Zantel : Udini

akili yako inakuambia hapo ndio umewakomoa zantel,halafu mnadai nyie ndio mmesoma ajabu sana hii dunia
hapana mkuu, ni kwamba, nilikuwa natumia zantel dsm, nilipoenda bukoba, kahama, mwanza, nikaona modem yake inasumbua, nikatupa kuanzia line yake hadi modem. hawajatawanyika kama wenzao. hata halotel wamekuja juzi lakini nimeshanunua line yao wako vizuri sana, ila hiyo zanzibar tel, kusema ukweli haina mvuto kwangu, ila wengine kama mnaitumia nawapongeza.
 

Baelezeee bamutu baelewee
 
Ulie leta mada huna akili ila una sifa za viumbe hai umeshndwa hata hl dogo ktk kufkr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…