Mwiba, gombesugu,
..Zanzibar ni ndogo kieneo na kiuchumi.
..kuitia ktk muungano na Tanganyika ni kutafutana ubaya na lawama.
..haya mambo tumekuwa tukiyasema kwa muda mrefu sana hapa JF.
..tunaposema hayo wengine mnafikiria tumeamua kuwavunjia heshima lakini huyo mwakilishi kasema ukweli.
..labda nikupeni mfano mdogo: kabla ya mapinduzi Znz majimbo ya uchaguzi yalikuwa hayazidi 30. sasa hebu angalia wakati huu tuna muungano Znz ina majimbo mangapi ya uchaguzi? majimbo yameongezwa Znz ifanane-fanane na Tanganyika.
cc Nguruvi3, Barubaru
..Zanzibar ni ndogo kieneo na kiuchumi.
..kuitia ktk muungano na Tanganyika ni kutafutana ubaya na lawama.
..haya mambo tumekuwa tukiyasema kwa muda mrefu sana hapa JF.
..tunaposema hayo wengine mnafikiria tumeamua kuwavunjia heshima lakini huyo mwakilishi kasema ukweli.
..labda nikupeni mfano mdogo: kabla ya mapinduzi Znz majimbo ya uchaguzi yalikuwa hayazidi 30. sasa hebu angalia wakati huu tuna muungano Znz ina majimbo mangapi ya uchaguzi? majimbo yameongezwa Znz ifanane-fanane na Tanganyika.
cc Nguruvi3, Barubaru
Last edited by a moderator: