kwenye suala la kuharibika wakati wa safari, yutong hazina guarantee mkuu, afadhali uharibikiwe na skania! Nimewahi kuharibikiwa na basi la Green star kuja mwanza, hapo shinyanga, tulilala hapo hapo! Na kwa taarifa, yutong za green star kuja mwanza zimechoka sana! zinalaza watu njiani mara kibao...wameleta mpya chache ku-backup ila hali sio nzuri, yutong ni janga mzee...hazina maana! zikikorofisha hamuondoki...systems zake ni electrified, haiwezekana kufanya utundu wa kienyeji kama kwa scania.Na kwa taarifa tu, mabasi ya sumry yanayokufa njiani siku zote ni nissan ud na hino na wala si yutong, maana sumry hana yutong hata moja, na mabasi yanayokufa njiani mengi ni scania na kama kuna yutong utakuta ni chache na hata hayo machache utakuta wakati wa utengenezaji wamiliki au mafundi wao wametumia vipuli fake.
kibaya zaidi wamiliki wa mabsi aina ya scania walio wengi wanashindwa kulipa madeni yao tofauti na wanaotumia Yutong,
Huo ni ushauri wa dhati wenye nia ya kuruzindua wabongo,
Simba