gombesugu,
..OK, nimekuelewa kuhusu msimamo wako kwambo MOU ni sehemu ya mjadala huu.
..sasa nina maswali yafuatayo:
1. je Znz ina uwezo wa kuchangia masuala ya muungano sawa na Tanganyika?
2.je Znz ina uwezo wa kuchangia MOU na masuala ya muungano sawa na Tanganyika?
..mwisho, kwa msaada niwasilisha ripoti ya Joint Finance Committee ambayo
Barubaru aliomba tuiwasilishe.
http://jfc.go.tz/downloads/mapato.pdf
cc
Nguruvi3
JokaKuu,
Nimekusoma Mkuu.
Yawezekana labda ni kweli yakuwa kwa sasa
SMZ haina uwezo
kiuchumi wala
raslimali kuchangia huo
Muungano wenu uso
hati wala uthibitisho!?
Lakini ni
muhimu mno pia tujikumbushe na kurejea awali japo kiduchu
kihistoria;yaani wakti ule
1964 pale
Nyerere na yule
Karume walipoamua kutiliana sahihi huo "muungano"!
Tukumbuke yakuwa hiyo 1964,
SMZ/Zanzibar ilikua ni
nchi yenye akiba njema na uwezo mzuri mno wa kujikimu
kiuchumi...na pia wapo baadhi ya
Wanataaluma wa uchumi
wanathibitisha yakuwa ilikua imara kuliko hata hiyo Tanzania Bara aka
Tanganyika!?
Muhimu pia kuzingatia yakuwa penye
Muungano wowote,ni dasturi ya kitaaluma/
logic kuzingatia
vigezo vinginevyo vingi mno na wala tu si uwezo wa senti/
kiuchumi,kama vile wewe na
Nguruvi3 mnavyojaribu kutuaminisha/kulazimisha hapa jamvini!?
Na wala si lazim au ndo
kigezo kikuu,kuchangia
nusu kwa nusu kiuchumi/senti kwenye
muungano... mbona mifano ipo mingi mno humu duniani kwenye
mataifa mbalimbali na makubwa yaloungana!
Takwambia mifano kiduchu tu;
European Union,
United States of Amerika na hata ile ilokua
USSR.
Historia za hiyo
miungano yoote hapo
yadhihirisha na
kuthibitisha yakuwa
vigezo vingine kadhaa vilitumika/vinatumika kuridhia na
kufanikisha miungano hiyo,mbali na hiyo
monetary power/fiscal capability...ambayo hapa jamvini nyinyi ndo malalamiko/manung'uniko yenu makubwa mno!?
Kwa mfano katika ile
European Union;kwani twaezafananisha nguvu za
kiuchumi/kijeshi au
mchango wowote pale
Strasbourg baina ya hawa
Poland,Estonia,Lithuania,Slovakia...na hawa
Uk,Germany,France,The Nerthelands!?
Je kwa mfano huo huo;waeza fananisha mchango wa
kiuchumi kwa ile
Central government katika ya hawa
Texas na
California...labda na hawa
Connecticut,Nebraska,Hawaii,Detroit!?
Je kwa kutumia mfano/
vigezo vile vile;waeza vipi fananisha kwenye ile ilokua
USSR,uwezo/mchango wa kiuchumi uliokua ukitolewa na
Moldova,uzbekstan,Turmenkhstan....na hawa
Belarus,Ukraine,Russia,Geogia!?
Hiyo mifano ya hizo nchi/
miungano ina share
equal represantation and in a
complimentary way almost in every sector/area within
EU and/or
USA!
Nakhis yakuwa pamoja na majadiliano haya yoote bado pana mangi mno mnajaribu ku-
over look!?
Mfano tena kiduchu...je mnazingatia pia ile
geopolitic and/or
social geography!?
Hayo tu mawili nilotaja kumbuka ni
subject kubwa na pana mno...ina-cover vitu kama
security,history of the people,
potential natural resources on
both sides of the
union,socio-economic,shared strategic borderline/s.
Nafikiri mwajua kwa yakini yakua hayo mawili tu niloyataja...
geopolitic and
social geography... pia yaweza kuwa ni
vigezo tosha na labda
muhimu zaidi kuliko hata hizo khabari za huo uwezo wa
kiuchumi...rejea tena mifano nilokutajia hapo juu kiduchu!
Labda
Nguruvi3 hapo kwenye huo mfano wangu wa
EU,aeza kuleta hoja ya
VETO among few
"Big Members"!?
Nakubali,lakini pia ikumbukwe yakuwa hata hao
Tangayika aka Tanzania Bara,yaani wana zaidi ya hiyo
VETO kwenye huo
"Muungano"!
Kwa mfano ya mambo ya kuvunja
Usalama wa Taifa wa
Zanzibar,
Amir Jeshi kuwa ni wa
JMT,
Foreign Affairs,na mangineyo mangi pita kiasi!
Nisingalipenda kwa sasa kwenda kwa undani/kwa kina zaidi kuhusu
Articles of the Union na zile so called
"supplimentary Articles"... maana mimi na
Nguruvi3,tulishawahi kulumbana/kuzungumzia kwa kina majambo hayo kwenye
thread fulani humu humu-
JF!
Kuhusu hiyo khabar ya
MoU...nafikiri hilo suali hata kwa hao wenzenu
Waislam wa huko
Tanganyika bado
halikubaliki hata kiduchu,na hata
Serikali inakiri yakuwa hilo jambo ni mojawapo ya very
sensitive issues inayojaribu kurekebisha kwa haraka ili kuweka usawa kwa
Wananchi wake wa
dini zoote na hata waso dini/imani pia!?
Kwa hiyo
nakuhakikishia yakuwa hata kama hiyo
SMZ/Zanzibar itakua/ingalikua na uwezo
kiuchumi...lakini itakua haiingia akilini asilan,ati kuwataka/
kuwalazimisha Wazanzibary ambao soote twajua yakuwa
population yao ni takriban 100%
Waislam,ati "wachangie" shughuli za
Makanisa huko mabara/mikoani!? Duh!?
Nimewahi kumsoma ndugu yetu
Elungata,humu humu-
JF;ameonyesha na
kuthibitisha ubadhilifu mkubwa mno ufanyikao ndani ya hiyo
MoU/Makanisa,na huku
Serikali ikifumbia macho kwa
kuogopa ati kuwakera
Makasisi/Kanisa!?
...yakuwa hata pia hakuna
ukaguzi wowote wa mahisabu ufanzwao kudhibiti/kufuatilia hayo
mabilioni ya Serikali/
Wananchi wavuja jasho maskini,kama hayo makubaliano ya hiyo
MoU yalivyokua/yanavyotaka!?
Hakuna hata
statistics zozote zilizopo hadharani au hata kwa
CAG,tangia hiyo Serikali/
Edward Lowasa kutiliana mkataba/
"MoU" ule na
Kanisa!?
Makubaliano hayo yanatumika kujenga
Hospitals,Vyuo na
Makanisa/Mahekalu makubwa mno...ambayo baade
Wananchi wa kawaida/
wasiojiweza maskini,wanakwenda kutafuta
matibabu na
kuhujumiwa kwa kulipishwa tiba au masomo kwa bei mbaya mno kuliko hata kwenye sehemu/huduma hizo hizo zitolewazo
Serikalini!?
Ndo maana,
Wananchi wenye akili na maarifa yao wameanza kuhoji uhalali na hata
"faida"/uhalali wa kuwapo kwa hiyo
"MoU"!?
Nafikiri itakua nafanza
"makosa" kiduchu hapa kama nitazungumza mno/into
details hizo khabar ya hiyo
MoU!?...lakini
imenilazim kujibu kiduchu kutokana na ulivyouliza kwenye hiyo
bayana yako ndugu yangu!
Kwa kifupi,itakua ni
dhuluma kubwa mno na
unafiki wa kitaaluma,kama unatarajia/mnatarajia kama huo
Muungano utaendelea kuwapo,khalaf ati
SMZ/Wazanzibary waendelee kukulipieni hiyo
"MoU" yenu!? Duh!
Hiyo unayodai ni
"report" nami pia nimeichungulia
kiduchu...lakini Mufti
Barubaru anakataa yakuwa hiyo sio
report stahiki alokutuma ukalete hapa jamvini!?...kwa kifupi wewe/nyinyi mumeleta "
study" tu!?
Ahsanta.