Zanzibar Airlines inahitajika
hiyo ni ya muhimu sana, Ila chini ya CCM hakuna linalokuwa
Zanzibar Airlines inahitajika
Tumechokana sote na mke na mume kwa kukaa pmj huchokana ila maisha yao huendeshwa na kuvumilian tu lkn wakitafakari wakiangalia jirani walivo achana na kusambaratika familia zao ndio huona umuhim kuendelea kukaa pamoja km umechoka muungano hama tzn katafute nchi isokua na muungano uishiWatanganyika wenyewe tumewachoka wazanzibar maana hamkui kila siku ni kudeka tuu kama watoto wadogo.
Tumechokana sote na mke na mume kwa kukaa pmj huchokana ila maisha yao huendeshwa na kuvumilian tu lkn wakitafakari wakiangalia jirani walivo achana na kusambaratika familia zao ndio huona umuhim kuendelea kukaa pamoja km umechoka muungano hama tzn katafute nchi isokua na muungano uishiWatanganyika wenyewe tumewachoka wazanzibar maana hamkui kila siku ni kudeka tuu kama watoto wadogo.
Yaani wewe mzanzibari unihamishe mimi mtanganyika kisa kisiwa? 🤣Tumechokana sote na mke na mume kwa kukaa pmj huchokana ila maisha yao huendeshwa na kuvumilian tu lkn wakitafakari wakiangalia jirani walivo achana na kusambaratika familia zao ndio huona umuhim kuendelea kukaa pamoja km umechoka muungano hama tzn katafute nchi isokua na muungano uishi