Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 16,474
- 18,516
Jangwani sec partners wao Azania sec, Zanaki Sec vs Tambaza, ngoja itokee mechi ya basketball pale viwanja vya Zanaki kati ya Azania vs Tambaza ndio utaona raha yake.....kule boarding mitaa ya kaskazini Weruweru vs Ilboru, Umbwe or Old moshi, Kiraeni vs Killimanjaro boys/old moshi, Kibosho Girls vs Ilboru. Sekondari za Lyamungo, kibohehe na Kolila ilikuwa shida kupata parters kwa sababu ya fujo zao! Mlikuwa mkialikwa na Moshi Technical mnajua mnaenda kukutana na wakulima, hata kucheza walikuwa wanacheza ngoma za kienyeji badala ya muziki......wananuka vikwapa hasa.....Nakumbuka kuna siku tulialikwa Old moshi sec disco liishe saa sita usiku nasi tupande basi turudi kwetu, lakini mijamaa ikamnunulia bia dereva ikamnywesha akalewa halafu wakaiba funguo ya gari.....hatukuondoka mpaka asubuhi saa kumi na mbili ndio tunafika kwetu....usiulize yaliyotukuta!!!!!!
Hapo kwenye red ulionjapo mtete wa Msukuma?