam Gombesugu, salaamu alaykum w.w.

Si kuwa hawayajui hayo bali wamekuwa kila wakti wakijitoa fahamu. Hivyo kuwa wana macho hawaoni, wana masikio hawasikii na wana pua hawanusi basi hata kugusa hamuwezi!! poleni sana

Jiulize nchi yenye watu milioni 45 kuungana na nchi yenye watu milioni moja na nusu , tena muungano wa pasu kwa pasu inaingia akilini kweli.

wajumbe wa tume ya katiba kutoka Znz na wale kutoka tanganyika wote wapo sawa na wana kura sawa inaingia akilini kweli.
Ila wao wamebobea katika kuibana Znz kiuchumi hususan kwa kutumia hiyo misaada na mikopo kwa kutumia jina la Tanzania. Je huo kweli uungwana?

kama alivyosema JUSSA kuwa sasa inatakiwa iitwe JAMUHURI YA NCHI ZA TANZANIA ( United Republics of Tanzania)




Mufti Barubaru,

Alayka Salaam,Al Habiby.

Barkat Al Eid...maana hatujazungumza kitambo.

Nakusoma
kwa utuvu ulo mwingi,na bayana zako na mipini yako yoote naishuhudia hapa jamvini.

Huyo sahib yake Shariff Ritz ajiitae Chama,nafikiri asikupe taabu na wala simjibu asilan...maana badala ya kuzungumzia mada iliyopo,ati yeye kakushikia bango wewe na kutaka kukuchafua ati "si" Mtanzania!? Ebos ! Ndo iwe nini khasa!?

Yale yale majambo ya kibaguzi yalosababisha Wazee Wetu na jamaa zetu kutolewa roho zao mbichi,leo kuna wangine wataka kuyarejesha tena upya!? Dah!

Kama kuna watu wenye haja ya kujua yupi mwenye "haki" na hiyo Tanzania,au yupi ndo ajivunie hiyo Tanzania na yupi mwenye "kustahiki" kubaguliwa na kunyanyaswa...basi watatupata wengi mno!

Na kama ipo haja ya kuzungumzia ubaguzi ulokubuhu/upuuzi kama huo,na ifunguliwe thread yake makhusus,nasi tutakurubia kuchangia Insha Allah.

Wallahi,nimefurahika tumezungumza japo kiduchu.

Ahsanta.
 
gombesugu,

..suala la mapato ya Tanganyika vs Zanzibar lilishaletwa hapa JF ambapo tulipitia taarifa za chombo kinaitwa Joint Finance Commission. Tulichokiona ktk taarifa hizo kinashabihiana na maoni ya huyo mwakilishi.

..baadhi ya wachangiaji hupenda kucheza-cheza vifungu vya sheria na maneno. sasa watu kama hao hukwama pale takwimu zinapowekwa wazi. katika suala la mapato/makusanyo ya fedha za ndani ukishatoa mahesabu ya Zanzibar kilichobakia ni jasho la wa-Tanganyika.

..mwisho, naendelea kusisitiza kwamba muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar hauwezekani kutokana na tofauti ya eneo na population baina ya mataifa haya mawili.

..Znz inaweza kusimama yenyewe na kupiga hatua za maendeleo nje ya muungano. kinachotakina ni Znz kuwa na sera nzuri na utekelezaji makini ktk matumizi ya rasilimali zake. kama Seychelles, na Mauritius wameweza, sioni kwanini Zanzibar ishindwe.

NB:

..nimekusamehe kwa kutukejeli na kutuita "wadanganyika", na kuifananisha Tanganyika na maiti.

cc Barubaru





JokaKuu,

Awali natanguliza Shukran zangu stahiki kwako kwa kunipa msamaha kwa kauli yangu labda ilokua potofu.

Labda siku hizi nami nipunguze japo kiduchu kujikopesha hizi lugha za humu Jf...wajua hilo neno "Wadanganyika" pia nililiokoteza humu humu!? ahahaa!!

Naona hapo umeamua nawe kunirejeshea kwa "kunipiga kijembe",ati yakuwa..."kuna watu wanapenda kucheza cheza na vifungu/vipengele vya sharia wanapoona/wanapoletewa takwimu mbele yao ili kukimbia "madeni"!?ahaahaa!!

Nafahamu "shutuma" hizo binafsi nilishawahi pia kutupiwa na Bwana Ngruruvi3 wakti fulani,humu humu tena kwenye mada fulani yenye kushabihiana na hii...haina neno,nafurahi atleast tunapata fursa na kujadiliana japo kiduchu,khitilaf zetu za mitazamo ndo jambo jema na pia ni demokrasia ya ukweli.

Napata lunch hapa kiduchu,lakini taipitia hii bayana/post yako na nyinginezo kwa utuvu na nitarejea tena hapa jamvini.

Ahsanta.
 
Pole sana ahali yangu.

Kumbuka hata Serikali ya Uingereza imewaonea huruma na ndio maana ikasimama kidete kuwarudishia chenji ya RADA. Hivyo nami si ajabu kusimama na kuona nchi nilikozaliwa inakuwa huru bila kudhulumiwa.

Je umepata bahati ya kupitia gazeti la leo huko Tz la Mawio. nasikia JUSSA kamwaga vitu ile mbaya kuhusu Znz haitaki muungano wa mashaka. Pitia hilo nami inshallah Keshi nitalipata.

Pole sana
Barubaru
Muda wa kusoma Mawio na utoa wapi? Jussa kama hautakia ni yeye waliowengi wanaona manufaa ya muungano Jussa ana mabwana zake uarabuni si kazi kesho naye akawa raia wa Oman
 
Last edited by a moderator:
Kutoka katika link hiyo hiyo soma maneno haya
''Serikali ya Tanzania bara itabidi ichangie sana katika Muungano.
Tuliamua hili kwa kuwa tuliamua kuulinda Muungano, lakini kuhusu gharama kutakuwa na njia nzuri za uchangiaji kutoka kila upande''
Umesoma na maneno haya?
Kodi ya mapato ndiyo inatoa fedha nyingi sana na inafuatiwa na kodi ya ushuru wa bidhaa na ushuru wa forodha. Kutokana na hesabu tulizopiga, tumeona matumizi katika Serikali ya Muungano yapo katika sehemu mbili, moja ni yale ya Muungano na ya pili ni yale ya Tanganyika ambayo yanachukua fedha nyingi.

Serikali tatu ndiyo suluhisho la kudumisha Muungano kuliko Serikali moja au mbili.

Hayo hapo juu ni maneno ya Warioba.

Wewe maalim Nguvu3 na mwenza ako, Mkijiji mnataka serikali moja, itakuwaje?

Unakikumbuka hiki kijarida? Ulikibeza sana....
link https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/100638-shirikisho-ndani-ya-shirikisho.html
 
Ukweli umetimia sasa wanahangaika. Uongo wa kusema Tanagnyika inawanyonya sasa hadharani.
......
Hawa watu wamefundishwa ujinga wa kuamini maneno ya mitaani bila ushahidi wa kiuchumi.
Tunasema hivi serikali ni tatu na kila mmoja achangie sawa.
..
Hiki ni kijimkoa tu lakini kelele tu wamejaaliwa.

GHIBUU takashi Jusa Jasusi JokaKuu Kakke Jasusi Nonda gombesugu Zinedine FJM

Nguruvi3

Jokakuu ametupa mifano ya vijimkoa vingine hapo chini.Kijimkoa kimojawapo ni Sychelles. Hiki kijimkoa hatufikirii kuungana nacho pia kama tulivyoungana na kimkoa hiki, Zanzibar?

Kwa nini tumeungana na vijimkoa viwili tu? - Mafia na Zanzibar?

gombesugu,
.....

..mwisho, naendelea kusisitiza kwamba muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar hauwezekani kutokana na tofauti ya eneo na population baina ya mataifa haya mawili.

..Znz inaweza kusimama yenyewe na kupiga hatua za maendeleo nje ya muungano. kinachotakina ni Znz kuwa na sera nzuri na utekelezaji makini ktk matumizi ya rasilimali zake. kama Seychelles, na Mauritius wameweza, sioni kwanini Zanzibar ishindwe.
.....
 
Umesoma na maneno haya?
Kodi ya mapato ndiyo inatoa fedha nyingi sana na inafuatiwa na kodi ya ushuru wa bidhaa na ushuru wa forodha. Kutokana na hesabu tulizopiga, tumeona matumizi katika Serikali ya Muungano yapo katika sehemu mbili, moja ni yale ya Muungano na ya pili ni yale ya Tanganyika ambayo yanachukua fedha nyingi.

Serikali tatu ndiyo suluhisho la kudumisha Muungano kuliko Serikali moja au mbili.

Hayo hapo juu ni maneno ya Warioba.

Wewe maalim Nguvu3 na mwenza ako, Mkijiji mnataka serikali moja, itakuwaje?

Unakikumbuka hiki kijarida? Ulikibeza sana....
link https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/100638-shirikisho-ndani-ya-shirikisho.html
Kuna sehemu Warioba kasema itabidi Tanganyika ichangie zaidi.

Mimi sipo katika serikali 1,2. Ninaseema tuwaache wenzetu wakaijenge Dubai ya Afrika.
Sioni sababu zozote za muungano na znz. Hatuhitaji znz kwa lolote. Tatizo wanatuhitaji hata kwa Mkataba.

Basi ikishindikana nasema serikali 3. Tayri yale 22 yamebaki 7. Tanganyika imetua mzigo wa 15.
Katika hayo 7 tunasema kubebana hapa, kama ni ulinzi lazima kila mtu alete kitu mezani. Hizi si zama za maneno na ngonjera.

Tanganyika itasimamia kila jambo lake na kama wakitaka itabidi wawe na sheria kama yetu.
Mkataba anabaki nao maalim chumbe, akihitaji msaada wa ndege kubeba mkaa tutampa lakini mwisho wa ndege hiyo chumbe. Akivuka huku aje na 'haki sawa' sisi hatumjui ni nani.
 
Back
Top Bottom