Zaeni mapema acheni ubishoo

Zaeni mapema acheni ubishoo

Ahahaaaaaa. Nilichogundua hapa wengi ni vijana wa hotpot,sasa hili swala la kuoa linawaudhi kweli kweli. Mdau Anamaanisha japo 26 uwe umeshaoa.
Hawataki kuelewa hawa, watalea watoto wakati wameshakuwa vikongwe.
 
We kambagasa huna tofauti na jogoo. Jogoo nae ni baba, anazaa tena watoto wengi. Jogoo anatongoza, jogoo anahonga, Ila alei. Unawezaje kuwa baba wakati huwezi kununua hata nepi? Ulivyokuwa bw.ege unasema mama akakutafutia familia safi ukaenda kuoa! Yani umetafutiwa mke, umesaidiwa kulea watoto na mama yako. Utakuwaje na uchungu na mtoto wakati huna unachogharamia?

Baba gani asiyeweza kulea/kutunza watoto wake. Wewe mi m1 wao. Mwisho, kama ungekuwa mwanamke ungezaa ukiwa na umri gani?

Kwi kwi kwi kwi!! Umenitukana lkn ikabidi nicheke tu badala ya kukasirika. Ni hivi bro mila zetu unapopevuka kwanza unapewa hilo wazo la kuoa na wazazi endapo wameshaona una uwezo binafsi wa kukaa na mke. Ukiafiki wazazi watakushauri baadhi ya familia ambazo wao wameshazifanyia uchuguzi kuwa zina malezi bora. Baadae katika hizo familia (mfano tatu) utachagua mwenyewe ni yupi umevutiwa nae hapo ndipo utapeleka posa na kuelezea namna utakavyoishi na huyo mchumba pindi unasoma. Ndugu usifikiri wote tumekuwa kama ulivyokuwa na kama kuna mapenzi ya kweli mke atakusubiri na atakuvumilia safari yako yote ya maisha pia naamini hata leo kuna watu wanarudi masomoni wakiziacha familia ama wake zao Aidha kwa wazazi ama ndugu. Tatizo lako ndugu yangu Zeroseventytwo umezoea kupata wachumba Badoo na Waplog sasa hapa sifikirii kama utanielewa.
Mwisho nakukaribisha kwenye familia yangu hiyo huku kanda ya ziwa.
 
Last edited by a moderator:
Mapema ni umri gani? Tuanze na wewe. Kwa mfano umeanza darasa la kwanza ukiwa na miaka 7, ukimaliza darasa la 7 unakuwa na 14. O level ukimaliza unakuwa na 18, A level ukimaliza unakuwa na 20. Ukienda jeshi unakuwa na 21. Chuo ukimaliza unakuwa na 24. Ukiianza kazi jumlisha mauhusiano miaka 3 unakuwa na 27. Hapo ujajumlisha kurudia au kufail.

Unazaaje hapo sasa.

Aaaaaaaahah! Naomba nikupachike jina la LOGICAL THINKER.
 
kwa upande wa wanaume wengi wanaogopa majukumu na kwa upande wa wasichana wengi wanaogopa matiti yao kudondoka kutokana na kunyonyesha
 
Kwi kwi kwi kwi!! Umenitukana lkn ikabidi nicheke tu badala ya kukasirika. Ni hivi bro mila zetu unapopevuka kwanza unapewa hilo wazo la kuoa na wazazi endapo wameshaona una uwezo binafsi wa kukaa na mke. Ukiafiki wazazi watakushauri baadhi ya familia ambazo wao wameshazifanyia uchuguzi kuwa zina malezi bora. Baadae katika hizo familia (mfano tatu) utachagua mwenyewe ni yupi umevutiwa nae hapo ndipo utapeleka posa na kuelezea namna utakavyoishi na huyo mchumba pindi unasoma. Ndugu usifikiri wote tumekuwa kama ulivyokuwa na kama kuna mapenzi ya kweli mke atakusubiri na atakuvumilia safari yako yote ya maisha pia naamini hata leo kuna watu wanarudi masomoni wakiziacha familia ama wake zao Aidha kwa wazazi ama ndugu. Tatizo lako ndugu yangu Zeroseventytwo umezoea kupata wachumba Badoo na Waplog sasa hapa sifikirii kama utanielewa.
Mwisho nakukaribisha kwenye familia yangu hiyo huku kanda ya ziwa.

Mimi nachojua ni kwamba hicho ulichokiandika kinapatikana zaidi kwenye familia za kifugaji. Unakuta kijana wa miaka 16 tayari ana mke na mtoto lakini bado anakaa kwa baba yake yeye na mke wake. Shughuli zote za uzalishaji anafanya na kinachopatikana ni Mali ya baba yake.

Kwa mtu ambaye ana malengo hasa ya elimu kuzaa Mara nyingi unakuwa akiwa na 30 yrs.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nachojua ni kwamba hicho ulichokiandika kinapatikana zaidi kwenye familia za kifugaji. Unakuta kijana wa miaka 16 tayari ana mke na mtoto lakini bado anakaa kwa baba yake yeye na mke wake. Shughuli zote za uzalishaji anafanya na kinachopatikana ni Mali ya baba yake.

Kwa mtu ambaye ana malengo hasa ya elimu kuzaa Mara nyingi unakuwa akiwa na 30 yrs.

Hapana kaka maisha yamebadilika hivi karibuni ila binafsi mleta uzi tukiacha matani ameongea pointi kabisa sema tu changamoto za maisha ndizo zinatufanya tuchelewe kuoa lkn mimi nilipitia njia hiyo mkuu pia ni nadra sana kwa sasa kupata mwanamke msitahimilivu. Mwaka huu Mdogo wangu kamaliza mafunzo ya ukunga huko Bombo Hospital Tanga lakini tayari alikuwa ameoa na watoto wawili na sasa yupo anaishi na watoto wake kwani tayari ameshaajiriwa ktk hospital ya mtu binafsi.
 
You are 100% right. Wote waliopitia vyuoni miaka mitatu au minne wengi wanaoa baada ya 30. Majority 32 na 33. Kwa hiyo hesabu wengi wanaangukia hapa. Uko 50 mtoto wa kwanza ndio anamaliza form 4.

Walibahatika kupata watoto obvious nje ya ndoa, wakiwa chuoni utakuta wana watoto wakubwa wakiwa 50s. Shida ndio hiyo kuoa ukiwa chuoni, kuoa baada ya chuo, kuoa kabla ya kujiandaa hata kwa kibarua, etc etc ndio changamoto za ukweli. My be sio ubishoo. Ni hali halis
 
Twapaswa kuzaa na kulea. Malezi ya kimwili, kiroho na kijamii. Sio kuzaa au kuzalisha tu kisha tuna ujenga ufalme imara wa shetani. Hivyo umri wa kuzaa wapaswa kuwa ni ule ambao wazazi wameamua na kuwa tayari kiakili, kiuchumi na kiroho. Nawasilisha. Mm nilipata mwanangu wa kwanza nikiwa na miaka 26, ni kweli kwa sasa ninatamani ningeoa nikiwa na miaka 23! Ila maandalizi ya malezi hayakutosha muda huo.
 
Mapema ni umri gani? Tuanze na wewe. Kwa mfano umeanza darasa la kwanza ukiwa na miaka 7, ukimaliza darasa la 7 unakuwa na 14. O level ukimaliza unakuwa na 18, A level ukimaliza unakuwa na 20. Ukienda jeshi unakuwa na 21. Chuo ukimaliza unakuwa na 24. Ukiianza kazi jumlisha mauhusiano miaka 3 unakuwa na 27. Hapo ujajumlisha kurudia au kufail.

Unazaaje hapo sasa.

????ASANTE nadhani ameelewa
 
Mapema ni umri gani? Tuanze na wewe. Kwa mfano umeanza darasa la kwanza ukiwa na miaka 7, ukimaliza darasa la 7 unakuwa na 14. O level ukimaliza unakuwa na 18, A level ukimaliza unakuwa na 20. Ukienda jeshi unakuwa na 21. Chuo ukimaliza unakuwa na 24. Ukiianza kazi jumlisha mauhusiano miaka 3 unakuwa na 27. Hapo ujajumlisha kurudia au kufail.

Unazaaje hapo sasa.

Inawezekana mkuu mbona mm nna 25yrs na nna mke na mtoto and we both have a good job
 
Ungesema vijana wajipange kimaisha mapema, ili waweze kuzaa na kutunza watoto wao vizuri na mapema ningekuelewa. Wengi wa wanaozaa mapema ndio wanatupa watoto, na kusababisha watoto wa mitaani.
 
Daah kwa mawazo haya maendeleo tutazidi kuyaona kwa wenzetu
 
Kwamfano sasa Unapata mtoto ukiwa na miaka 30, mtoto baada ya miaka 6 anaanza darasa la 1, wewe una miaka 37. Anamaliza darasa la 7, wewe una miaka 44. Anamaliza kidato cha 4, wewe una miaka 48 Anamaliza kidato cha 6, wewe una miaka 50 Anajiunga na Jeshi la Kujenga Taifa, wewe una miaka 51 Anamaliza Chuo kikuu 4years, wewe una miaka 55 Anatafuta kazi na kuanza kujitegemea mwaka mzima, wewe una miaka 56 Hapo mtoto hajafeli wala kurudia Vidato. Huyo ndio first born wako hapo tumeasume umempata ukiwa na miaka 30. Life expectancy ya Tanzania ni miaka 52. ZAENI MAPEMA ACHENI UBISHOO!!!!


Yote maisha, kuwahi au kuchelewa kila mtu aonavyo, formula ya maisha si ya kuigana
 
Mim nlioa nkiwa na miaka 23 baada tu ya kumaliza chuo i thankd God sijawahi kujuta kuwa kwnye ndoa hii na nimeona mafanikio mengi sana kiakili na kiuchumi lkn wenzngu ambao walinishangaa sana kipindi hcho ambao wengine bado wako wanaishi na wazaz wao mpka leo hii
 
Back
Top Bottom