Zambia na Malawi kwenye Demokrasia ziko mbali sana, Tanzania tuko sawa na Burundi

Hizi nchi mnazipigia upatu sana ila tulioenda hizi zina miundombinu mibovu sijawaiona kuona tu lami tatizo kama zambi barabara ya mpakani na tunduma inayo ingiza kipato kikubwa ni vumbi yani ni aibu kwa hizi nchi za democracy

Tanzania unayoiona leo, ina kila kitu bandari, madini, gesi, ardhi yenye rutuba, kahawa, chai, hii nchi bila kua na viongozi mafisadi hata dola moja ingekua bado sawa na shilingi moja ya Tanzania, ufisadi, wizi wa ccm umefanya vietnam waliofuata michikichi na korosho hapa watupite kwa kila kitu, Indonesia tuliokua nao sawa kiuchumi hatuwaoni tena hata walipo
 
Tanganyika Polisiccm ana nguvu kubwa kuliko chochote aweza kuwabambikia kesi yeyote wapinzani mda wowote akijisikia kufanya hivyo

Ushawahi kusikia polisi malawi au zambia wanaingilia uchaguzi?
 
Unataka akuletee uthibitisho nyumbani kwako? Kwanza kupita bila kupingwa ni wizi wa kura tayari, hakuna uchaguzi umefanyika Tanzania zaidi ya CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
Sasa ndugu yangu 'Minyoo' hapa si tunajadili hoja kwa ushahidi au tunaweza rusha tu makombora ya tuhuma bila uthibitisho? Hapa si ndiyo nyumbani kwa Great thinkers? 😀😀😀
 
Tanganyika kuna vioja vingi Polisiccm huwafanyia manyanyaso ya kila aina wapinzani, mfano sasa kingai na mahita wamewapoteza Moses Lilenje na LT Urio wa jwtz kisa tu walimpa mbowe walinzi ambao ni Asikari wasitaafu ambapo pia wakiwabambikia kesi ya ugaidi kwa Amri za Sabaya aliyekuwa DC hai kipindi hicho, kwa kifupi upande wa Tanganyika hakuna demokrasia Polisiccm hutawala kama wale makaburu wa enzi za ubaguzi kule Afrika kusini
 
Amani na utulivu,

Ndio kauli za viongozi wa Tanzania ambao wanahisi wanalinda amani na utulivu kumbe Watanzania ni waoga wa kudai haki zao za msingi.

Angalia chaguzi za Zambia na Malawi utajua hao walistaraabika muda mrefu sana na katiba zao ni imara kuliko sisi wakumbatia ujamaa hewa.

Haiingii akilini jitu kama polepole au bashiru waliovuruga chaguzi zote kuanzia serikali za mitaa hadi uchaguzi mkuu leo wapo uraiani na wanachangamana na sisi raia waliotukanyagia na kusigina haki zetu za msingi.

Chaguzi za Tanzania imekua maigizo makubwa sana na Tume inafanya maigizo hayo bila woga, rejea swaga za mahela na wenzake kwenye chaguzi zote.

Chaguzi za Tanzania haziko huru na hazina haki wapinzani hunyanyasika kuanzia kampeni hadi kwenye kupiga kura.

Polisi kuacha kulinda Raia na mali zao wanabaki kukimbizana na wapinzani mara wakimbizane kuzuia mikutano ya ndani unawacheki unaona hawa akili zao ziko nyuma mno, Polisi acheni wanasiasa wapambane kisiasa kazi yenu kulinda amani tu tena mpo kwenye nchi isiyo na vikundi vya waasi lakini mnabehave worse.
Fact,Jeshi la polisi linapoona vyama vya upinzani kama jinai ni kujenga hofu kwa raia wake na kuwa ni kizazi kuabudu na kuabudiwa ndani ya nchi moja.
 
Ushawahi kusikia polisi malawi au zambia wanaingilia uchaguzi?
Nchi zingine Polisi wapo huru kufanya kazi zao bila kuingiliwa na chama Tawala kwa Tanganyika ni tofauti Polisiccm ni Tawi la CCM
 
Kenya mnaowasifia kwa Demokrasia Kikwete ndie alienda kuwasaidia ili wasiendelee kutwangana wakikuyu na wajaluo kwa kuwashauri waunde katiba mpya yenye majimbo ili kila mtu awe jogoo kwenye kabila lake!!!

Mainchi yote yanayotuzunguka watanzania ndio tumewasaidia wote nchi zote tunazopakana nazo na nchi zote za kusini mwa Afrika Tanzania ndie baba yao na mwalimu wao na muweka viongozi kwenye serikalini zao.Ndio maana hamna mwenye ubavu nchi zote hizo kuleta nyoko kwa Tanzania .Watafanyiana kwao wao kwa wao au wao na nchi zingine lakini hawathubutu kuiletea nyoko Tanzania
Hiki siyo kigezo cha Polisiccm kuwaonea watu kuwabambikia kesi wapinzani, Ulinzi wa mipaka usifananishwe na kuminya demokrasia kuwabambikia kesi wapinzani kuwapora ushindi kwenye chaguzi zote
 
Heshima tuliyokuwa nayo duniani kama nchi miaka ya nyuma imepotea kabsa. Sasa tuko kundi moja na akina Burundi, Somalia etc.

Amani na utulivu,

Ndio kauli za viongozi wa Tanzania ambao wanahisi wanalinda amani na utulivu kumbe Watanzania ni waoga wa kudai haki zao za msingi.

Angalia chaguzi za Zambia na Malawi utajua hao walistaraabika muda mrefu sana na katiba zao ni imara kuliko sisi wakumbatia ujamaa hewa.

Haiingii akilini jitu kama polepole au bashiru waliovuruga chaguzi zote kuanzia serikali za mitaa hadi uchaguzi mkuu leo wapo uraiani na wanachangamana na sisi raia waliotukanyagia na kusigina haki zetu za msingi.

Chaguzi za Tanzania imekua maigizo makubwa sana na Tume inafanya maigizo hayo bila woga, rejea swaga za mahela na wenzake kwenye chaguzi zote.

Chaguzi za Tanzania haziko huru na hazina haki wapinzani hunyanyasika kuanzia kampeni hadi kwenye kupiga kura.

Polisi kuacha kulinda Raia na mali zao wanabaki kukimbizana na wapinzani mara wakimbizane kuzuia mikutano ya ndani unawacheki unaona hawa akili zao ziko nyuma mno, Polisi acheni wanasiasa wapambane kisiasa kazi yenu kulinda amani tu tena mpo kwenye nchi isiyo na vikundi vya waasi lakini mnabehave worse.
 
Kuna hujui Tanzania ndio huamua Nani awe Raisi wa Zambia au Malawi.Nenda kipindi Cha chaguzi Zambia na Malawi nenda pale mbeya uone wagombea wanavyokwenda .T-shirt za kampeni na vipeperushi nk vyote huzalishwa mbeya!!! Tupongeze Tanzania tuliowasaidia wakenya Hadi katiba mpya yao baada ya kutwangana wao kwa wao
Yate hayo hayana uhusiano na uminyaji demokrasia kwa Tanzania Polisiccm ni Tawi la CCM kazi yao kubwa siyo kulinda watanzania na mali zao bali ni kuidhoofisha chadema na kuua upinzani
 
Tanzania unayoiona leo, ina kila kitu bandari, madini, gesi, ardhi yenye rutuba, kahawa, chai, hii nchi bila kua na viongozi mafisadi hata dola moja ingekua bado sawa na shilingi moja ya Tanzania, ufisadi, wizi wa ccm umefanya vietnam waliofuata michikichi na korosho hapa watupite kwa kila kitu, Indonesia tuliokua nao sawa kiuchumi hatuwaoni tena hata walipo
CCM na Polisiccm hutumia pesa nyingi kudhoofisha chadema kuliko maendeleo , pesa unayopotelea kwenye mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa Taifa ni kubwa mno ni pesa ambazo zingeweza kujenga daraja tokea hapo Dsm mpaka Zanzibar, kujenga vyuo vikuu, Hosptal za rufaa kila wilaya kutokana na Tanzania kuwa ni Nchi yenye rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani ni Nchi tajiri sana ingawa chini ya CCM imekuwa Nchi ya ajabu Nchi ya ukandamizaji demokrasia, Polisiccm kuwabambikia kesi wapinzani mahita kingai kuwatesa walinzi wa mbowe waseme ugaidi hewa ugaidi feki wa kubambikiwa, ni vigumu Taifa kupiga hatua kimaendeleo ktk mfumo huo wa kidikteta na kijinga jinga
 
Tanzania IFIKE mahali sanduku la kura liheshimiwe litoe VIONGOZI waliochaguliwa na wapiga kura, siyo mtu amekaa kwake na Chama chake anatamka uchaguzi huu wa serikali za mitaa (2019) nataka kijani kitupu(CCM), na ikawa hivyo kwa usimamizi wa TISS na Polisi. Uchaguzi unaofuata(2020), mtu anasema nataka bunge la kijani tu(CCM), na ikawa hivyo kwa usimamizi wa TISS na Polisi. Hatuwezi kuwa na nchi ya mtindo huu, inafikia sasa hata Nyerere day inapindishwa, Mama Maria NI MTU mzima sana sasa hivi,katolewa Butiama akazime mwenge Chato, badala akae Butiama asubiri wageni wa Nyerere day waweke mashada kaburini ikageuzwa mashada yakawekwa Chatto. Tujaribu kuwa wastaarabu wa kuheshimu taratibu zetu ikiwemo kuheshimu sanduku la kura ili litoe VIONGOZI waliochaguliwa na wapiga kura.
Kwa sasa hatuna viongozi wa kuchaguliwa na wapiga kula bali kuna wabunge madiwani wa kujisimika wenyewe kwa njia haramu za kishetani chini ya usaidizi wa Polisiccm Tumeccm na wakurugenziccm matawi ya CCM
 
Yate hayo hayana uhusiano na uminyaji demokrasia kwa Tanzania Polisiccm ni Tawi la CCM kazi yao kubwa siyo kulinda watanzania na mali zao bali ni kuidhoofisha chadema na kuua upinzani
Tata kuna watu wapumbavu,mtu anasema sisi Tanzania huwa tunaamua nani awe rais kwa majirani zetu Kenya,Zambia na Malawi,huyo mtu ana akili kisasawa???Hebu atembee hizo nchi aishi hata miezi mitatu aone kama watu wa nchi hizo wana akili mgando kama za kwetu za zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa ccm.
 
Mkuu hili bandiko lako source ni nn ama baada ya kupiga chimpum yako ndo unakuja na bandiko lako
 
Kuna hujui Tanzania ndio huamua Nani awe Raisi wa Zambia au Malawi.Nenda kipindi Cha chaguzi Zambia na Malawi nenda pale mbeya uone wagombea wanavyokwenda .T-shirt za kampeni na vipeperushi nk vyote huzalishwa mbeya!!! Tupongeze Tanzania tuliowasaidia wakenya Hadi katiba mpya yao baada ya kutwangana wao kwa wao
Eti tumewasaidia wakenya (hamjawasaidia acha uwongo), sasa mbona nyie mnakataa katiba mpya, mko busy kuteka watu tuu na kuiba kura kila siku, good news yule askari wenu wa miguu sabaya kapigwa 30, CCM ni chama la kupigwa marufuku kabisa
 
Amani na utulivu,

Ndio kauli za viongozi wa Tanzania ambao wanahisi wanalinda amani na utulivu kumbe Watanzania ni waoga wa kudai haki zao za msingi.

Angalia chaguzi za Zambia na Malawi utajua hao walistaraabika muda mrefu sana na katiba zao ni imara kuliko sisi wakumbatia ujamaa hewa.

Haiingii akilini jitu kama polepole au bashiru waliovuruga chaguzi zote kuanzia serikali za mitaa hadi uchaguzi mkuu leo wapo uraiani na wanachangamana na sisi raia waliotukanyagia na kusigina haki zetu za msingi.

Chaguzi za Tanzania imekua maigizo makubwa sana na Tume inafanya maigizo hayo bila woga, rejea swaga za mahela na wenzake kwenye chaguzi zote.

Chaguzi za Tanzania haziko huru na hazina haki wapinzani hunyanyasika kuanzia kampeni hadi kwenye kupiga kura.

Polisi kuacha kulinda Raia na mali zao wanabaki kukimbizana na wapinzani mara wakimbizane kuzuia mikutano ya ndani unawacheki unaona hawa akili zao ziko nyuma mno, Polisi acheni wanasiasa wapambane kisiasa kazi yenu kulinda amani tu tena mpo kwenye nchi isiyo na vikundi vya waasi lakini mnabehave worse.

Mkuu Demokrasia Ni Nini kwani. Unapotea. We andika tu sifia CHadema. Tutakupongeza. Haya mengine huyawezi.
 
Mkuu Demokrasia Ni Nini kwani. Unapotea. We andika tu sifia CHadema. Tutakupongeza. Haya mengine huyawezi.
Watu waliooza mawazo kwa kukatisha wenzie tamaa kwa sababu ya rushwa,tamaa ya madaraka na uroho eti haya mengine huyawezi,Rubbish point.
 
Back
Top Bottom