Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,277
Kwa wale ambao mlikua mnatumia your freedom then ikafika kipindi ikawa inabania speed kuna njia nyingine go to this site download appliccation yao inaitwa cproxy then create an account by using your email adress au unaweza kutumia temporary email adrress eg Temporary Email Address - TemporaryEmail.US after that fungua email yako utatumiwa user id na password yako then install hiyo program uliyo download after that ifungue then nenda kwenye protocols click http server then click edit pale kwa chini badili local port iwe 80 badala ya 3128 after that nenda kwenye preferences kwenye account chagua user id kwenye ki box paste id yako uliyotumiwa kwa email then paste na password uliyotumiwa then nenda chini select local computer halafu kwenye server chagua yoyote but iwe inaishia na udp:53 then bonyeza apply halafu ok then kwenye browser yako weka proxy 127.0.0.1:80 then you aore ready to go but ukiona inazngua i restart hiyo program ya cproxy ki icon cha pale pembeni kwa cini chenye nembo ya c kikiwa cha blue then you are ready to go enjoy na nivizui utumie afd dialer maana zantel wanamtindo wa ku disconnect hyo itakusaidia and hiyo account unayopewa ni free for 3days but unaweza ku create many trial accounts kila zinapoisha by using a dispossable email adress but kama unaweza kununua kwa paypal kwa mwezi bei yao ni usd3.60 check site yao wana bei nyingine enjoy:A S 465: