Zambia yafungua mpaka na Tanzania

Huwez kuishi na ugonjwa ambao ni pandemic uka u treat kama endemic. Itakula kwako
Mkuu 'Detective J' Asante kwa mchango huu; lakini hapa kila mtu sasa ni bingwa wa aina zote ya magonjwa haya, na Profesa wetu mkuu ni 'Dr Rais, PhD'.

Akisema tu "tuzoee kuishi na huu ugonjwa" tunamuelewa na hakuna wa kubisha.
Akisema 'coronavirus' ni kaugonjwa kasikotutisha, sote tunadakia na kuimba wimbo huo huo.
Akisema dawa ni "kujifukiza na kula malimao", kwa nini mtu asiamini.

"Vipimo ni feki" n.k., sote tunadakia na kuanza kampeni dunia imtambue kwa mchango wake kiongozi wetu huyu.

Hapa sasa unatuwekea 'endemic na pandemic', hata tukijua tofauti yake itasaidia kitu gani huku kiongozi wetu akielekea kushinda 'vita'.? Huko sio kutaka kumpunguzia sifa zake alizojizolea duniani?
 
Na hizo balozi za USA 🇺🇸 na UK 🇬🇧 ZIMEKURUPUKA kuondoa raia wao? Ni lini tena waliwahi kuondoa raia wao kwa kuhofia ugonjwa? Na kwanini Serikali ilikuwa inalazimisha wafiwa wazike usiku? Wanaficha nini?

Maneno ya Samia Suluhu haya

Hata india na mataifa mengine, uk wametoa offer ya ndege kubeba raia wao wanaoishi huko. Hata tz imetoa ofa ya ndege kwenda beba waTz waliopo india na wanataka kurudi.
 
Wamebana wameachia!

Kuna watu humu hawajafurahia, mi nilshasema humu, iwe Zambia, iwe Kenya hawawezi ku survive bila Tanzania. Kenya tulijaribisha kidogo tu kupitia wakuu wa mikoa, tuliona kilichotokea, Marufuku sasa hivi kuisifu Kenya eti tunaitegemea sana badala ya kusema tunategemeana.

Halafu tukisema Magufuli baba lao watu watuelewe. Uhuru Kenyatta naye kaamua kuunga juhudi leo.
 
Mkuu 'Detective J' Asante kwa mchango huu; lakini hapa kila mtu sasa ni bingwa wa aina zote ya magonjwa haya, na Profesa wetu mkuu ni 'Dr Rais, PhD'.

Akisema tu "tuzoee kuishi na huu ugonjwa" tunamuelewa na hakuna wa kubisha.
Akisema 'coronavirus' ni kaugonjwa kasikotutisha, sote tunadakia na kuimba wimbo huo huo.
Akisema dawa ni "kujifukiza na kula malimao", kwa nini mtu asiamini.

"Vipimo ni feki" n.k., sote tunadakia na kuanza kampeni dunia imtambue kwa mchango wake kiongozi wetu huyu.

Hapa sasa unatuwekea 'endemic na pandemic', hata tukijua tofauti yake itasaidia kitu gani huku kiongozi wetu akielekea kushinda 'vita'.? Huko sio kutaka kumpunguzia sifa zake alizojizolea duniani?
Brother mm ni mdau ambae mara kwa mara huenda nchi za nje. Isipokuwa kipindi hiki cha corona ambacho safari zimesimamishwa.
Yes rais wetu ni rais mzuri amefanya wonders. maendeleo yanaonekana.
Ila kwenye hili la corona huko nje hasafiki kama unavyofikiria.
Just kwasababu ndani tunamsifia sana.. haimaanishi kuwa na nje wanaona hivyo hapana.
Kuna utofauti mkubwa sana na hapa lazima tukubaliane.

Pili lengo la kuandika pandemic na endemic ni in hopes kuwa wataalam humu ndani wanaelewa. Hata nyie msio wataalam wkt wenu wa kijisomea maana yake ili mpate mwanga.
 
Brother mm ni mdau ambae mara kwa mara huenda nchi za nje. Isipokuwa kipindi hiki cha corona ambacho safari zimesimamishwa.
Yes rais wetu ni rais mzuri amefanya wonders. maendeleo yanaonekana.
Ila kwenye hili la corona huko nje hasafiki kama unavyofikiria.
Just kwasababu ndani tunamsifia sana.. haimaanishi kuwa na nje wanaona hivyo hapana.
Kuna utofauti mkubwa sana na hapa lazima tukubaliane.

Pili lengo la kuandika pandemic na endemic ni in hopes kuwa wataalam humu ndani wanaelewa. Hata nyie msio wataalam wkt wenu wa kijisomea maana yake ili mpate mwanga.
Niliposoma bandiko lako mwanzo nilidhani ulikuwa na ufahamu mpana wa ulichokuwa ukikiandika, hasa hiyo 'endemic' na 'epidemic' kwa hiyo nikajua utaelewa nilichokiandika hapo.
Nashanga hukuelewa. Lakini sio neno, tuendelee na mengine.
 
Nadhani mbinu bora ambayo Mh. ametumia ni ya kutotoa takwimu ndo inatufanya tutembee kifua mbele. Vinginevyo takwimu zingetumaliza.
 
Back
Top Bottom