Ahante sana, miaka hiyoooo 80's.......
Kweli ilikuwa raha sana, hata vitabu tulivyokuwa tunasoma vya akina asha na rozi vilikuwa vizuri sana, yuo can't compare kwakweli...... "rafiki ni bora kuliko mwanasesere"
Somo la jiografia lilikuwa poa sana, by that time darasa la nne tu unaijua mikoa yote ya Tanzania, mkoa gani unalima mazao gani n.k sasa hivi sidhani kama watoto wanafundishwa hivi vitu.
Manjagata unakikukmbuka kitabu cha jiandae kumaliza elimu ya msingi, zile atlasi, ndani unakutana na Tanzania- sura ya nchi, yaakisha mambo ya tanzania, inafuata afrika mashariki, then afrika na mwisho dunia, mwanafunzi unaelewa kwa undani tanzania kuna nini, afrika mashariki kuna nini, afrika kuna vitu gani hadi dunia