Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,927
Kama uko kanda ya kaskazini SAHAUMwambie apitie na huku
hata bibi alikuwa binti.
Kwani kaskazini hakuna makinikia ?
Yale hayakutoka huko! Tafuteni ya kwenyuKwani kaskazini hakuna makinikia ?
hata bibi alikuwa binti.
Wacha tuendelee kupambana na msshimo yetu ya t/nite aisee.
Asiyefanya kazi na asile, Huyu amefanya kazi gani? Hembu nijuzeni na mimi.
Umenikumbusha twit ya msemaji wetu wa chama kutoa mikopo ya chuo kwa wanafunzi, naona dhamira yao imeanza kutimia!Wanasema lete kadi ya CCM kwanza
kuna uraniumKwani kaskazini hakuna makinikia ?
hata bibi alikuwa binti.