Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

View attachment 3659469Unaambiwa misimamo ya Dkt. Mwigulu Nchemba, ambayo inaendana na baadhi ya misimamo ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ndiyo iliyomuibua Ndejembi.

Ni dhahiri kuwa Dkt. Nchimbi angeweza kufukuzwa uanachama kutokana na kukosa uwajibikaji wa pamoja, yaani kuishambulia Serikali ambayo na yeye ni sehemu yake.

Katika mchakato wa kumpata mrithi wake, magenge na makundi mbalimbali yalionya kuwa Mwigulu asipandishwe, wala asifikiriwe kwenye ndoto yake ya 2030, kwa sababu kumpeleka juu huyu ni sawa na kumrudisha Dkt. John Pombe Magufuli.

Kimahesabu, kuletwa kwa Makamu kijana kunaweza kuwa sehemu ya mkakati huo. Za chini chini zinasema kwamba wapo wengine wawili wanaoandaliwa.

Kimahesabu, hii ni mikakati ya kumzuia Dkt. Magufuli huyu mpya.

Watanzania, kama tunataka kumpata Magufuli tena, basi tuziangalie hesabu hizi kwa umakini.
Mtu yeyeyote akiwa CCM haaminiki yeye kama ni mwema ajiudhuru
 
View attachment 3659469Unaambiwa misimamo ya Dkt. Mwigulu Nchemba, ambayo inaendana na baadhi ya misimamo ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ndiyo iliyomuibua Ndejembi.

Ni dhahiri kuwa Dkt. Nchimbi angeweza kufukuzwa uanachama kutokana na kukosa uwajibikaji wa pamoja, yaani kuishambulia Serikali ambayo na yeye ni sehemu yake.

Katika mchakato wa kumpata mrithi wake, magenge na makundi mbalimbali yalionya kuwa Mwigulu asipandishwe, wala asifikiriwe kwenye ndoto yake ya 2030, kwa sababu kumpeleka juu huyu ni sawa na kumrudisha Dkt. John Pombe Magufuli.

Kimahesabu, kuletwa kwa Makamu kijana kunaweza kuwa sehemu ya mkakati huo. Za chini chini zinasema kwamba wapo wengine wawili wanaoandaliwa.

Kimahesabu, hii ni mikakati ya kumzuia Dkt. Magufuli huyu mpya.

Watanzania, kama tunataka kumpata Magufuli tena, basi tuziangalie hesabu hizi kwa umakini.
Yaani Mwigulu awe Rais? Never....huyu hata angekuwa mseminari angekushafukuzwa siku nyingi na wala asingekuwa anajulikana hivi sasa! Kuna njiq watu wanapitia halafu vetting inayofanyika ni ya kipumbavu! Huyu Mwigu ile tai anayovaa ndio karata yake! Siku akivaa tai yenye rangi tofauti..kwisha
 
View attachment 3659469Unaambiwa misimamo ya Dkt. Mwigulu Nchemba, ambayo inaendana na baadhi ya misimamo ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ndiyo iliyomuibua Ndejembi.

Ni dhahiri kuwa Dkt. Nchimbi angeweza kufukuzwa uanachama kutokana na kukosa uwajibikaji wa pamoja, yaani kuishambulia Serikali ambayo na yeye ni sehemu yake.

Katika mchakato wa kumpata mrithi wake, magenge na makundi mbalimbali yalionya kuwa Mwigulu asipandishwe, wala asifikiriwe kwenye ndoto yake ya 2030, kwa sababu kumpeleka juu huyu ni sawa na kumrudisha Dkt. John Pombe Magufuli.

Kimahesabu, kuletwa kwa Makamu kijana kunaweza kuwa sehemu ya mkakati huo. Za chini chini zinasema kwamba wapo wengine wawili wanaoandaliwa.

Kimahesabu, hii ni mikakati ya kumzuia Dkt. Magufuli huyu mpya.

Watanzania, kama tunataka kumpata Magufuli tena, basi tuziangalie hesabu hizi kwa umakini.
Mnawazaga urais tu? Deni la taifa na mfumuko wa bei Wala!
 
Maduro wa kuchemsha wew na andiko lako ingia humo 👉🏿 🗑️
 
View attachment 3659469Unaambiwa misimamo ya Dkt. Mwigulu Nchemba, ambayo inaendana na baadhi ya misimamo ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ndiyo iliyomuibua Ndejembi.

Ni dhahiri kuwa Dkt. Nchimbi angeweza kufukuzwa uanachama kutokana na kukosa uwajibikaji wa pamoja, yaani kuishambulia Serikali ambayo na yeye ni sehemu yake.

Katika mchakato wa kumpata mrithi wake, magenge na makundi mbalimbali yalionya kuwa Mwigulu asipandishwe, wala asifikiriwe kwenye ndoto yake ya 2030, kwa sababu kumpeleka juu huyu ni sawa na kumrudisha Dkt. John Pombe Magufuli.

Kimahesabu, kuletwa kwa Makamu kijana kunaweza kuwa sehemu ya mkakati huo. Za chini chini zinasema kwamba wapo wengine wawili wanaoandaliwa.

Kimahesabu, hii ni mikakati ya kumzuia Dkt. Magufuli huyu mpya.

Watanzania, kama tunataka kumpata Magufuli tena, basi tuziangalie hesabu hizi kwa umakini.
Utumbo
 
View attachment 3659469Unaambiwa misimamo ya Dkt. Mwigulu Nchemba, ambayo inaendana na baadhi ya misimamo ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ndiyo iliyomuibua Ndejembi.

Ni dhahiri kuwa Dkt. Nchimbi angeweza kufukuzwa uanachama kutokana na kukosa uwajibikaji wa pamoja, yaani kuishambulia Serikali ambayo na yeye ni sehemu yake.

Katika mchakato wa kumpata mrithi wake, magenge na makundi mbalimbali yalionya kuwa Mwigulu asipandishwe, wala asifikiriwe kwenye ndoto yake ya 2030, kwa sababu kumpeleka juu huyu ni sawa na kumrudisha Dkt. John Pombe Magufuli.

Kimahesabu, kuletwa kwa Makamu kijana kunaweza kuwa sehemu ya mkakati huo. Za chini chini zinasema kwamba wapo wengine wawili wanaoandaliwa.

Kimahesabu, hii ni mikakati ya kumzuia Dkt. Magufuli huyu mpya.

Watanzania, kama tunataka kumpata Magufuli tena, basi tuziangalie hesabu hizi kwa umakini.
Sawa JF Nabii!
 
View attachment 3659469Unaambiwa misimamo ya Dkt. Mwigulu Nchemba, ambayo inaendana na baadhi ya misimamo ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ndiyo iliyomuibua Ndejembi.

Ni dhahiri kuwa Dkt. Nchimbi angeweza kufukuzwa uanachama kutokana na kukosa uwajibikaji wa pamoja, yaani kuishambulia Serikali ambayo na yeye ni sehemu yake.

Katika mchakato wa kumpata mrithi wake, magenge na makundi mbalimbali yalionya kuwa Mwigulu asipandishwe, wala asifikiriwe kwenye ndoto yake ya 2030, kwa sababu kumpeleka juu huyu ni sawa na kumrudisha Dkt. John Pombe Magufuli.

Kimahesabu, kuletwa kwa Makamu kijana kunaweza kuwa sehemu ya mkakati huo. Za chini chini zinasema kwamba wapo wengine wawili wanaoandaliwa.

Kimahesabu, hii ni mikakati ya kumzuia Dkt. Magufuli huyu mpya.

Watanzania, kama tunataka kumpata Magufuli tena, basi tuziangalie hesabu hizi kwa umakini.
Mwigulu anaumagufuli gani, hana kitu kumpa urais ni kuitesa tu Tanzania.
 
Back
Top Bottom