OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,225
- 103,850
Kuna kikundi cha wahuni kinachocheza fainali? wahuni ni wale wapiga kelele kwenye mitandao wanaoishia robo fainali.
Hata wahuni wana fursa ya kufanikiwa, lakini haiondoki uhuni wao.Kuna kikundi cha wahuni kinachocheza fainali? wahuni ni wale wapiga kelele kwenye mitandao wanaoishia robo fainali.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Bangala na Djuma waliiponda Sana YangaBangala alichoma
Sheikh acha kumwaribia Juma Shabani. Mbona hajawahi iponda Yanga?Bangala na Djuma waliiponda Sana Yanga
Hiyo clip inasema wacongo wawili wa Yanga ..Bangala na nani?Sheikh acha kumwaribia Juma Shabani. Mbona hajawahi iponda Yanga?