Zambia na Malawi kwenye Demokrasia ziko mbali sana, Tanzania tuko sawa na Burundi

Arovera

JF-Expert Member
Nov 19, 2013
10,973
28,472
Amani na utulivu,

Ndio kauli za viongozi wa Tanzania ambao wanahisi wanalinda amani na utulivu kumbe Watanzania ni waoga wa kudai haki zao za msingi.

Angalia chaguzi za Zambia na Malawi utajua hao walistaraabika muda mrefu sana na katiba zao ni imara kuliko sisi wakumbatia ujamaa hewa.

Haiingii akilini jitu kama polepole au bashiru waliovuruga chaguzi zote kuanzia serikali za mitaa hadi uchaguzi mkuu leo wapo uraiani na wanachangamana na sisi raia waliotukanyagia na kusigina haki zetu za msingi.

Chaguzi za Tanzania imekua maigizo makubwa sana na Tume inafanya maigizo hayo bila woga, rejea swaga za mahela na wenzake kwenye chaguzi zote.

Chaguzi za Tanzania haziko huru na hazina haki wapinzani hunyanyasika kuanzia kampeni hadi kwenye kupiga kura.

Polisi kuacha kulinda Raia na mali zao wanabaki kukimbizana na wapinzani mara wakimbizane kuzuia mikutano ya ndani unawacheki unaona hawa akili zao ziko nyuma mno, Polisi acheni wanasiasa wapambane kisiasa kazi yenu kulinda amani tu tena mpo kwenye nchi isiyo na vikundi vya waasi lakini mnabehave worse.
 
Amani na utulivu,
Ndio kauli za viongozi wa Tanzania ambao wanahisi wanalinda amani na utulivu kumbe Watanzania ni waoga wa kudai haki zao za msingi.
Angalia chaguzi za Zambia na Malawi utajua hao walistaraabika muda mrefu sana na katiba zao ni imara kuliko sisi wakumbatia ujamaa hewa.
Haiingii akilini jitu kama polepole au bashiru waliovuruga chaguzi zote kuanzia serikali za mitaa hadi uchaguzi mkuu leo wapo uraiani na wanachangamana na sisi raia waliotukanyagia na kusigina haki zetu za msingi.
Chaguzi za Tanzania imekua maigizo makubwa sana na Tume inafanya maigizo hayo bila woga, rejea swaga za mahela na wenzake kwenye chaguzi zote.
Chaguzi za Tanzania haziko huru na hazina haki wapinzani hunyanyasika kuanzia kampeni hadi kwenye kupiga kura.
Polisi kuacha kulinda Raia na mali zao wanabaki kukimbizana na wapinzani mara wakimbizane kuzuia mikutano ya ndani unawacheki unaona hawa akili zao ziko nyuma mno, Polisi acheni wanasiasa wapambane kisiasa kazi yenu kulinda amani tu tena mko kwenye nchi isiyo na vikundi vya waasi lakini mnabehave worse.

1. Hawa hapa kidemokrasia wanafanana. Wako nyuma sana na wasiojulikana wako kazini bila vikwazo. Huku watu kupotezwa ndiyo ulipo uzalendo wa kina SABAYA:

Tanzania, Uganda, Rwanda, Mozambique, Zimbabwe.

Kama siyo regime kutokea Mapinduzi basi ni chama kile kile madarakani tangia baada tu ya ukoloni.

Hawa white House huwafungia milango wakiwaona wanakuja 😁😁!

2. Hapa wako vizuri sana kidemokrasia. Wanasonga mbele kama taifa. Hawa haupo uhasama wa vyama kama makwetu ambapo wapinzani ni kama wahalifu.

Huku waliopo madarakani ni kwa ridhaa ya umma. Huna cha ku deliver unatoka ambao ndiyo ulio ustaarabu.

Mfano wa nchi hapa ni:

Kenya, Malawi, Zambia na Afrika Kusini.

Vyama vyote vina fursa sawa na tangia ukoloni vyama tofauti vimewahi kushika madaraka.

Hawa white House ni marafiki. Kenyatta alikuwapo juzi huko, Hichilema alikuwa huko yapata wiki 2 ago.
 
Amani na utulivu,

Ndio kauli za viongozi wa Tanzania ambao wanahisi wanalinda amani na utulivu kumbe Watanzania ni waoga wa kudai haki zao za msingi.

Angalia chaguzi za Zambia na Malawi utajua hao walistaraabika muda mrefu sana na katiba zao ni imara kuliko sisi wakumbatia ujamaa hewa.

Haiingii akilini jitu kama polepole au bashiru waliovuruga chaguzi zote kuanzia serikali za mitaa hadi uchaguzi mkuu leo wapo uraiani na wanachangamana na sisi raia waliotukanyagia na kusigina haki zetu za msingi.

Chaguzi za Tanzania imekua maigizo makubwa sana na Tume inafanya maigizo hayo bila woga, rejea swaga za mahela na wenzake kwenye chaguzi zote.

Chaguzi za Tanzania haziko huru na hazina haki wapinzani hunyanyasika kuanzia kampeni hadi kwenye kupiga kura.

Polisi kuacha kulinda Raia na mali zao wanabaki kukimbizana na wapinzani mara wakimbizane kuzuia mikutano ya ndani unawacheki unaona hawa akili zao ziko nyuma mno, Polisi acheni wanasiasa wapambane kisiasa kazi yenu kulinda amani tu tena mko kwenye nchi isiyo na vikundi vya waasi lakini mnabehave worse.
Hata zile tasisi zinazo rank level ya furaha dunianiani Tanzani huw atuko kati kati ya Somalia, Sudani kusini, Yemeni na Congo.
 
Kuna hujui Tanzania ndio huamua Nani awe Raisi wa Zambia au Malawi.Nenda kipindi Cha chaguzi Zambia na Malawi nenda pale mbeya uone wagombea wanavyokwenda .T-shirt za kampeni na vipeperushi nk vyote huzalishwa mbeya!!! Tupongeze Tanzania tuliowasaidia wakenya Hadi katiba mpya yao baada ya kutwangana wao kwa wao
 
Kuna hujui Tanzania ndio huamua Nani awe Raisi wa Zambia au Malawi.Nenda kipindi Cha chaguzi Zambia na Malawi nenda pale mbeya uone wagombea wanavyokwenda .T-shirt za kampeni na vipeperushi nk vyote huzalishwa mbeya!!! Tupongeze Tanzania tuliowasaidia wakenya Hadi katiba mpya yao baada ya kutwangana wao kwa wao
Shida ya bangi ikichanganywa na mavi laini ya mtoto ndo inakuaga hivi.
 
Amani na utulivu,

Ndio kauli za viongozi wa Tanzania ambao wanahisi wanalinda amani na utulivu kumbe Watanzania ni waoga wa kudai haki zao za msingi.

Angalia chaguzi za Zambia na Malawi utajua hao walistaraabika muda mrefu sana na katiba zao ni imara kuliko sisi wakumbatia ujamaa hewa.

Haiingii akilini jitu kama polepole au bashiru waliovuruga chaguzi zote kuanzia serikali za mitaa hadi uchaguzi mkuu leo wapo uraiani na wanachangamana na sisi raia waliotukanyagia na kusigina haki zetu za msingi.

Chaguzi za Tanzania imekua maigizo makubwa sana na Tume inafanya maigizo hayo bila woga, rejea swaga za mahela na wenzake kwenye chaguzi zote.

Chaguzi za Tanzania haziko huru na hazina haki wapinzani hunyanyasika kuanzia kampeni hadi kwenye kupiga kura.

Polisi kuacha kulinda Raia na mali zao wanabaki kukimbizana na wapinzani mara wakimbizane kuzuia mikutano ya ndani unawacheki unaona hawa akili zao ziko nyuma mno, Polisi acheni wanasiasa wapambane kisiasa kazi yenu kulinda amani tu tena mko kwenye nchi isiyo na vikundi vya waasi lakini mnabehave worse.
Democrasia kivyako ni pale ambapo chama tawala kinaondolewa Madarakani
 
Maendeleo ya kisiasa (Political development), ikiwemo demokrasia Tanzania pia tuko mbali sana. Tunaweza kuwa na hoja za maboresho ya hapa na pale lakini tusiitukane nchi yetu na kui rank na Mataifa tuliyoyaacha mbali mno.

Tunaweza kuangalia uchaguzi tu, ila kipimo kingine kikubwa kinachoonyesha tuna descent politics ni peaceful transition of regime. Hii tunaichukulia kirahisi lakini ni maendeleo makubwa mno.

Na tumethibitisha hili hata baada ya kifo cha Dk. Magufuli. Tujipongeze kama Taifa akiwemo mtoa mada.

Kuhusu uchaguzi nchini, bado hata vyama vya upinzani havijawa na ajenda za kitaifa kushawishi umma. Tutambue demokrasia siyo kama chupa ya Cocacola...Watanzania wanaweza kuwa na akili kubwa sana ya kupima vyama kuwapa ridhaa ya kuongoza dola kuliko hao mnaowataja. Wanapima , "Mmm...hawa tuwape nchi?"😀😀😀
 
sisi wakumbatia ujamaa hewa.
drakekidding.png

Mbavu yarabi.
 
Kuna hujui Tanzania ndio huamua Nani awe Raisi wa Zambia au Malawi.Nenda kipindi Cha chaguzi Zambia na Malawi nenda pale mbeya uone wagombea wanavyokwenda .T-shirt za kampeni na vipeperushi nk vyote huzalishwa mbeya!!! Tupongeze Tanzania tuliowasaidia wakenya Hadi katiba mpya yao baada ya kutwangana wao kwa wao
Acha kutufunga kamba.
 
Kuna hujui Tanzania ndio huamua Nani awe Raisi wa Zambia au Malawi.Nenda kipindi Cha chaguzi Zambia na Malawi nenda pale mbeya uone wagombea wanavyokwenda .T-shirt za kampeni na vipeperushi nk vyote huzalishwa mbeya!!! Tupongeze Tanzania tuliowasaidia wakenya Hadi katiba mpya yao baada ya kutwangana wao kwa wao

Makunduchi na Chatto watakuamini 😁😁
 
Maendeleo ya kisiasa (Political development), ikiwemo demokrasia Tanzania pia tuko mbali sana. Tunaweza kuwa na hoja za maboresho ya hapa na pale lakini tusiitukane nchi yetu na kui rank na Mataifa tuliyoyaacha mbali mno.

Tunaweza kuangalia uchaguzi tu, ila kipimo kingine kikubwa kinachoonyesha tuna descent politics ni peaceful transition of regime. Hii tunaichukulia kirahisi lakini ni maendeleo makubwa mno.

Na tumethibitisha hili hata baada ya kifo cha Dk. Magufuli. Tujipongeze kama Taifa akiwemo mtoa mada.

Kuhusu uchaguzi nchini, bado hata vyama vya upinzani havijawa na ajenda za kitaifa kushawishi umma. Tutambue demokrasia siyo kama chupa ya Cocacola...Watanzania wanaweza kuwa na akili kubwa sana ya kupima vyama kuwapa ridhaa ya kuongoza dola kuliko hao mnaowataja. Wanapima , "Mmm...hawa tuwape nchi?"
Wewe jamaa..ujambazi wa kura kwenye uchaguzi..unauonaje?ile ni democrasia?
 
Back
Top Bottom