Wapuuzi sanaCCM wao wanachofikiria kila siku ni kuendelea kututawala badala ya kufikiria jinsi ya kutupunguzia ugumu wa maisha
Rizimoko wa Msoga2030 ni mwanamke tena na ni Dkt. Asha-Rose Migiro
yaani rizimoko aje aibuliwe wakati huo? Inawezekana hakuna ubishi hapoRizimoko wa Msoga
Sema ni mawazo, za ndani wapiView attachment 3659469Unaambiwa misimamo ya Dkt. Mwigulu Nchemba, ambayo inaendana na baadhi ya misimamo ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ndiyo iliyomuibua Ndejembi.
Ni dhahiri kuwa Dkt. Nchimbi angeweza kufukuzwa uanachama kutokana na kukosa uwajibikaji wa pamoja, yaani kuishambulia Serikali ambayo na yeye ni sehemu yake.
Katika mchakato wa kumpata mrithi wake, magenge na makundi mbalimbali yalionya kuwa Mwigulu asipandishwe, wala asifikiriwe kwenye ndoto yake ya 2030, kwa sababu kumpeleka juu huyu ni sawa na kumrudisha Dkt. John Pombe Magufuli.
Kimahesabu, kuletwa kwa Makamu kijana kunaweza kuwa sehemu ya mkakati huo. Za chini chini zinasema kwamba wapo wengine wawili wanaoandaliwa.
Kimahesabu, hii ni mikakati ya kumzuia Dkt. Magufuli huyu mpya.
Watanzania, kama tunataka kumpata Magufuli tena, basi tuziangalie hesabu hizi kwa umakini.
Nineakatoliki hawa?Apo Rizimoja na Wanu Hafidh wanakamilisha list
Sasa hivi si wanajiamulia mambo yao wenyewe bila kufata desturiNineakatoliki hawa?
Nasikia hata yeye mwenyewe mpaka sasa haamini eti yeyeni waziri Mkuu! Anaona kama ni prank fulani hivi!Wewe chawa wa Mwigulu nenda kamwambie boss wako Yaani hafai kua hata Diwani sembuse urais.
Madelu kakutuma sio?View attachment 3659469Unaambiwa misimamo ya Dkt. Mwigulu Nchemba, ambayo inaendana na baadhi ya misimamo ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ndiyo iliyomuibua Ndejembi.
Ni dhahiri kuwa Dkt. Nchimbi angeweza kufukuzwa uanachama kutokana na kukosa uwajibikaji wa pamoja, yaani kuishambulia Serikali ambayo na yeye ni sehemu yake.
Katika mchakato wa kumpata mrithi wake, magenge na makundi mbalimbali yalionya kuwa Mwigulu asipandishwe, wala asifikiriwe kwenye ndoto yake ya 2030, kwa sababu kumpeleka juu huyu ni sawa na kumrudisha Dkt. John Pombe Magufuli.
Kimahesabu, kuletwa kwa Makamu kijana kunaweza kuwa sehemu ya mkakati huo. Za chini chini zinasema kwamba wapo wengine wawili wanaoandaliwa.
Kimahesabu, hii ni mikakati ya kumzuia Dkt. Magufuli huyu mpya.
Watanzania, kama tunataka kumpata Magufuli tena, basi tuziangalie hesabu hizi kwa umakini.