Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,180
- 664
habari ambazo nilizozipata, inahofiwa kuwa zaidi ya watanzania mia moja wamefukiwa katika machimbo ya mererani kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha nchini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
habari ambazo nilizozipata, inahofiwa kuwa zaidi ya watanzania mia moja wamefukiwa katika machimbo ya mererani kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha nchini
Lini tena hii? Mungu awasaidie wote waliopata matatizo!
Mbona hiyo namba kubwa sana? Ingelikuwa serikali zinazojali watu wake, hata hicho kikao cha Butiama kingeahirishwa.
hii habari waweza kuipata japo kwa ufupi amka na bbc inaonyesha imetokea jana.
Mungu wetu,ungewachukua mafisadi hata watano,hawa hawana hatia lakini kwa sababu wewe umewapenda zaidi kuliko sisi baba tunaomba uwalaze mahali pema peponi amina.
kwa niaba ya wana-CCM wenzangu tawi la hapa JF,napenda kutoa pole kwa ndugu na jamaa wote.mungu awalaze mahali pema.
http://www.bbc.co.uk/swahili/
bonyeza TARIFA ZA HABARI.
Nafahamu vijana hao ni wale ambao hujaribu kutafuta chochote kwa ajili ya maisha yao ya kila siku.
Mipangilio mibovu iliyopo na zana duni ndio vitaendelea kumaliza maisha ya vijana wenzangu na wachakarikaji wengine.
Mwenyezi Mungu awapokee na kuzirehemu roho za vijana hawa waliokuwa maskini.
Kuna mwenye nafasi ya kuhudhuria eneo la tukio na atuletee habari zaidi hapa?
Come on- wana JF wa Arusha!
Amen awalaze pema.
Laiti marehemu wangekuwa japo na Bima ili chochote angalau kiwafariji jamaa za wahanga hawa.
Kitu kingine,sikujua kuna tawi au matawi ya vyama humu JF,aiseee!
Sunday, April 12, 1998 Published at 09:40 GMT 10:40 UK
World: Africa
More than 100 feared dead in Tanzania mine floods
![]()
State radio in Tanzania says more than 100 gold diggers are feared dead after heavy rains flooded mines in the north of the country.
The radio quoted the governor of the Arusha region Daniel Ole Njoolay as saying that more than 14 small mines around Mirarani had been inundated; rescuers had so far managed to recover only two bodies.
Mr Njoolay said the local police, fire brigade, a regional water engineer and mines officer were working together to assist rescue operations.
"Rescuers are finding it difficult to go through because of flooding. We are also poorly equipped," he told reporters.
The Tanzanian Prime Minister Frederick Sumaye is expected to fly to the area on Sunday.
The pits in the area are worked by small-scale miners looking mainly for gold and precious stones, including Tanzanite, a semi-precious stone found only in the country.
BBCNews Africa
admin WEKA STICKY HII
sioni sababu gan habari za mkutano wa CCM ziwekwe mbele huku watu wamekufa kiasi hiki