Zaeni mapema acheni ubishoo

Zaeni mapema acheni ubishoo

Mimi namshukuru mungu kwakweli mtoto wangu wa kwanza nimempata nikiwa na miaka19 sasahivi nina miaka35 inamana mtoto alizaliwa mwaka 1999 wa pili nilimpata mwaka2005 wa tatu mwaka 2006 anaitwa SEAN jumla nina watoto nane wengine sijawataja ila kila mtoto na mama ake namshukuru mungu sana

Duuuh!! Miaka 35 una watoto nane!!
Hlf kila mmoja na mama ake,

Sasa hapo unatufundisha nini kwa mfano.
 
Kwamfano sasa Unapata mtoto ukiwa na miaka 30, mtoto baada ya miaka 6 anaanza darasa la 1, wewe una miaka 37. Anamaliza darasa la 7, wewe una miaka 44. Anamaliza kidato cha 4, wewe una miaka 48 Anamaliza kidato cha 6, wewe una miaka 50 Anajiunga na Jeshi la Kujenga Taifa, wewe una miaka 51 Anamaliza Chuo kikuu 4years, wewe una miaka 55 Anatafuta kazi na kuanza kujitegemea mwaka mzima, wewe una miaka 56 Hapo mtoto hajafeli wala kurudia Vidato. Huyo ndio first born wako hapo tumeasume umempata ukiwa na miaka 30. Life expectancy ya Tanzania ni miaka 52. ZAENI MAPEMA ACHENI UBISHOO!!!!


Hahaaaaa, mshauri wa uzazi!
Kwa akili yako hata kama life expectancy ya waTz ni miaka 52, kila mtu akifikia huo umri anakufa!!
Pili, kuzaa mapema ama la ni utashi wa mtu binafsi. Kama wewe ulizaa ukiwa na miaka 17 shukuru maana aina ya maisha na kiwango cha elimu ulichonacho vilikupatia hiyo nafasi.
Je wale wenye matatizo ya uzazi kiasi cha kuchelewa sana kupata watoto unawashauri nini?!
Tatu, elewa pia mtoto ni zawadi toka kwa Mungu na anakupa pale anapoona wakati unafaa!! (Kama ni muumini!)
 
Kwamfano sasa Unapata mtoto ukiwa na miaka 30, mtoto baada ya miaka 6 anaanza darasa la 1, wewe una miaka 37. Anamaliza darasa la 7, wewe una miaka 44. Anamaliza kidato cha 4, wewe una miaka 48 Anamaliza kidato cha 6, wewe una miaka 50 Anajiunga na Jeshi la Kujenga Taifa, wewe una miaka 51 Anamaliza Chuo kikuu 4years, wewe una miaka 55 Anatafuta kazi na kuanza kujitegemea mwaka mzima, wewe una miaka 56 Hapo mtoto hajafeli wala kurudia Vidato. Huyo ndio first born wako hapo tumeasume umempata ukiwa na miaka 30. Life expectancy ya Tanzania ni miaka 52. ZAENI MAPEMA ACHENI UBISHOO!!!!

Wewe mpaka sasa umezaa wangapi??? Inavyoonyesha upeo wako wa kufikiri ni mdogo. Unaweza ukazaa una miaka 20 na siku hiyo hiyo ukaondoka duniani,na mwenzio akazaa ana miaka 40,akaendelea kuwepo na akaona na wajukuu zake.
 
Back
Top Bottom